LGE2024 Askofu Bagonza: Nawaomba radhi niliowahamasisha ili waende wakajiandikishe kupiga kura

LGE2024 Askofu Bagonza: Nawaomba radhi niliowahamasisha ili waende wakajiandikishe kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Askofu Bagonza ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook;

1731925728166.png

Mwaka 2019 tulitangaziwa kuna uchaguzi. Likawa shindano la kujaza fomu. CCM wakashinda. Wapinzani wakarudi darasani kujifunza kujaza fomu.

Mwaka huu tukatangaziwa, safari hii ni UCHAGUZI KWELI. Tukainuka kuhamasisha watu wajiandikishe. Wakaandikwa hata watakaofikisha miaka 18 miaka 5 ijayo. Idadi ya waliojiandikisha ikazidi ya wapiga kura. Tanzania tuna miujiza kweli.

Ghafla, uchaguzi “ukahairishwa” tukarudi tena kwenye mashindano ya kujaza fomu. CCM wameshinda tena. Wapeni maua yao. Lakini:

1. Nduguyo akikukosea muonye mkiwa wawili. Akikataa, chukua shahidi ukaonye tena. Akikataa liambie kanisa. Akikatalia kanisa, achana naye. Mwone kama mmataifa na mtoza ushuru (Mathayo 18:16-18). CCT, TEC na Bakwata wamesema tayari. Hata wasioomba wanaomba!

2. Wanyambo wana hekima isemayo; “Ukimwonya nduguyo ili afunike uchi wake akakataa, jiunge na wanaomcheka”. Nipo nacheka utadhani mazuri!

3. Tumemaliza ibada Musoma. Tumempata Mkurya mmoja akawa Askofu. Kofia ilitaka kugoma kuingia kichwani tukatamani tutafute ya jeshi. Yesu “aliyemteka” Mkurya akatii, kuna siku atawateka wanaokaidi maonyo ya kanisa lake kuhusu taifa.

4. Mgeni rasmi Prof John Kabudi, katupiga darasa ibadani. Ilani nzima ya chama chake imefunika mpaka wengine tukaondoka bila kula mchele. Katujulisha habari za BWAWA la umeme. Ahsante Prof LAKINI..

5. Watanzania hawa wanatamani Bwawa kubwa la kuzalisha Demokrasia. Bwawa hilo litalinda Bwawa la Umeme. Bila demokrasia wanaohujumu SGR watahamia kwenye umeme.

6. Najiuliza: Waweza kuwa na taifa huru lisilo na watu huru? Na je waweza kuwa na watu huru katika taifa lisilo huru? Niliwahi jibu swali nikiwa darasa la sita, lisemalo “Afrika ni Bara Tajiri lenye watu maskini: Jadili kwa kutoa mifano. Majibu yangu yalisababisha nifukuzwe shule mwaka mzima. Apumzike kwa amani Mwalimu aliyenifukuza.

7. Nimalize tafakuri yangu kwa kutoa pole kwa wahanga wa Kariakoo. Nitoe pole kwa familia Mama Kibiki. Waliomuua “wameishakufa” hata kama wanatembea. Nitoe pole kwa wote walioenda kwenye uchaguzi wakaambulia mashindano ya kujaza fomu. Nitoe pole kwa wote wanaolazimika kucheka wakati moyoni wanatamani kulia.

Nawaomba radhi wote niliowahamasisha kwenda kujiandikisha ili wapige kura. Nilidanganywa nami nikawadanganya. Sitarudia tena.

Mungu wetu ana kazi kweli kweli. Mwizi wa Kura anamuomba afanikiwe kuiba. Mlinzi wa kura naye anakanyaga mafuta ili alinde kura zisiibiwe. Lakini HADHIAKIWI.

Naipenda nchi yangu hata kama kuna wanaonilazimisha niichukie. Hata mkiniteka, SIICHUKII NCHI YANGU.
 

Attachments

  • 1731924192364.png
    1731924192364.png
    684.3 KB · Views: 8
MASHINDANO YA KUJAZA FOMU: CCM MSHINDI. Mpeni Maua yake.

Mwaka 2019 tulitangaziwa kuna uchaguzi. Likawa shindano la kujaza fomu. CCM wakashinda. Wapinzani wakarudi darasani kujifunza kujaza fomu.

