Tatizo la wengi wasiojuwa jinsi ya kumiliki mema ni KUJAA WIVU MWINGI usiokuwa na faida kwao, hujui huyu mtu aliumia kiwango gani mpaka kuja kumiliki Hammer mnachojuwa ni kubwabwaja bila mipaka, kuwa nalo yeye inakupunguzia nini wewe au unagain nini, nini hasa kikufanye mpaka umchunguze mtumishi wa watu, mimi sio pastor na sio muumini wa hapo,lakini naamini pastor wa kweli ana haki ya kumiliki zaidi ya hapo. anatakiwa na ndege yake pia.wajinga ndio waliwao......wanaojiita wachungaji wote wezi na matapeli tu.
Hallo, nashukuru kwa maswali yako. God counts both quality and quantity, however, you are no body to know what is or what is not quantity or quality, kwasababu kwa upeo wako, naona hauelewi kitu kabisa, na sitahangaika kupoteza muda kukuelewesha, ukitaka okoka ukamwulize mchungaji wako.check bolded and reply
1 - Does God count on quality au quantity
2 - Uzembe wa mtumishi ni idadi ya washirika? na kama mchungaji mwenye washirika wachache anakemea dhambi ndiyo maana wengi wanakimbia na yule mwenye wengi hakemei dhambi ndiyo sababu kanisa lake linajaa watu? what can you say about that?
3 - usihukumu usije ukahukumiwa
Hallo, nashukuru kwa maswali yako. God counts both quality and quantity, however, you are no body to know what is or what is not quantity or quality, kwasababu kwa upeo wako, naona hauelewi kitu kabisa, na sitahangaika kupoteza muda kukuelewesha, ukitaka okoka ukamwulize mchungaji wako.
Pili, ni vigumu sana wewe mwanadamu ambaye ni sisimizi mbele za Mungu, kuamua ni nini sahihi na nini si sahini, kwasababu mawazo ya mwanadamu ni mafupi kama pimbi. USICHANGANYE KAELIMU KAKO kuchanganua nini kitu cha Mungu kizuri au si kizuri kwa upeo wako, utapoteza muda bure, ndo maana mnakaa kuanza kujadili watumishi wa Mungu mkifikiri labda watumishi wa Mungu nisawa na watumishi wa selikali au NGO. Kunambia nisihukumu nisije nikahukumiwa, naona hauelewi maana ya sentensi hiyo biblically, hivyo, nakushauri ufike pale UBUNGO KANISA LA UFUFUO NA UZIMA, Utasaidiwa mambo mengi. Ila nakushauri, usije kuwa na juju au hirizi kiunoni humu, ukifika pale Kuna nguvu ya Mungu, utalipuka. kwa heri.
Hallo, nashukuru kwa maswali yako. God counts both quality and quantity, however, you are no body to know what is or what is not quantity or quality, kwasababu kwa upeo wako, naona hauelewi kitu kabisa, na sitahangaika kupoteza muda kukuelewesha, ukitaka okoka ukamwulize mchungaji wako.
Pili, ni vigumu sana wewe mwanadamu ambaye ni sisimizi mbele za Mungu, kuamua ni nini sahihi na nini si sahini, kwasababu mawazo ya mwanadamu ni mafupi kama pimbi. USICHANGANYE KAELIMU KAKO kuchanganua nini kitu cha Mungu kizuri au si kizuri kwa upeo wako, utapoteza muda bure, ndo maana mnakaa kuanza kujadili watumishi wa Mungu mkifikiri labda watumishi wa Mungu nisawa na watumishi wa selikali au NGO. Kunambia nisihukumu nisije nikahukumiwa, naona hauelewi maana ya sentensi hiyo biblically, hivyo, nakushauri ufike pale UBUNGO KANISA LA UFUFUO NA UZIMA, Utasaidiwa mambo mengi. Ila nakushauri, usije kuwa na juju au hirizi kiunoni humu, ukifika pale Kuna nguvu ya Mungu, utalipuka. kwa heri.
Mungu hawezi kumshughulikia Tujisenti maana anasema ukweli. Watu wengi siku hizi wanahama makanisa yao wakidai hayana upako na kuhamia makanisa ambayo askofu/mchungaji anafanya miujiza ya uongo. Ukiona mtu amekuja akapona basi unakubali haraka haraka kuwa ni nguvu za Mungu, wakati shetani naye yuko na ana nguvu za kufanya miujiza ya kuponya vile vile.
Kuna mchungaji mmoja ana kanisa lake Mbagala, halafu huwa anakuja kunywa bia Brake Point Kijitonyama ili waumini wake wasimuone! Amkeni jamani, don't be brainwashed. Muwe mnatumia na akili zetu vizuri wakati mwingine, msipelekwe pelekwe tu!
