Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Asante Mama Amon , kwenye Safina ya Nuhu, aliweka binadamu, wanyama, ndege na viumbe hai wa juu ya uso wa dunia ambao watakuwa destroyed by water, lakini hakuweka organisms kama minyoo, unicelular, protozoa, flagelata na kina paramecium kina bacteria kwasababu hawawi destroyed by water.Mfano, kwenye Safina ya Nuhu tunaambiwa kuwa Nuhu aliagizwa kuweka kila kiumbe kwa kuzingatia kanuni ya ME na KE.
Lakini, leo hii sayansi inatwambia kuwa kuna viumbe havina mgawanyo huo wa ME na KE. Mfano ni minyoo. Kwa hiyo, mwandishi wa Agano la Kale hakuwa na habari ya ukweli huu wa viumbe wasio na mgawanyo wa jinsia ya ME na KE.
Na hii maana yeke ni kwamba, wanateolojia wanaofanya udadavuzi kwa kuanzia kwenye Biblia wanahitaji kuelimishwa na wanabayolojia katika suala ya asexual reporoduction. Biblia haina mamlaka katika jambo hili.
Sote tunakamilishana kimaarifa, na hivyo kuna haja ya kuunganisha nguvu katika kufanikisha mradi wa kujenga imani ya jamii yenye utulivu, haki na amani.
Tujenge hoja bila mihemuko wala taharuki.
Kwenye hili la ushoga na ulawiti, linahitaji uelimishaji umma mkubwa kuwa kuna watu wanazaliwa na hormonal disorder kwa mwanaume kuzaliwa na homoni za like na mwanamke kuzaliwa na homoni za kiume, ni ulemavu kama ulemavu mwingine wowote, tujifunze kuikubali hii hali na kuishi nao positively.
Ulawiti na usagaji ni tabia chafu tuu katika jamii yetu kwa kufanya sexual perversion, kuna wanaume wengi tuu sio mashoga lakini wanafanya mapenzi kinyume cha maumbile na kuna wanawake wengi tuu wanalawitiwa!. Tena kundi jipya la wadada wanajiita wanaondanga wakipata danga nene, wanatoa offer ya vitu adimu kwa dhana hilo ndilo hitaji la wanaume wengi ambalo hawalipati kwenye ndoa zoo au kwa wapenzi wao, hivyo wao kujiover ili wawakamate.
P