Mwaka huu tukatangaziwa, safari hii ni UCHAGUZI KWELI. Tukainuka kuhamasisha watu wajiandikishe. Wakaandikwa hata watakaofikisha miaka 18 miaka 5 ijayo. Idadi ya waliojiandikisha ikazidi ya wapiga kura. Tanzania tuna miujiza kweli.

Ghafla, uchaguzi “ukahairishwa” tukarudi tena kwenye mashindano ya kujaza fomu. CCM wameshinda tena. Wapeni maua yao. Lakini:

1. Nduguyo akikukosea muonye mkiwa wawili. Akikataa, chukua shahidi ukaonye tena. Akikataa liambie kanisa. Akikatalia kanisa, achana naye. Mwone kama mmataifa na mtoza ushuru (Mathayo 18:16-18). CCT, TEC na Bakwata wamesema tayari. Hata wasioomba wanaomba!

2. Wanyambo wana hekima isemayo; “Ukimwonya nduguyo ili afunike uchi wake akakataa, jiunge na wanaomcheka”. Nipo nacheka utadhani mazuri!

3. Tumemaliza ibada Musoma. Tumempata Mkurya mmoja akawa Askofu. Kofia ilitaka kugoma kuingia kichwani tukatamani tutafute ya jeshi. Yesu “aliyemteka” Mkurya akatii, kuna siku atawateka wanaokaidi maonyo ya kanisa lake kuhusu taifa.

4. Mgeni rasmi Prof John Kabudi, katupiga darasa ibadani. Ilani nzima ya chama chake imefunika mpaka wengine tukaondoka bila kula mchele. Katujulisha habari za BWAWA la umeme. Ahsante Prof LAKINI..

5. Watanzania hawa wanatamani Bwawa kubwa la kuzalisha Demokrasia. Bwawa hilo litalinda Bwawa la Umeme. Bila demokrasia wanaohujumu SGR watahamia kwenye umeme.

6. Najiuliza: Waweza kuwa na taifa huru lisilo na watu huru? Na je waweza kuwa na watu huru katika taifa lisilo huru? Niliwahi jibu swali nikiwa darasa la sita, lisemalo “Afrika ni Bara Tajiri lenye watu maskini: Jadili kwa kutoa mifano. Majibu yangu yalisababisha nifukuzwe shule mwaka mzima. Apumzike kwa amani Mwalimu aliyenifukuza.

7. Nimalize tafakuri yangu kwa kutoa pole kwa wahanga wa Kariakoo. Nitoe pole kwa familia Mama Kibiki. Waliomuua “wameishakufa” hata kama wanatembea. Nitoe pole kwa wote walioenda kwenye uchaguzi wakaambulia mashindano ya kujaza fomu. Nitoe pole kwa wote wanaolazimika kucheka wakati moyoni wanatamani kulia.

Nawaomba radhi wote niliowahamasisha kwenda kujiandikisha ili wapige kura. Nilidanganywa nami nikawadanganya. Sitarudia tena.

Mungu wetu ana kazi kweli kweli. Mwizi wa Kura anamuomba afanikiwe kuiba. Mlinzi wa kura naye anakanyaga mafuta ili alinde kura zisiibiwe. Lakini HADHIAKIWI.

Naipenda nchi yangu hata kama kuna wanaonilazimisha niichukie. Hata mkiniteka, SIICHUKII NCHI YANGU.
Kwa hiyo huyo askofu alitaka fomu zisihahakiwe? Aache serikali ifanye kazi yake, km kazi ya uaskof imeshinda na anaona siasa ni rahisi aache uaskofu aingie kwenye siasa. Hv viongozi wa dini wanawashwa na nini mbn serikali hawaingilii wakifanya mapuuzi yao makanisani.
 
Kwa hiyo huyo askofu alitaka fomu zisihahakiwe? Aache serikali ifanye kazi yake, km kazi ya uaskof imeshinda na anaona siasa ni rahisi aache uaskofu aingie kwenye siasa. Hv viongozi wa dini wanawashwa na nini mbn serikali hawaingilii wakifanya mapuuzi yao makanisani.
20241109_130505.jpg
20241111_212313.jpg
hawa wote wamechukuliwa na ndio hayo mnayoita ni makosa yaliyofanywa na wapinzani eti.
20241109_130506.jpg
 