Ninyi mnaofuata hizi dini hebu nisaidieni. Sijaelewa ni kwa nini Mungu aumbe kila kitu including binadamu, halafu amtake binadamu atoe sadaka. Binadamu ana nini cha kumpa Mungu ilhali vyote including binadamu mwenyewe ni mali ya Mungu?
Watu mnadai 'fungu la kumi' ni mali ya Mungu, inakuwaje Mungu ashindwe kujitengea mwenyewe fungu hilo la vitu alivyoumba mwenyewe, hadi asubiri utashi wa binadamu (kiumbe chake) wa kumgawia? Contradiction nyingine ni kuwa hata huo utashi ni Mungu ameumba, ni yeye mwenyewe amefanya binadamu mmoja awe tofauti na mwingine, mmoja akubali kutoa hilo fungu na mwingine akatae. Hivi ni kweli kuwa ni Mungu anayehitaji hii michango? Labda si huyu tunayesikia kuwa ndiye aliyeumba kila kitu!
Na kama hizo pesa za sadaka anapewa Mungu, mbona tunaona zikitumika kununua magari kama haya yanayojadiliwa hapa, na watumiaji wake ni binadamu? Au hii ni lugha ya picha tu, kuwa hao wajanja-wajanja (wanaojiita maaskofu, wachungaji, manabii nk) ndio mungu mwenyewe?
1. Mimi huwa si mtu ninayejadili sana mambo ya dini maana dini haina faida kwa maisha ya mwanadamu. Ila kwa msaada tu nilikuwa nasali kwenye moja ya dini hizi mbili mnazozizungumzia hapa za kale sana na si za kisasa kwa mujibu wa maelezo yenu.Sawa umeponywa magonjwa yote na umepata muujiza wa wokovu, lakini labda nikuulize maswali yafuatayo?
1. Kabla ya kuhamia makanisa hayo ambayo Tujisenti anayaita ya "KISASA" ulikuwa unasali kanisa gani?
2. Kwa nini uliondoka huko? Ina maana huko hakuna Mungu?
3. Je hakuna watu waliiokoka na wanaomtumikia Mungu kisawasawa katika kanisa uliloondoka?
4. Ina maana Mungu alikupa neema ya wokovu na kukwambia "toka huko maana huko siko"?
5. Una maoni gani kuhusu watu ambao hawajaokoka na bado hawajawahi kuumwa kwa miaka kumi sasa?
Jibu then tuendelee....
Kumbe unajua values za wokovu sio?Wanaosali pale ninawafahamu, hawana matusi na maneno machafu kama uliyonayo wewe! mwanadamu mbele za Mungu si sisimizi wala pimbi-mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu na si pimbi, isome upya Biblia. Angalikuwa hivyo Yesu asingemfia msalabani. mwanadamu yeyote anathamani sana mbele za Mungu kiasi Mungu anajua hata idadi ya nywele kichwani mwake. Hukunielewa, umejawa na hulka tu ya kumpenda mchungaji wako, jambo ambalo ni jema sana lakini halikupi spiritual immunity ya kuropoka hovyo. Swali langu la pili lilikuwa la msingi sana kwa wewe kudigest kutokana na comment zako
lakini nakupa ushauri wa bure angalia ulimi na kauli zako ili ziendane na kile unachoproclaim - WOKOVU.
Kauli zako si za aliyeokoka, ni kama za hamas anapomtukana mwisraeli -vinginevyo usijiite Mwana wa Mungu.
Soma ulichoandika na jiangalie upya.
Roho Mtakatifu akusaidie
Awali Risasi Jumamosi lilipenyezewa ‘tipu' juu ya kuwepo kwa Askofu mmoja (jina tunalo), anayemiliki gari aina ya ‘Hammer' inayokadiriwa kuwa na thamani ya ‘ngawira' za kitanzania Milioni 250 na ‘ushee' ambapo uchunguzi ulianza mara moja na kutengeneza kichwa cha habari hii.
Katika ishu hiyo, baadhi ya waumini walilieleza gazeti hili kuwa, gari hilo analotumia Mtumishi huyo huku akivalia ‘krauni' ya uaskofu, likitiwa mafuta ya shilingi elfu thelathini (30,000) haliwaki hivyo humlazimu kuweka ‘wese' la shilingi laki tatu (300,000) ili kukamilisha mizunguko yake ya siku moja.
Katika nusanusa ya makachero wetu ilibainika kwamba, mbali na baadhi ya watumishi hao kumiliki magari, majumba na vitu vya kifahari, lakini pia mavazi na mfumo wao wa maisha unawashangaza baadhi ya ‘kondoo' wanaowaongoza.
Ilisemekana pia kuwa, mmoja wa viongozi hao (naye jina tunalo), amekuwa akitinga madhabahuni na ‘pamba' za mtoko mmoja zikiwa na thamani ya shilingi laki tano na nusu (550,000) huku akitoa ushuhuda kwa waumini wake kuwa, hayo ni matunda ya kumtumikia Mungu.
