Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Shirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.

Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.

Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.

Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
Mashirika mengi na makampuni mengi ya serikali na chama hayana chembe ya professionalism. Yanaendeshwa kienyeji na yanakwenda hivo hivyo na kiunduhunaizesheni na kujuananaizesheni bila kusahau mapenzinaizesheni

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Excuse ya kikuda kabisa hii

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ukitafuta hapa JF miaka kadhaa hata kabla ya ndege Boeing ya kwanza kuletwa nilipost nilivyoikuta katika hatua za mwisho za matengezo nilipokwenda field trip na wanafunzi wangu kutembelea kiwa cha Boeing. Ndege za Boeing zinatoka Seattle; hizo za Bombardier na Airbus ndizo zilziotoka Canada. Halafu kiwanda cha ndege huwa kinajenga ndege kuanzia hatua za mwanzo, huwa hakifanyi ukarabati. Ndege ikishajengwa na kukamilika, haiwezi kurudi tena kwenye proudction line kwa sababu ya nafasi.
Ninashukuru kwa shule ila na mimi natumia ndege tofauti kwenda NY, London, Bangkok na nilipo sasa Yangon sijawahi ona ndege ambayo ina ubovu kama hii ya kwetu. Nashukuru kama umeridhika na hali tuliyonayo.
 
Ninashukuru kwa shule ila na mimi natumia ndege tofauti kwenda NY, London, Bangkok na nilipo sasa Yangon sijawahi ona ndege ambayo ina ubovu kama hii ya kwetu. Nashukuru kama umeridhika na hali tuliyonayo.

Mpaka sasa Tanzania ina ndege mbile tu za msafa marefu ya kiwango NY, London, na Bangkok, ambazo ni Boeing Dreamliner. Kwa sasa ndege hizo zinafanya safari za Guangzong na Mumbai tu, hazifanyi tena safari za ndani; wewe umezisafiria ukiwa unakwenda wapi ukakuta kuwa ni mbovu kama siyo kutaka kutengeza story za kupikwa tu. Halafu kuhusu Airbus 2230- 300 zilizoletwa Tanzania elewa kuwa hiyo ndiyo ilikuwa generation ya kwanza kabisa ya ndege hizo, na Tanzania ilikuwa ni nchi ya kwanza Africa kuanza kuzitumia; sasai mtumba huo wa ndege ambazo hazikuwapo kabla ya hapo ungetoka wapi.

Kuna makosa makubwa kwa watanzania wanaodandia ndege mara moja moja kudhani kuwa ride ya ndege za truboprop ni sawa na ya ndege za jet; hapana. Jet zinaruka juu sana kama futi elfu 35 ambako hewa ni nyepesi wala hakuna mawingu sana, kwa hiyo huwa hazisumbuliwi sana na trubulence wakati nedeg za turboprop zinaruka kama futi elfu 25 tu ambako hewa bado ni nzito na zinakutana na mawingu mengi sana hivyo kuwa na mtikisiko mwingi sana. Mtu anayetumia ndege mara kwa mara anajua tofauti hizo, ila wale wanopanda ndege mara moja kwa mwaka hawawezi kujua tofauti hizo; yeye ataona kuwa ndege ni ndege tu bila kuelewa tofauti ya jet na truboprop.

Nadhani wengi hapa wanalalamikia turboprop zile bombardier kwani wanataka performance yake iwe kama ya jet.
 
Yaani mi sielewi kwanini SSH hataki kutimua huyu mkurugezi?, Mbona anaua ATCL wanamwangalia yaani hawana habari naye
Nasikia anasafiri na Dream liner kwenye nchi za majirani akijitambulisha. Nchi 5 kisah zimaliza, sasa ataanza jirani wa majirani. Wamuone buana!
 
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Hizo ni ndege za CCM, kwa misafara ya viongozi wake, halifanyi kazi kibiashara. Safari inaweza cheleweshwa kwa sababu kafa wa CCM bado anaoga. Ukiamua kuzipanda it is at ur own risk.
 
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Wanazidiwa hata na bajaji kwa kweli
 
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Washukuru hakuna mahakama huru Tanzania, fidia zingewapa akili kutenda kwa nidhamu ya biashara.
 
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Huyu nae tumemchoka,kwani kuahirishwa kwa ndege ndio leo kumeanza asiwasingizie wageni sijapata kuona askofu mbinafsi kama huyu, si apande basi au Air Precision, na huyu si ndio walikuwa wanasema mwendazake anatumia vibaya pesa kwa kununua hizi ndege, mara oh pesa zilizonunua ndege hazikupitishwa bungeni.
 
Mkuu, tatizo linaanza na watu kama wewe, mnaoona aibu kusema tatizo lipo wapi hasa.

Serikali, kwani serikali ni kitu gani.
Hebu eleza, serikali inafanya kazi vizuri, ila mashirika yake ndiyo hayafanyi vizuri?

Kwa nini hupendekezi tubinafsishe serikali nzima kama ndiko kuliko na uozo, au la basi tuiondoe serikali yote tuweke inayoweza kufanya kazi itakiwavyo.
Mkuu si ndio mwendelezo wa mapendekezo hayo, mimi nimeweka vile na wewe umeendeleza, ndio utamu wa mwendelezo wa mawazo unavyokua. Hizo ndege tunazo zizungumzia hapa au magari tunayo yaona leo, hayakua hivyo mwanzoni, mgunduzi alitengeneza kwa namna tofauti na tulinayo sasa, watu wameendelea kufanya modifications hadi tumekua na ndege na magari ya kisasa, same same na mawazo.
 
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Bado tunawaongezea zingine tano. Nchi ya ajabu sana hii.
 
Hilo ni jina la ATC tangu miaka ya 1980s; Any Time Cancellation au Air Total Confusion - ATC [Limited]
 
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Mmh
 
Back
Top Bottom