Pre GE2025 Askofu Bagonza: KKKT ina Mkuu wa Kanisa mmoja tu, Dereva wawili hawawezi kuendesha gari moja kwa wakati mmoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hilo lidubwasha lako lina nn zaidi ya ubaguzi. Magu alifanya ubaradhuli mwingi si askofu wa padre aliyekemea kisa mRC mwenzao. RC ni wadini wabaguzi
Ulikuwa kijiji gani kipindi cha magu ewe maamuma?!
 
Inafirikirisha na kusikitisha.
 
wazushi wazushi kasema askofu au wewe!!
 
Wewe ujielewi, huyo ni Mtanzania anayeongoza kundi kubwa la kondoo haitakiwi kuropokaropoka vitu ovyo, Mara nimeonyeshwa, oooh nimeoteshwa. Ila mzee Kibaoni hajaoteshwa.
 
Mumuache Askofu Shoo jamani kazeeka, na anahitaji huruma. Anaposifia anaonyesha ni kiasi gani njaa ina muuma, anahitaji naye akumbukwe. Uzee unastress sana jitahidini kuelewa, sote tunaelekea huko huko, labda nyie mta piga ma pambio na kujiunga kwaya kabisa.
 
Shoo kama yuko CCM na Bagonza CDM kuna shida gani?
* Mbn Bagonza husema mengi lkn wenzake hawafuatilii wala kukosoa sapoti yk kwa CDM!

* Kuna mtanzania asojua msimamo wa Bagonza kuhusu CDM?
Hoja za msingi. Kwa hoja zake hizo, basi yeye ndo Mkuu na msemaji wa Kanisa.
 
Wenzako wanaoandika pumba kama uliyoandika hutumia id fake.. sasa wewe unaandika jambo bila kushirikisha uongo kwa id halisi tena na picha lako umeweka.,!?!😭
Sijifichi sababu sifanyi jinai - pumba hapo ni ipi Mkuu. Uko upande wa Bagonza au Shoo?
 

imhotep usayunini msema je hapo?
 
Hilo lidubwasha lako lina nn zaidi ya ubaguzi. Magu alifanya ubaradhuli mwingi si askofu wa padre aliyekemea kisa mRC mwenzao. RC ni wadini wabaguzi
Inaonekana Fr Kitima umemfahamu juzi juzi, kuna mengi isiyoyajua.
 
Huu ndio uandishi wa kisomi unaojenga tafakuri ya akili kwelikweli....

Asante Mch. Askofu Bagonza...
 
Hata zikiwa sababu 100. He was a traitor.
Unapomwasi shetani (kuwa traitor kwa shetani) kwa kukataa mifumo yake ya utendaji ya kishetani na kazi zake zote, na mambo yake, huo bila shaka ni uasi mtakatifu unaompa aliyeukataa uzima tele na kuketishwa na Yesu Kristo katika ufalme wake wa mbinguni ukiwa hapahapa duniani...!!

Martin Luther, mwasisi wa Kanisa la Kilutheri Duniani aliukataa ushetani wa Kikatoliki, akaiponya roho na nafsi yake na kutusaidia sisi wengi kupona pia...

Kwa hiyo huhitaji kupewa sababu hata moja achilia mbali hizo 100 maana hata sasa unaogelea kwenye "ujinga wa kiroho" na ndio maana huwezi kuelewa kama ambavyo hata sasa huelewi na hauko tayari kuelewa...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…