Kuna machawa wanahamasisha baadhi ya watu wa dini wasio na uwezo wa kufikiri sawasawa kuwa eti wanampiga vita kwa sababu ni wa dini yetu . Yaani wetu wanazungumzia uovu uliofanywa na watendaji wa serikali wanaolipwa kwa kodi ya watu hata wasio na dini halafu anatokea mwana wa nyoka anawadanganya wetu na kuwaambia eti wale maaskofu wakati wa JPM hawakusema hawakusema . Wanasahau kuwa wakati wa JPM wengine walikamatwa na kuambiwa sio raia wa nchi hii kwa sababu ya kutoa nyaraka za kupinga dhulma kwenye suala la demokrasia .
Hata Lisu aliyepigwa risasi wakati wa JPM hakuwa wa dini tofauti na ya JPM.

Kuna wahuni wanawalazimisha wafu wa dini inayofanana na ya Mchengerwa kuwa waunge mkono maovu yake kwa sababu tu ni wa dini yao. Huu ni ujinga . Na wasio na ufahamu kuna yule kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kule Msumbiji kutoka Tango pori alishushwa kwenye gari na kuuawa na magaidi mchana kweupe. Kule kwao Msumbiji walikua wanamtishia ajitoe kwenye chama kile kinachoiminga Frelimo na kudai kubwa ni chama cha wakristo na yeye sio mkristoa. Wakamzonga sana kuwa arudi Frelimo aunge juhudi mkono maana ni mtawala wa dini yao.
Aligoma na kusema yeye ni kiongozi wa chama cha siasa sio cha dini na ana uhuru wa kujiunga na chama chochote alimradi kimesajiliwa kama chama cha siasa.

Chuki haiangalii wema wa mtu . Hili limeanza kujengwa katika mizizi ya chuki na uhasama. Vurugu na mapigano yanaanzishwa kwa misingi ya chuki .

Hivi wale viongozi wa dini wanaosifia uovu hawaoni kuwa Tanganyika inaelekea kule iliyopita Zanzibar miaka iliyopita , je, yale yaliyofanywa kule Zanzibar yalifanywa na Dini au na CCM .! Kwa nini wanapotokea watu kukemea na kuonya dhambi ya uongo,dhulma na wizi kuwa inaligawa Taifa basi anashambuliwa kwa nguvu kubwa tena mpaka na viongozi wa dini nyingine kisha tu amesema mtawala ambaye ama kwa hakika aliapa kuilinda katiba .

Hivi Rais anajisikiajie anapoona kwa wazi kabisa ushahidi unatolewa hadharani wa Mkurugenzi aliyemteua anasimamia Halmashauri iliyoandikisha Mpaka Marehemu kupiga kura . Kwenye halmashauri hiyo kuna Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa usalama wa Taifa ,Takukuru ,mkuu wa polisi na Karibu tawala .
Kweli kabisa Kashfa nzito na ya hovyo kabisa kama hiyo halafu Rais anakaa kwa raha mustarehe kabisa eti mitano tena na mapicha kila kona ya nchi . ??'
Hii ni dharau kubwa sana kwa watangayika . Nikiangalia Jeshi la Wananchi walipofika pale Kariakoo walishangiliwa sana . Ile ni dalili nzuri sana. Wanyonge wa nchi hii wanatamani siku moja watesi wao wawapishe wanajeshi wasimamie nchi ili isonge mbele. Kwa sasa watanzania wengi hawana imani tena na wanasiasa na serikali yao iliyofuata sheria .

Mchengerwa amepewa Bunduki ya kuvuruga umoja na mshikamano katikati ya watu waliojeruhiwa na kuumizwa na uchaguzi wa 2019.

Yaani CCM na machawa wa mama wanaona watakua salama kabisa kwenye ubaya wanaoendelea kuufanya baada ya ule wa 2019 na 2020. Ni kichaa tu na mlevi wa madaraka asiyeona chuki kubwa ikishika kasi nchini. Watu hawajiulizi tu inakuaje watu kuanza kushangilia vifo vya binadamu wenzao kwenye nchi moja. Wengine wanasema kifo ni kifo tu. Sasa watu wanombeana vifo. Ujue hapo ni wazi watu hao wameshaona suluhu sasa ni kifo. Hiyo sio hali nzuri. CCM wanaofurahia ujinga huo wanajitafutia mauti mbeleni. Hawa wakina Mshengerema wanatamani kuitawala nchi milele .Hao akini Mandookta kama wana ndoto za urais bila demokrasia wajue agenda nyuma ya pazia itawafyeka wote wasio na mrengo wa kifamilia . Ni uhuru ,uwazi , demokrasia na haki pekee vitakayowazuia wauaji wanaokalia viti kwa damu huku wakilazimisha jeshi la polisi kupindisha majukumu yao ya kulinda wetu wote na mali zao kwa usawa.
 
