Unajidanganya
Weka wazi wewe usiyejidanganya!! Hamumpendi kwasababu ya ukweli wake; hakupepesa macho to call out that JIWE alikufa kwa corona wakati nyinyi mnaficha ficha!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajidanganya
Bora umshabikie Zitto kuliko huyo bagonza , unapoteza mdaWeka wazi wewe usiyejidanganya!! Hamumpendi kwasababu ya ukweli wake; hakupepesa macho to call out that JIWE alikufa kwa corona wakati nyinyi mnaficha ficha!!
Kumbe Kabudi naye mgogo? Ndio maana kumbeWagogo wanaodharaulika ni Ndugai na Profesa Kabudi.
Wamejidharaulisha wenyewe.
Lakini zaidi ya yote kama vidoe ile ni ya kutengeneza kwa nini aombe smahani? Halafu nimesikia tena akisema ule ulikuwa utani wa Kigogo- Kwa maneno mafupi sana hutuba ya jana ya Mh. Ndugai haikueleweka
Wewe mshabikie huyo mnafiki Zitto na mimi nitamsikiliza askofu wa ukweli!!Bora umshabikie Zitto kuliko huyo bagonza , unapoteza mda
Askofu wa mchongoWewe mshabikie huyo mnafiki Zitto na mimi nitamsikiliza askofu wa ukweli!!
Atakoma!"Kufafanua kauli si kubadili kauli"
Hii imetokana na Spika Ndugai kumuomba msamaha Rais.
Ndugai ameombaje msamaha ikiwa amesema waliosambaza wamepotosha.
Je waliisambaza wameigiza sauti ya Ndugai?
Eti alikuwa anaundwa upya😀😀😀😀! Jamii forum bhaanaHuyu hata iweje hizi Sheria walizojiwekea hakuna kushitakiwa tutakuja kuzitowa tumuhulize vzr yale mabilioni ya matibabu alikuwa anaundwa upya au alitiwa kitu gani! Mda utaongea tuombe uzima
Akilipwa kiinua mgongo wanapomaliza bunge anaendelea kulipwa tens million kumi?Ndungai ameogopa kupoteza pension yake, si mna fahamu utaratibu waliojiwekea wakistaafu wanapeana mahekalu. Nani anataka kulikosa hekaluni la bure. Bado pension ya mili10 kwa mwezi mpaka kifo chako.
Ameamua kutumika kombe mwanaharamu apite.
KUomba radhi ni udhaifu wa hali ya juu sana ndo maana Prof ASSAD aliwai semea ila jambo kuhusu udhaifu wa bungeHakupaswa kuomba radhi kwa sababu hakukosea kwa lolote, kuomba kwake radhi kaonyesha udhaifu mkubwa sana yeye kama kiongozi wa muhimili na anathibitisha kauli ya pro Assad kwamba bunge halina meno
Kabudi ni mgogo, kule Kilosa amepewa tu ubunge na Magufuli maana kule wazawa huwa hawawezi kuwa wabunge, either watawaliwe na waarabu na wahindi au wahamiaji.Kumbe Kabudi naye mgogo? Ndio maana kumbe
Heshima ya mtu anaijenga mwenyewe, mbona Mzee Sigwemisi ni Mgogo anae heshimika tena sana tu.
Kama hata Bagonza ni muadilifu, basi neno uadilifu limebadilika maana. Hivi unakumbuka yule msichana wa watu aliyemzalisha na kwenda kumtekeleza Arusha?Wewe hujitambui ,huyu askofu ni mmoja wa watu wachache waadilifu na mwenye weledi katika nchi hii.
Hakuna wakati Askofuy Bagonza amenyamaza kimya. Toka enzi za Magu maneno yake yako hivyo. Viva Bishop.Askofu anachochea moto tena, wakati mwenzake kajaribu kutuliza mambo
Wewe hivi unajua hata mfalme Daud alimpa mimba mke wa mtu na bado akamuua mume wake,kwani zile zaburi alizoziandika zimefutwa kwenye biblia!! Huyo ni mwanadamu kukosea inatokea tu,muhimu usikae kwenye hilo kosa basi. Kina Petro alimkana Yesu hadharani, hiyo imeondoa heshima ya Petro. Wenye shida ni ninyi mliojitwika mizigo ya wenzenu wakati wenye mizigo wameitua.Kama hata Bagonza ni muadilifu, basi neno uadilifu limebadilika maana. Hivi unakumbuka yule msichana wa watu aliyemzalisha na kwenda kumtekeleza Arusha?