Katika chimbua chimbua ya hapa na pale, mapaparazi wetu walitonywa pia kuwa, mmoja wa viongozi hao ambaye yeye hujitambulisha kuwa ni Nabii, akiwa katika harakati zozote barabarani hupewa ‘eskoti' ya msururu wa magari na ving'ora kama ule wa rais wa nchi.
Ernest Madewe, ambaye ni muumini wa moja ya makanisa ambayo kiongozi wake yuko kwenye listi hiyo, aliliambia Risasi Jumamosi kuwa, kondoo wa Mungu wamekuwa ‘wakikamuliwa' fedha bila kujali umasikini unaowakabili.
Alisema: "Kuna wakati tunajaza fomu maalum za kueleza mali tulizonazo ili kuhakikisha tunatoa fungu la kumi linaloendana na kile tulichonacho bila kujali kuwa kuna baadhi yetu tuko hoi na hatuna kitu.
"Suala la sadaka linapaswa kuwa siri ya mtu na Mungu wake, lakini kinachoshangaza, jamaa wanakaba kupita kiasi."
Baadhi ya maaskofu, wachungaji, walimu na manabii wanaosifika kwa kutoa huduma ya kiroho vizuri ni pamoja na Onesmo Ndegi wa Kanisa la Living Water ‘kanisa la makuti' lililopo Kawe na Mch. Getrude Lwakatare ‘Mama Lwakatare' wa Kanisa la Assemblies of God la Mikocheni B, yote ya jijini Dar.
Wengine ni Askofu Zakaria Kakobe wa Kanisa la Full Gospel lenye makao yake makuu pembeni mwa Barabara ya Sam Nujoma, Josephat Mwingira wa Kanisa la Ephata Ministry na Askofu Silvester Gamanywa wa Huduma ya Hakuna Lisilowezekana, nayo ya jijini Dar.
Listi hiyo ndefu inaungwa na Mch. Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufalme na Ufufuo lililopo Ubungo, Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako' wa Ubungo Kibangu na Nabii GeorDavie wa Kanisa la Ngurumo ya Upako lenye makao yake makuu mkoani Arusha.
Soma biblia vizuri.inasema hivi itakuwa vigumu kwa matajiri kuona ufalme wa binguni kuliko maskini kupita kwenye tundu la sindano. yesu ilimwapia yule bwana aliyemuuliza kwamba afanye nini ili arithi ufalme wa binguni yesu kamwabia vyote gawia maskini.Swali kwako, je wachungaji nao si ni binadamu wanaopigania kuingia ufalme wa binguni?Sijui munapata wapi Maandiko yanayosema Watumishi wa Mungu wanatakiwa kuwa Maskini. Sijaona andiko lolote linalosema watumishi wa Mungu wanatakiwa kuwa fukara hohe hahe.
As you are swallowing this fact please read the word of Jesus.
Passage Matthew 19:29:
29 And everyone who has given up houses or brothers or sisters or father or mother or children or property, for my sake, will receive a hundred times as much in return (in this life) and will inherit eternal life
Mungu anasema ukifanya kazi yake atakuheshimu. Utakuaje Masikini wakati kama Mungu anakuheshimu?
Huu ni uongo wa shetani kwamba watumishi wa Mungu wanatakiwa kuwa Maskini.
Watumishi wa Mungu wanatakiwa kuwa matajiri, wanatakiwa kumiliki magari majumba na hata ndege kwa kadri Mungu anavyowabariki.
Kama na wewe una wito wa Kazi ya Mungu karibu shambani mwa Bwana mavuno ni mengi ila watenda kazi ni wachache.
Yohana 12:26Soma biblia vizuri.inasema hivi itakuwa vigumu kwa matajiri kuona ufalme wa binguni kuliko maskini kupita kwenye tundu la sindano. yesu ilimwapia yule bwana aliyemuuliza kwamba afanye nini ili arithi ufalme wa binguni yesu kamwabia vyote gawia maskini.Swali kwako, je wachungaji nao si ni binadamu wanaopigania kuingia ufalme wa binguni?
17 Yesu alipoanza tena safari yake, mtu mmoja alimjia mbio, akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, "Mwalimu mwema, nifanyeje ili niupate uzima wa milele?"Soma biblia vizuri.inasema hivi itakuwa vigumu kwa matajiri kuona ufalme wa binguni kuliko maskini kupita kwenye tundu la sindano. yesu ilimwapia yule bwana aliyemuuliza kwamba afanye nini ili arithi ufalme wa binguni yesu kamwabia vyote gawia maskini.Swali kwako, je wachungaji nao si ni binadamu wanaopigania kuingia ufalme wa binguni?
Kazi ipo...sasa God counts both quality and quantity, however, you are no body to know what is or what is not quantity or quality, ulijuaje haya kama mwanadamu hapaswi kujua...hayo mengine.....