Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Haiwezi punguza ukweli kuwa yeye ndo askofu mchumia tumbo na mmbea kuwahi kutokea macho yake kama ya mjusi yanajieleza Kwa uzuriWewe ni pangu pakavu tia mchuzi huana lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezi punguza ukweli kuwa yeye ndo askofu mchumia tumbo na mmbea kuwahi kutokea macho yake kama ya mjusi yanajieleza Kwa uzuriWewe ni pangu pakavu tia mchuzi huana lolote
Kukaa kimya ni hekima pia. Ungekua nana uwezo na ufahamu kidogo ungegundua kua askofu ni kati ya watz wnye IQ kubwa na uwezo wa kuyaona mambo kwa ndani. Je kwa mtazamo wako ndugai hakusema aliyoyaombea msamaha?, alisukumwa na nini kuyasema? Je dhamira iliyomsukuma kuyasema imeondolewa na nini akilini mwake? Je alipoyasema hakujua kwamba anapaswa kumuunga mkono mkuu wa nchi? Je hiyo taasisi alipoyasemea alitaka kupeleka ujumbe gani?Askofu mchumia tumbo
Hakuna cha kukaa kimya alaf jiheshimu kuniquote ...!! Huyo askofu awadanganye malofa kama nyie ....!! We know everything behind him , kama ni dhima za kitaifa ataalikwa , so akae kwa kutuliaKukaa kimya ni hekima pia. Ungekua nana uwezo na ufahamu kidogo ungegundua kua askofu ni kati ya watz wnye IQ kubwa na uwezo wa kuyaona mambo kwa ndani. Je kwa mtazamo wako ndugai hakusema aliyoyaombea msamaha?, alisukumwa na nini kuyasema? Je dhamira iliyomsukuma kuyasema imeondolewa na nini akilini mwake? Je alipoyasema hakujua kwamba anapaswa kumuunga mkono mkuu wa nchi? Je hiyo taasisi alipoyasemea alitaka kupeleka ujumbe gani?
Tufikiri kwa mbali kabla hatujapigwa mnada?
Huna hiyo mamlaka ya kumnyamazisha yeyote. Lete hoja mezani sio mihemko. kama unajua na unakaa navyo wewe ni mzigo kwa jamiiHakuna cha kukaa kimya alaf jiheshimu kuniquote ...!! Huyo askofu awadanganye malofa kama nyie ....!! We know everything behind him , kama ni dhima za kitaifa ataalikwa , so akae kwa kutulia
Hawa ni noble group wameshajiweka hivyo.Huyu hata iweje hizi Sheria walizojiwekea hakuna kushitakiwa tutakuja kuzitowa tumuhulize vzr yale mabilioni ya matibabu alikuwa anaundwa upya au alitiwa kitu gani! Mda utaongea tuombe uzima
Tafuta historia yake toka huko nyuma hutarudi hapa.Wewe hujitambui ,huyu askofu ni mmoja wa watu wachache waadilifu na mwenye weledi katika nchi hii.
Acha kubishana na Huyu mduanzi wa Lumumba .Mtu yeyote anayeongozwa na akili tumboni hafai!Kukaa kimya ni hekima pia. Ungekua nana uwezo na ufahamu kidogo ungegundua kua askofu ni kati ya watz wnye IQ kubwa na uwezo wa kuyaona mambo kwa ndani. Je kwa mtazamo wako ndugai hakusema aliyoyaombea msamaha?, alisukumwa na nini kuyasema? Je dhamira iliyomsukuma kuyasema imeondolewa na nini akilini mwake? Je alipoyasema hakujua kwamba anapaswa kumuunga mkono mkuu wa nchi? Je hiyo taasisi alipoyasemea alitaka kupeleka ujumbe gani?
Tufikiri kwa mbali kabla hatujapigwa mnada?
We ndo mpuuzi kweli, mnalipa?Askofu mchumia tumbo
Bora umemgunduaAcha kubishana na Huyu mduanzi wa Lumumba .Mtu yeyote anayeongozwa na akili tumboni hafai!
kwa kauli hizi kwa nn wasidharaulike.watu hujidharaurisha wenyewe kutokana na tabia na mwenendo wao.baba ukishindwa kutimiza wajibu wako ndani ya nyumba yako watoto watakudharau tu.Eti wagogo ni watu wenye kudharaulika
Bunge kwa Tanzania halina umuhimu wowote, ni kupoteza hela za wananchi. Tazama video hiyo ya wanaojua umuhimu wa vyombo hivi.kuomba kwake radhi kaonyesha udhaifu mkubwa sana yeye kama kiongozi wa muhimili na anathibitisha kauli ya pro Assad kwamba bunge halina meno
Mgogo ni Mgogo tu hata afanye nini, sijawahi kudeti hata na demu wa Mgogo akishasema tu ni Mgogo navunja uhusiano palepale maana naona kama atanipaka tongotongoEti wagogo ni watu wenye kudharaulika
Povu.. imeuma eheee..Askofu mchumia tumbo
Pension mil.10?aiseh nikishika hatamu nitaishusha hadi laki mbili tu?nyingine zote ziende kwenye maendeleo!!Ndungai ameogopa kupoteza pension yake, si mna fahamu utaratibu waliojiwekea wakistaafu wanapeana mahekalu. Nani anataka kulikosa hekaluni la bure. Bado pension ya mili10 kwa mwezi mpaka kifo chako.
Ameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Mzee yupi? Jumanne!!??Huyu Mzee nampenda sana, alifaa sana kuwa Rais wa JMT, Lakini pia ni mtu asiye na vinyongo wala visasi labda ndio maana bado anasurvive.
Tafuta historia yake toka huko nyuma hutarudi hapa.