Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
UWT Makamu Mwenyekiti wa CCM ni nani?kwamba Chadema imepasuka vipande vipande?
kuna kipande cha Singida, hicho ni cha makamu Mwenyekiti taifa, kuna kipande cha Dodoma na Arusha, walichogawana Lema na Kigaila Juzi,
Na kuna kipande cha dar es salaam na pwani ambacho Mrema na Mr midevu wanakipambania, huku huko tarime na rorya Wenje na Heche wamekita mizizi huko.
Mama Ima,
John Mnyika na Chairman hawana hata cha kuuma Chadema?🐒