Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza: Ujumbe kwa vyombo vya Ulinzi

Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza: Ujumbe kwa vyombo vya Ulinzi

Acha kujitoa ufahamu! Watanzania wengi wanawaita hivyo bila woga wala aibu si BAK peke yake.
Hao wengi ni wangapi mkuu. Mimi najua watanzania wanawaita police
 
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
HUWEZI KUHUBIRI AMANI BILA KUHUBILI HAKI NA WAJIBU KWANI AMANI NI TUNDA LA HAKI, KWA KAWAIDA CCM WANATAKA AMANI BILA HAKI,maajabu tendeni haki kwanz ili mpate amaniya kweli,kwa akili yako watanzania kwa sasa wana amani?
 
Chadema huwa mnalaani hadi watu?

Vipi mmeshamlaani yule msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji ?
Shenzi kabisa wewe alo kwambia kila mtu chadema nani!? Acheni mihemko tendeni haki mie sina chama chocho ispokua na simama upande wa Mungu tenda haki
 
Tanzania ni Nchi ambyo inashika nafasi ya tatu kwa kuwa na amani Africa na nafasi ya 20 duniani

Haki ni kama asali ukionja utatamani tena, itafika wakati mtadai wanaume waoane kwa kisingizo cha haki

Washa t.v. yako uangalie wakimbizi wanaokufa baharini Kwasababu Nchi zao hazina amani
HUWEZI KUHUBIRI AMANI BILA KUHUBILI HAKI NA WAJIBU KWANI AMANI NI TUNDA LA HAKI, KWA KAWAIDA CCM WANATAKA AMANI BILA HAKI,maajabu tendeni haki kwanz ili mpate amaniya kweli,kwa akili yako watanzania kwa sasa wana amani?
 
But Askofu kama kweli Wewe ni mshauri Kwanini unapenda kuegemea Chadema tu?

Unamaanisha Chadema ndio hawakosei ?

Mbona hukemei ushoga ambaye mgombea wa chadema Aliwatetea ?
Anaegemea upande unaotetea haki. Haki ni mojawapo ya sifa kuu za Mungu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mmeshamlaani msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji hapo ufipa ?
Shenzi kabisa wewe alo kwambia kila mtu chadema nani!? Acheni mihemko tendeni haki mie sina chama chocho ispokua na simama upande wa Mungu tenda haki
 
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako

Kondoo wake ni pamoja na walio kwenye hivyo unavyoita vyombo vya ulinzi na usalama.

Bia yetu shut up hujui kitu.
 
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu

Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili

Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
Huna mamlaka ya kumnyamazisha Mtumishi wa Mungu. Kaa kimya kama maneno ya Askofu yamekuchoma!!
 
Unadhani kwanini JWTZ hawapigwi mawe?
Hakuna anayestahili kupigwa mawe. Lakini BAK niambie tuu wewe umerusha mawe mangapi?
Au umesakizia watoto wa wenzio wakati wako umewakumbatia ndani
 
Jibu swali acha kujibaraguza!
Hakuna anayestahili kupigwa mawe. Lakini BAK niambie tuu wewe umerusha mawe mangapi?
Au umesakizia watoto wa wenzio wakati wako umewakumbatia ndani
 
Back
Top Bottom