Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza: Uchaguzi Mkuu au Utekaji Mkuu au Ujazaji fomu Mkuu?

Huyy nae anahangaika
Anatafuta umaarufu Hana lolote
 
Kwa mwenye UFINYU wa akili tu ndiye anayeweza kuandika hivi kwamba anayetaka kuona Uchaguzi ukiwa huru na wa haki anatafuta UMAARUFU.

Huyy nae anahangaika
Anatafuta umaarufu Hana lolote
 
Kwa mwenye UFINYU wa akili tu ndiye anayeweza kuandika hivi kwamba anayetaka kuona Uchaguzi ukiwa huru na wa haki anatafuta UMAARUFU.
Mmebanwa kila Kona ndio mnajifanya uchaguzi huru na wa haki
Magu kawabana mlizoea vya kunyonga na ufisadi wenu mnaajza kulia Lia hahaha
Bado subirini dawa iwaingie
Wee utaona ufinyu was akili iwa vile wewe una ufinyu wa akili huwezi kutambua akili kubwaaa
 
Moja kati ya watu wataumia endapo Lisu atakatwa ni huyu Bagonza!

Jamaa ana mahaba kwa Lisu vibaya mno.
Askofu Bagonza (PhD) ni mkweli.
Lissu A.T.M naye ni mkweli.
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Mungu ni wa kweli iwekayo huru.
Kuwa na mahaba na msemakweli na mpenda ukweli ni kumpenda Mungu.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…