Kwa hiyo huyo askofu alitaka fomu zisihahakiwe? Aache serikali ifanye kazi yake, km kazi ya uaskof imeshinda na anaona siasa ni rahisi aache uaskofu aingie kwenye siasa. Hv viongozi wa dini wanawashwa na nini mbn serikali hawaingilii wakifanya mapuuzi yao makanisani.

.Kwa hiyo wanasiasa wapo juu ya sheria na hawana wa kuwakemea maovu yao. Acheni kujenga taifa la Wahalifu na watu wasiofuata sheria na taratibu walizzojiwekea .

Dini zilikuwepo kabla ya serikali hizi watu walimuabudu Mungu kabla ya machawa kuja Tanzania na awamu hii .
Hakuna mahali dini imewahi kusifia zaidi ya kuonyesha ulipo uovu na dhulma. Kama dini yako haikemei dhulma basi ni dini ya majini na shetani na wachawi ndio kimbilio lenu na kushika bunduki ndio faraja na kinga ya uovu wenu. Jamii haiwataki na hamuoni aibu mnapoambiwa ukweli na watu wa Mungu wasioweza kupamba dhulma.

Hivi wewe kwa akili yako nchi iko salama ?
Kama una mtu aliyeteuliwa na Rais kwa heshima kubwa kabisa akasimamie wizara na halmashauri zina wateule wake halafu watu wanaandikisha wapiga kura marehemu ,watoto wadogo wenye miaka 14 wanajazwa wana miaka 40 ,aliyewateua anakaa kimya hachukui hatua ya kuwafukuza kazi. Hivi yule aliyesema hamtashinda bila serikali kuwasadia na hao waliojaza daftari la wapigakura majina ya marehemu ni yupi anastahili kufukuzwa kwenye ofisi ya umma.?

Kama una mkuu wa nchi ambaye haoni hatari iliyopo kwa jamii kuona dhulma za wazi na udanganyifu wa wazi kabisa halafu anakaa kimya kabisa anafurahia kabisa kisa eti atashinda uchaguzi kwa rushwa basi ni wazi ni rais anayeigawa nchi na kuwajengea watu chuki kubwa sana . Hamtafaidi chochote zaidi ya rushwa na pesa za uchawa lakini kuna siku hata barabarani ltaogopa kupita wakati mnasema mmeshinda kwa 98%•
Mmewatisha na kuua watu kwa sababu ya siasa matokeo yake siasa imekua ni kimbilio la majambazi na wahuni . Wasomi wanageuka kuwa machawa kulinda nafsi zao. Hii sio sawa hata mbele za Mungu japo CCM walishasema hawana cha Mungu akipenda kwa sababu kwao ushindi ni lazima . Siku inakuja ambapo hakuna mtu atasubiri kuuawa bali itakua ni kuwahiana. Frelimo pia hawapo salama kama mnaishi Ndani ya nchi moja na wale mnaowatendea mabaya.
Viongozi wa dini mmetimiza wajibu wenu wa kuonya na kukemea uovu. Mungu ataonyesha njia . Amani inalindwa na haki na kufuata sheria .Uhalifu ni kuvunja sheria za nchi.
Wangechanganya dini na siasa kama wangezungumzia habari ya serikali kutawala kwa kutumia Amri kumi za Mungu lakini wanapotaka sheria za nchi na Katiba zisivunjwe basi wametimiza wajibu wao.
Mtu anayeiba kura tu za umma atashindwaje kuiba fedha za umma ?
Tumethibitishia ulimwengu kuwa tuna serikali ya wezi na wadanganyifu .
Oneni aibu kidogo hata kama hamuwaogopi viongozi wa dini kwa sababu wao hawana mabomu na mabunduki kama wakwe zenu.
 
MASHINDANO YA KUJAZA FOMU: CCM MSHINDI. Mpeni Maua yake.

