Askofu Bagonza na kauli fikirishi na tata.

Askofu Bagonza na kauli fikirishi na tata.

Ndungai ameogopa kupoteza pension yake, si mna fahamu utaratibu waliojiwekea wakistaafu wanapeana mahekalu. Nani anataka kulikosa hekaluni la bure. Bado pension ya mili10 kwa mwezi mpaka kifo chako.

Ameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
 
Ndungai ameogopa kupoteza pension yake, si mna fahamu utaratibu waliojiwekea wakistaafu wanapeana mahekalu. Nani anataka kulikosa hekaluni la bure. Bado pension ya mili10 kwa mwezi mpaka kifo chako.

Ameamua kutumika kombe mwanaharamu apite.
Huyu hata iweje hizi Sheria walizojiwekea hakuna kushitakiwa tutakuja kuzitowa tumuhulize vzr yale mabilioni ya matibabu alikuwa anaundwa upya au alitiwa kitu gani! Mda utaongea tuombe uzima
 
Heshima ya mtu anaijenga mwenyewe, mbona Mzee Sigwemisi ni Mgogo anae heshimika tena sana tu.
Huyu Mzee nampenda sana, alifaa sana kuwa Rais wa JMT, Lakini pia ni mtu asiye na vinyongo wala visasi labda ndio maana bado anasurvive.
 
"Kufafanua kauli si kubadili kauli"
Hii imetokana na Spika Ndugai kumuomba msamaha Rais.
Ndugai ameombaje msamaha ikiwa amesema waliosambaza wamepotosha.
Je waliisambaza wameigiza sauti ya Ndugai?
Kweli kabisa. Ila, tuseme kitu kimoja tu, Ndugai kujitokeza jana hadharani na kuomba msamaha ni kwa sababu ya reaction ya kauli yake kwenye social media, ila si kwa sababu ya uzito wa jambo alilomtuhumu Mama Samia. Pia amesema video ile imetengenezwa. These are very serious allegations. Watu wa cyber crime watafute waliotengeneza video hii mbaya inayotishia mshikamano wa nchi. Lakini zaidi ya yote kama vidoe ile ni ya kutengeneza kwa nini aombe smahani? Halafu nimesikia tena akisema ule ulikuwa utani wa Kigogo- Kwa maneno mafupi sana hutuba ya jana ya Mh. Ndugai haikueleweka
 
"Kufafanua kauli si kubadili kauli"
Hii imetokana na Spika Ndugai kumuomba msamaha Rais.
Ndugai ameombaje msamaha ikiwa amesema waliosambaza wamepotosha.
Je waliisambaza wameigiza sauti ya Ndugai?
Ndugai ni mnafiki mkubwa
 
Kweli kabisa. Ila, tuseme kitu kimoja tu, Ndugai kujitokeza jana hadharani na kuomba msamaha ni kwa sababu ya reaction ya kauli yake kwenye social media, ila si kwa sababu ya uzito wa jambo alilomtuhumu Mama Samia. Pia amesema video ile imetengenezwa. These are very serious allegations. Watu wa cyber crime watafute waliotengeneza video hii mbaya inayotishia mshikamano wa nchi. Lakini zaidi ya yote kama vidoe ile ni ya kutengeneza kwa nini aombe smahani? Halafu nimesikia tena akisema ule ulikuwa utani wa Kigogo- Kwa maneno mafupi sana hutuba ya jana ya Mh. Ndugai haikueleweka
Ndugai kalazimishwa kuomba msamaha
 
Huyu hata iweje hizi Sheria walizojiwekea hakuna kushitakiwa tutakuja kuzitowa tumuhulize vzr yale mabilioni ya matibabu alikuwa anaundwa upya au alitiwa kitu gani! Mda utaongea tuombe uzima
Fedha za matibabu alinunulia mabasi ya Kimbinyiko
 
Back
Top Bottom