Askofu Bagonza na kauli fikirishi na tata.

Askofu Bagonza na kauli fikirishi na tata.

Unajidanganya

Weka wazi wewe usiyejidanganya!! Hamumpendi kwasababu ya ukweli wake; hakupepesa macho to call out that JIWE alikufa kwa corona wakati nyinyi mnaficha ficha!!
 
Weka wazi wewe usiyejidanganya!! Hamumpendi kwasababu ya ukweli wake; hakupepesa macho to call out that JIWE alikufa kwa corona wakati nyinyi mnaficha ficha!!
Bora umshabikie Zitto kuliko huyo bagonza , unapoteza mda
 
Lakini zaidi ya yote kama vidoe ile ni ya kutengeneza kwa nini aombe smahani? Halafu nimesikia tena akisema ule ulikuwa utani wa Kigogo- Kwa maneno mafupi sana hutuba ya jana ya Mh. Ndugai haikueleweka

Ndugai sio mkweli na pia nadhani hayuko vizuri kichwani!! Kama anasema ile clip iliyorushwa ilikuwa imetengenezwa kumkandia, kwanini asije kwenye mkutano wake na correct version ya hiyo clip ili kudhihirisûa kuwa kweli ilitengenezwa na yale maneno sio kama alivyosema kwenye huo mkutano wake na wagogo wenzie?
 
"Kufafanua kauli si kubadili kauli"
Hii imetokana na Spika Ndugai kumuomba msamaha Rais.
Ndugai ameombaje msamaha ikiwa amesema waliosambaza wamepotosha.
Je waliisambaza wameigiza sauti ya Ndugai?
Atakoma!
 
Huyu hata iweje hizi Sheria walizojiwekea hakuna kushitakiwa tutakuja kuzitowa tumuhulize vzr yale mabilioni ya matibabu alikuwa anaundwa upya au alitiwa kitu gani! Mda utaongea tuombe uzima
Eti alikuwa anaundwa upya😀😀😀😀! Jamii forum bhaana
 
Ndungai ameogopa kupoteza pension yake, si mna fahamu utaratibu waliojiwekea wakistaafu wanapeana mahekalu. Nani anataka kulikosa hekaluni la bure. Bado pension ya mili10 kwa mwezi mpaka kifo chako.

Ameamua kutumika kombe mwanaharamu apite.
Akilipwa kiinua mgongo wanapomaliza bunge anaendelea kulipwa tens million kumi?
 
Hakupaswa kuomba radhi kwa sababu hakukosea kwa lolote, kuomba kwake radhi kaonyesha udhaifu mkubwa sana yeye kama kiongozi wa muhimili na anathibitisha kauli ya pro Assad kwamba bunge halina meno
KUomba radhi ni udhaifu wa hali ya juu sana ndo maana Prof ASSAD aliwai semea ila jambo kuhusu udhaifu wa bunge
 
Kumbe Kabudi naye mgogo? Ndio maana kumbe
Kabudi ni mgogo, kule Kilosa amepewa tu ubunge na Magufuli maana kule wazawa huwa hawawezi kuwa wabunge, either watawaliwe na waarabu na wahindi au wahamiaji.
 
Heshima ya mtu anaijenga mwenyewe, mbona Mzee Sigwemisi ni Mgogo anae heshimika tena sana tu.

Hana heshima yoyote alichukua fedha za waIran Mwl Nyerere akastukia mpaka kesho huyu hana heshima huko kwao na Tanganyika kwaujumla wake.

Huoni mtoto wake Le mutuz mpaka kesho hata ukuu wa Kata hapati,
 
Wewe hujitambui ,huyu askofu ni mmoja wa watu wachache waadilifu na mwenye weledi katika nchi hii.
Kama hata Bagonza ni muadilifu, basi neno uadilifu limebadilika maana. Hivi unakumbuka yule msichana wa watu aliyemzalisha na kwenda kumtekeleza Arusha?
 
Ni kweli Ndugayi kaomba msamaha lakini Hana tofauti na Adam wa kwanza, Adam anaulizwa na Mungu umekula matunda ya mti ule nilisema usile, anajibu ni huyu mwanamke uliyenipa. Ukigundua umekosea usimtwishe lawama kwamba ndiye kasababisha,ile hotuba yake ndo imeleta shida. Mambo ya Mila za wagogo yanahusianaje na serikali kukopa? Ni kitu alichokuwa nacho tu,kaona mama kachachamaa kaamua kutafuta visingizio, watu wameediti maneno yangu!!
 
Kama hata Bagonza ni muadilifu, basi neno uadilifu limebadilika maana. Hivi unakumbuka yule msichana wa watu aliyemzalisha na kwenda kumtekeleza Arusha?
Wewe hivi unajua hata mfalme Daud alimpa mimba mke wa mtu na bado akamuua mume wake,kwani zile zaburi alizoziandika zimefutwa kwenye biblia!! Huyo ni mwanadamu kukosea inatokea tu,muhimu usikae kwenye hilo kosa basi. Kina Petro alimkana Yesu hadharani, hiyo imeondoa heshima ya Petro. Wenye shida ni ninyi mliojitwika mizigo ya wenzenu wakati wenye mizigo wameitua.
 
Back
Top Bottom