tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Nyie watu wahuni tu. Hamna lolote. Kujifanya watakatifu kwa kuwapaka matope watu.Tuhuma hapa ni za mnafiki Bagonza.
Ukiwa na za Shoo na Malasusa anzisha thread yako na ushahidi.
Usipake wengine matope kwa unafiki na uovu uliokujaa moyoni kama Bagonza.
Masalia ya mwendazake haya,rubbish.Inashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.
Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.
Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.
Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;
Mathayo 7:5
Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.
Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
NdugaiKati ya Job Ndugai na Tundu Lissu je ni nani mtoro bungeni na hajulikani aliko?
Sasa unaniambia Mambo ya kulawiti hapa yameingiaje?Mapadre waache kulawiti watoto ni dhambi kubwa saana kwa Muumba
Bagonza ni mtu wa fact na si porojo za njaa kama hizi.
Bagonza ni akili kubwa. Huwa hajibizani na mtu(personal attacks)
Inahitajika akili kubwa kujibizana na Bagonza na si elimu kubwa.
Narudia tena.....kujibizana na Bagonza uwe na akili kubwa na si akili za njaa kama hizi.
Bora mimi nimesifia ujinga ila wewe umeandika upumbavu mtupu.Wenye akili kubwa hawaongei sana. Na wala hawaandiki kwa kuandika tu. Huona changamoto zao kwanza kabla ya wengine. So please Acha kusifia ujinga. He is a bishop and not just nobody. Tutawatambua kwa Matunda Yao. Biblia inasema. Wewe si mganga ungeenda jimboni kwake kwanza then come na andiko
Kibuni hoja zake badala ya kuongiza vitu ambavyo havina uhusiano na hoja yake. Matitizo ya uongozi wa kanisa ni yao wenyewe lakini hoja zake ni za taifa. Tuache kukwepa hoja jibu hoja au nyamaza. Hii style mwaka huu tumeikataaInashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.
Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.
Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.
Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;
Mathayo 7:5
Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.
Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
Mmezoea maaskofu mfano wa Gwajiboy huyu Bagonza,shoo,na mwamakula Ni akili kubwa zaidi ya yule Mungu wenu aliyekufa kwa uzembe...Inashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.
Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.
Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.
Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;
Mathayo 7:5
Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.
Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
Relax nigga.Ni kweli anajua mengi sio kama ww bongo lala,mpe heshima yake sio type yako kabisa.
Acha wivu wa kike, c nenda naww ukale pesa bure? Yaan mnakua na wivu mpaka kwa maaskofu? Kwahiyo wasile au. Cjui wachato hizi roho ovu mmetoa wap au ndo kule ng'ambo mwa kigoma!!!Anakula pesa ya kanisa.. ajiuzulu.