Mwaka 2019 tulitangaziwa kuna uchaguzi. Likawa shindano la kujaza fomu. CCM wakashinda. Wapinzani wakarudi darasani kujifunza kujaza fomu.

Mwaka huu tukatangaziwa, safari hii ni UCHAGUZI KWELI. Tukainuka kuhamasisha watu wajiandikishe. Wakaandikwa hata watakaofikisha miaka 18 miaka 5 ijayo. Idadi ya waliojiandikisha ikazidi ya wapiga kura. Tanzania tuna miujiza kweli.

Ghafla, uchaguzi “ukahairishwa” tukarudi tena kwenye mashindano ya kujaza fomu. CCM wameshinda tena. Wapeni maua yao. Lakini:

1. Nduguyo akikukosea muonye mkiwa wawili. Akikataa, chukua shahidi ukaonye tena. Akikataa liambie kanisa. Akikatalia kanisa, achana naye. Mwone kama mmataifa na mtoza ushuru (Mathayo 18:16-18). CCT, TEC na Bakwata wamesema tayari. Hata wasioomba wanaomba!

2. Wanyambo wana hekima isemayo; “Ukimwonya nduguyo ili afunike uchi wake akakataa, jiunge na wanaomcheka”. Nipo nacheka utadhani mazuri!

3. Tumemaliza ibada Musoma. Tumempata Mkurya mmoja akawa Askofu. Kofia ilitaka kugoma kuingia kichwani tukatamani tutafute ya jeshi. Yesu “aliyemteka” Mkurya akatii, kuna siku atawateka wanaokaidi maonyo ya kanisa lake kuhusu taifa.

4. Mgeni rasmi Prof John Kabudi, katupiga darasa ibadani. Ilani nzima ya chama chake imefunika mpaka wengine tukaondoka bila kula mchele. Katujulisha habari za BWAWA la umeme. Ahsante Prof LAKINI..

5. Watanzania hawa wanatamani Bwawa kubwa la kuzalisha Demokrasia. Bwawa hilo litalinda Bwawa la Umeme. Bila demokrasia wanaohujumu SGR watahamia kwenye umeme.

6. Najiuliza: Waweza kuwa na taifa huru lisilo na watu huru? Na je waweza kuwa na watu huru katika taifa lisilo huru? Niliwahi jibu swali nikiwa darasa la sita, lisemalo “Afrika ni Bara Tajiri lenye watu maskini: Jadili kwa kutoa mifano. Majibu yangu yalisababisha nifukuzwe shule mwaka mzima. Apumzike kwa amani Mwalimu aliyenifukuza.

7. Nimalize tafakuri yangu kwa kutoa pole kwa wahanga wa Kariakoo. Nitoe pole kwa familia Mama Kibiki. Waliomuua “wameishakufa” hata kama wanatembea. Nitoe pole kwa wote walioenda kwenye uchaguzi wakaambulia mashindano ya kujaza fomu. Nitoe pole kwa wote wanaolazimika kucheka wakati moyoni wanatamani kulia.

Nawaomba radhi wote niliowahamasisha kwenda kujiandikisha ili wapige kura. Nilidanganywa nami nikawadanganya. Sitarudia tena.

Mungu wetu ana kazi kweli kweli. Mwizi wa Kura anamuomba afanikiwe kuiba. Mlinzi wa kura naye anakanyaga mafuta ili alinde kura zisiibiwe. Lakini HADHIAKIWI.

Naipenda nchi yangu hata kama kuna wanaonilazimisha niichukie. Hata mkiniteka, SIICHUKII NCHI YANGU.
Huyu Askofu ni philosopher kweli kweli! Amemaliza ubishi, tumsubiri Mungu aiadhibu CCM na wooooooooooooooooooote walio chini yake
 
Mwaka 2019 tulitangaziwa kuna uchaguzi. Likawa shindano la kujaza fomu. CCM wakashinda. Wapinzani wakarudi darasani kujifunza kujaza fomu.

Mwaka huu tukatangaziwa, safari hii ni UCHAGUZI KWELI. Tukainuka kuhamasisha watu wajiandikishe. Wakaandikwa hata watakaofikisha miaka 18 miaka 5 ijayo. Idadi ya waliojiandikisha ikazidi ya wapiga kura. Tanzania tuna miujiza kweli.

