JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,392
- 1,578
Huyo anayeshambulia mtu hajielewi hata kidogo na kama hajielewi hawezi kujua wenye Akili wanaongea nn.Wanadamu wenye akili ndogo (Kama wewe) humshambulia mtu badala ya kushambulia HOJA.
Unaleta vioja kwenye Mambo ya msingi badala ya kujibu HOJA.