BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Chanzo: Jambo TV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndio ukweli, lakini uongozi Bora Ni muhimu sana Kwa kuwa ufanisi wa Kazi yoyote inaitaji weledi na technologies.View attachment 2664188
"Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi. Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? tubinafsishe? tukabidhi sekta binafsi?" Askofu Benson Bagonza
Ni kwel kbs!View attachment 2664188
"Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi. Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? tubinafsishe? tukabidhi sekta binafsi?" Askofu Benson Bagonza
"Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi. Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? tubinafsishe? tukabidhi sekta binafsi?" Askofu Benson Bagonza
Chanzo: Jambo TV
Swali gumu sana hilo hata atakae jitutumua kujibu majibu hayatakuwa sahihi zitakuwa pumba tu.Kweli askofu kila panapo shindikana pabinafsishwe? Swali zuri sana
Ccm njooni mumjibu askofu hayo maswali.
Serikali ya SAMIA imeona umeshindwa kusimamia bandari na haiwezi kuwawajibisha vigogo wala Rushwa na majizi konkodi yaliyopo bandarin,sasa serikali hii ina mafisadi na wahujumu uchumi wengi sana na ni wanaCCM na wamejificha hapo kwenye uCCM,Kama Rais ameshindwa kusimamia hilo,swali ni je ataweza nn ktk kuliongoza Taifa hili gumu,Mm namshauri Mama huyu SAMIA SULUHU HASSAN kuwa Suluhu iliyo njema ni apumzike tu asaidiwe na mtu mwingine.Alipotufikisha tunamshukuru sana."Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi. Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? tubinafsishe? tukabidhi sekta binafsi?" Askofu Benson Bagonza
Chanzo: Jambo TV
Eti asaidiwe na Mtu mwingine .Serikali ya SAMIA imeona umeshindwa kusimamia bandari na haiwezi kuwawajibisha vigogo wala Rushwa na majizi konkodi yaliyopo bandarin,sasa serikali hii ina mafisadi na wahujumu uchumi wengi sana na ni wanaCCM na wamejificha hapo kwenye uCCM,Kama Rais ameshindwa kusimamia hilo,swali ni je ataweza nn ktk kuliongoza Taifa hili gumu,Mm namshauri Mama huyu SAMIA SULUHU HASSAN kuwa Suluhu iliyo njema ni apumzike tu asaidiwe na mtu mwingine.Alipotufikisha tunamshukuru sana.
Mimi mwenyewe naamini hivyo ni bora wangepewa jeshi tu.Tungejaribu kuwapa jeshi nao tuone ufanisi wao
kwel kabisaSerikali ya SAMIA imeona umeshindwa kusimamia bandari na haiwezi kuwawajibisha vigogo wala Rushwa na majizi konkodi yaliyopo bandarin,sasa serikali hii ina mafisadi na wahujumu uchumi wengi sana na ni wanaCCM na wamejificha hapo kwenye uCCM,Kama Rais ameshindwa kusimamia hilo,swali ni je ataweza nn ktk kuliongoza Taifa hili gumu,Mm namshauri Mama huyu SAMIA SULUHU HASSAN kuwa Suluhu iliyo njema ni apumzike tu asaidiwe na mtu mwingine.Alipotufikisha tunamshukuru sana.
Hapo sasaCCM huiba chaguzi Kila uchaguzi ukifika. Kama sa100 anashindwa kuendesha bandari anawezaje kuongoza nchi?
Very technical question.. Sikuwah kujua kama kua kuna siku serikali ya ccm kwa umbumbumbu wao itatoka hadharani bila kujijua kuja kukubali kuna jambo limewashinda... Yote haya ni matokeo ya wizi wa kura na wakipewa madaraka wanapoteza muda mwingi kurudisha fadhila kwa waliowasaidia na kuimarisha mifumo ya kuwafanya washinde tena kwa kuiba uchaguzi ujao, hawa kweli wataweza kuendesha bandari? Ndio mana hii nchi wameishindwa kabisa nchi kubwa sana hii, KATIBA MPYA INATAKIWA IWE NI MSUMARI WA MOTO ILI UKICHEZA UNAKWENDA NA MAJI... kwanza vyama karibia vyote ni wapumbavu... WANAUDHI SANA....Swali gumu sana hilo hata atakae jitutumua kujibu majibu hayatakuwa sahihi zitakuwa pumba tu.
Sasa unatafuta nini humu? Si uende jukwaa la BURUDANI?Eti asaidiwe na Mtu mwingine .
Chief mfumo wa nchi hii hizi kelele zetu zitaishia hapa hapa jf..
Umejibu hoja vizuri sana. Haya kacheze na wenzako mwanangu. Usijinyee kama janaHuyo boganza ni mtu yupo karibu na February anakula sana pesa zake wakiwa kule tanga
.hawa ndio maaskofu sadaka
Wanadamu wenye akili ndogo (Kama wewe) humshambulia mtu badala ya kushambulia HOJA.Huyo boganza ni mtu yupo karibu na February anakula sana pesa zake wakiwa kule tanga
.hawa ndio maaskofu.
Exactly vyama vyetu vina wajinga pia tena wengi sana wanaoviongoza sasa Hv wamelishwa asali wanatembea na vibe za kisanii tu.wengi wasioelewa siasa zetu wanajua jamaa wako serious kumbe hamna kitu.Very technical question.. Sikuwah kujua kama kua kuna siku serikali ya ccm kwa umbumbumbu wao itatoka hadharani bila kujijua kuja kukubali kuna jambo limewashinda... Yote haya ni matokeo ya wizi wa kura na wakipewa madaraka wanapoteza muda mwingi kurudisha fadhila kwa waliowasaidia na kuimarisha mifumo ya kuwafanya washinde tena kwa kuiba uchaguzi ujao, hawa kweli wataweza kuendesha bandari? Ndio mana hii nchi wameishindwa kabisa nchi kubwa sana hii, KATIBA MPYA INATAKIWA IWE NI MSUMARI WA MOTO ILI UKICHEZA UNAKWENDA NA MAJI... kwanza vyama karibia vyote ni wapumbavu... WANAUDHI SANA....
Hata kama lengo lako ni kuutetea mkataba mbovu. Jaribu kuja na hoja zenye mashiko, namna hii unawaangusha sana wenzako!Huyo boganza ni mtu yupo karibu na February anakula sana pesa zake wakiwa kule tanga
.hawa ndio maaskofu sadaka