Ghafla, uchaguzi “ukahairishwa” tukarudi tena kwenye mashindano ya kujaza fomu. CCM wameshinda tena. Wapeni maua yao. Lakini:

1. Nduguyo akikukosea mwonye. Akikataa, chukua shahidi ukaonye tena. Akikataa liambie kanisa. Akikatalia kanisa, achana naye. Mwone kama mmataifa na mtoza ushuru (Mathayo 18:16-18). CCT, TEC na Bakwata wamesema tayari. Hata wasioomba wanaomba!

2. Wanyambo wana hekima isemayo; “Ukimwonya nduguyo ili afunike uchi wake akakataa, jiunge na wanaomcheka”. Nipo nacheka utadhani mazuri!

3. Tumemaliza ibada Musoma. Tumempata Mkurya mmoja akawa Askofu. Kofia ilitaka kugoma kuingia kichwani tukatamani tutafute ya jeshi. Yesu “aliyemteka” Mkurya akatii, kuna siku atawateka wanaokaidi maonyo ya kanisa lake kuhusu taifa.

4. Mgeni rasmi Prof John Kabudi, katupiga darasa ibadani. Ilani nzima ya chama chake imefunika mpaka wengine tukaondoka bila kula mchele. Katujulisha habari za BWAWA la umeme. Ahsante Prof LAKINI..

5. Watanzania hawa wanatamani Bwawa kubwa la kuzalisha Demokrasia. Bwawa hilo litalinda Bwawa la Umeme. Bila demokrasia wanaohujumu SGR watahamia kwenye umeme.

6. Najiuliza: Waweza kuwa na taifa huru lisilo na watu huru? Na je waweza kuwa na watu huru katika taifa lisilo huru? Niliwahi jibu swali nikiwa darasa la sita, lisemalo “Afrika ni Bara Tajiri lenye watu maskini: Jadili kwa kutoa mifano. Majibu yangu yalisababisha nifukuzwe shule mwaka mzima. Apumzike kwa amani Mwalimu aliyenifukuza.

7. Nimalize tafakuri yangu kwa kutoa pole kwa wahanga wa Kariakoo. Nitoe pole kwa familia Mama Kibiki. Waliomuua “wameishakufa” hata kama wanatembea. Nitoe pole kwa wote walioenda kwenye uchaguzi wakaambulia mashindano ya kujaza fomu. Nitoe pole kwa wote wanaolazimika kucheka wakati moyoni wanatamani kulia.

Nawaomba radhi wote niliowahamasisha kwenda kujiandikisha ili wapige kura. Nilidanganywa nami nikawadanganya. Sitarudia tena.

Mungu wetu ana kazi kweli kweli. Mwizi wa Kura anamuomba afanikiwe kuiba. Mlinzi wa kura naye anakanyaga mafuta ili alinde kura zisiibiwe. Lakini HADHIAKIWI.

Naipenda nchi yangu hata kama kuna wanaonilazimisha niichukie. Hata mkiniteka, SIICHUKII NCHI YANGU
 
Hilo jaina la mwanzo halijakaa vizuri, halina status ya askofu huyo. Ungeanza na Benson, lakini hata Benson hukuliandika
 
Kwa hiyo huyo askofu alitaka fomu zisihahakiwe? Aache serikali ifanye kazi yake, km kazi ya uaskof imeshinda na anaona siasa ni rahisi aache uaskofu aingie kwenye siasa. Hv viongozi wa dini wanawashwa na nini mbn serikali hawaingilii wakifanya mapuuzi yao makanisani.
Acha ujingaujinga.
 
MASHINDANO YA KUJAZA FOMU: CCM MSHINDI. Mpeni Maua yake.

Mwaka 2019 tulitangaziwa kuna uchaguzi. Likawa shindano la kujaza fomu. CCM wakashinda. Wapinzani wakarudi darasani kujifunza kujaza fomu.

Mwaka huu tukatangaziwa, safari hii ni UCHAGUZI KWELI. Tukainuka kuhamasisha watu wajiandikishe. Wakaandikwa hata watakaofikisha miaka 18 miaka 5 ijayo. Idadi ya waliojiandikisha ikazidi ya wapiga kura. Tanzania tuna miujiza kweli.

