Askofu Bagonza tafuta miafaka ndani ya KKKT kabla ya kuingilia masuala ya siasa

Askofu Bagonza tafuta miafaka ndani ya KKKT kabla ya kuingilia masuala ya siasa

Tuhuma hapa ni za mnafiki Bagonza.
Ukiwa na za Shoo na Malasusa anzisha thread yako na ushahidi.
Usipake wengine matope kwa unafiki na uovu uliokujaa moyoni kama Bagonza.
Nyie watu wahuni tu. Hamna lolote. Kujifanya watakatifu kwa kuwapaka matope watu.
 
Inashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.

Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.

Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.

Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;

Mathayo 7:5

Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.

Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
Masalia ya mwendazake haya,rubbish.
 
Bagonza ni mtu wa fact na si porojo za njaa kama hizi.

Bagonza ni akili kubwa. Huwa hajibizani na mtu(personal attacks)

Inahitajika akili kubwa kujibizana na Bagonza na si elimu kubwa.

Narudia tena.....kujibizana na Bagonza uwe na akili kubwa na si akili za njaa kama hizi.

Wenye akili kubwa hawaongei sana. Na wala hawaandiki kwa kuandika tu. Huona changamoto zao kwanza kabla ya wengine. So please Acha kusifia ujinga. He is a bishop and not just nobody. Tutawatambua kwa Matunda Yao. Biblia inasema. Wewe si mganga ungeenda jimboni kwake kwanza then come na andiko
 
Wenye akili kubwa hawaongei sana. Na wala hawaandiki kwa kuandika tu. Huona changamoto zao kwanza kabla ya wengine. So please Acha kusifia ujinga. He is a bishop and not just nobody. Tutawatambua kwa Matunda Yao. Biblia inasema. Wewe si mganga ungeenda jimboni kwake kwanza then come na andiko
Bora mimi nimesifia ujinga ila wewe umeandika upumbavu mtupu.

Bagonza angekuwa ndiyo mkuu wa KKKT duniani tungemlaumu kwa kushindwa kutatua changamoto za kimfumo wa uendeshaji wa kikanisa. Nyie ndiyo mnaoshinda kulalamikia mbunge ameshindwa kuleta maendeleo jimboni na wakati mbunge hakusanyi kodi kama ilivyo kwa serikali. Akili ndogo sana.

Kwa mawazo yako unataka niende jimboni kwa Bagonza nikaanze kufuatilia maisha(udhaifu) wake. Aliyekwambia Bagonza ni malaika ni nani? Akili ndogo sana hiyo.

Elewa kwamba Bagonza anakosoa mifumo ya serikali ambayo aliyepo juu(Rais) ndiyo mtu pekee ambaye akiamua anarekebisha na asipoamua anaacha. Bagonza hasemi tufuatilie maisha binafsi ya Rais sababu tunajua Rais ni binadamu sio malaika.

Usipoelewa na hapa basi anza safari ya kwenda kuzimu tu maana utakuwa umeumaliza mwendo.
 
Inashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.

Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.

Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.

Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;

Mathayo 7:5

Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.

Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
Kibuni hoja zake badala ya kuongiza vitu ambavyo havina uhusiano na hoja yake. Matitizo ya uongozi wa kanisa ni yao wenyewe lakini hoja zake ni za taifa. Tuache kukwepa hoja jibu hoja au nyamaza. Hii style mwaka huu tumeikataa
 
Inashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.

Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.

Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.

Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;

Mathayo 7:5

Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.

Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
Mmezoea maaskofu mfano wa Gwajiboy huyu Bagonza,shoo,na mwamakula Ni akili kubwa zaidi ya yule Mungu wenu aliyekufa kwa uzembe...
 
Back
Top Bottom