Ghafla, uchaguzi “ukahairishwa” tukarudi tena kwenye mashindano ya kujaza fomu. CCM wameshinda tena. Wapeni maua yao. Lakini:

1. Nduguyo akikukosea muonye mkiwa wawili. Akikataa, chukua shahidi ukaonye tena. Akikataa liambie kanisa. Akikatalia kanisa, achana naye. Mwone kama mmataifa na mtoza ushuru (Mathayo 18:16-18). CCT, TEC na Bakwata wamesema tayari. Hata wasioomba wanaomba!

2. Wanyambo wana hekima isemayo; “Ukimwonya nduguyo ili afunike uchi wake akakataa, jiunge na wanaomcheka”. Nipo nacheka utadhani mazuri!

3. Tumemaliza ibada Musoma. Tumempata Mkurya mmoja akawa Askofu. Kofia ilitaka kugoma kuingia kichwani tukatamani tutafute ya jeshi. Yesu “aliyemteka” Mkurya akatii, kuna siku atawateka wanaokaidi maonyo ya kanisa lake kuhusu taifa.

4. Mgeni rasmi Prof John Kabudi, katupiga darasa ibadani. Ilani nzima ya chama chake imefunika mpaka wengine tukaondoka bila kula mchele. Katujulisha habari za BWAWA la umeme. Ahsante Prof LAKINI..

5. Watanzania hawa wanatamani Bwawa kubwa la kuzalisha Demokrasia. Bwawa hilo litalinda Bwawa la Umeme. Bila demokrasia wanaohujumu SGR watahamia kwenye umeme.

6. Najiuliza: Waweza kuwa na taifa huru lisilo na watu huru? Na je waweza kuwa na watu huru katika taifa lisilo huru? Niliwahi jibu swali nikiwa darasa la sita, lisemalo “Afrika ni Bara Tajiri lenye watu maskini: Jadili kwa kutoa mifano. Majibu yangu yalisababisha nifukuzwe shule mwaka mzima. Apumzike kwa amani Mwalimu aliyenifukuza.

7. Nimalize tafakuri yangu kwa kutoa pole kwa wahanga wa Kariakoo. Nitoe pole kwa familia Mama Kibiki. Waliomuua “wameishakufa” hata kama wanatembea. Nitoe pole kwa wote walioenda kwenye uchaguzi wakaambulia mashindano ya kujaza fomu. Nitoe pole kwa wote wanaolazimika kucheka wakati moyoni wanatamani kulia.

Nawaomba radhi wote niliowahamasisha kwenda kujiandikisha ili wapige kura. Nilidanganywa nami nikawadanganya. Sitarudia tena.

Mungu wetu ana kazi kweli kweli. Mwizi wa Kura anamuomba afanikiwe kuiba. Mlinzi wa kura naye anakanyaga mafuta ili alinde kura zisiibiwe. Lakini HADHIAKIWI.

Naipenda nchi yangu hata kama kuna wanaonilazimisha niichukie. Hata mkiniteka, SIICHUKII NCHI YANGU.
Alifaa kabisa kuwa M/kiti chadema
 
Kwa hiyo huyo askofu alitaka fomu zisihahakiwe? Aache serikali ifanye kazi yake, km kazi ya uaskof imeshinda na anaona siasa ni rahisi aache uaskofu aingie kwenye siasa. Hv viongozi wa dini wanawashwa na nini mbn serikali hawaingilii wakifany na mapuuzi yao makanisani.
Huwezi kuelewa !!Hakuna Malaya wa kisiasa anayeweza kuelewa bandiko hili WEWE NI MALAYA WA KISIASA.

Hakuna CHAWA anaweza kuelewa wewe ni CHAWA

Hakuna mwenye laana ya Damu za wa watu anaweza kuelewa hili .WEWE umelaniwa

Hakuna anaye waza vyeo vya CCM akawa na akili ya kuona hatari iliyoko mbeleni .WEWE unatumia Makalio kufikiri
 
Huwezi kuelewa !!Hakuna Malaya wa kisiasa anayeweza kuelewa bandiko hili WEWE NI MALAYA WA KISIASA.

Hakuna CHAWA anaweza kuelewa wewe ni CHAWA

Hakuna mwenye laana ya Damu za wa watu anaweza kuelewa hili .WEWE umelaniwa

Hakuna anaye waza vyeo vya CCM akawa na akili ya kuona hatari iliyoko mbeleni .WEWE unatumia Makalio kufikiri
CCM kukuua mbele ya maslahi ni kitu cha kawaida sn
 
Back
Top Bottom