mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Hao wengi ni wangapi mkuu. Mimi najua watanzania wanawaita policeAcha kujitoa ufahamu! Watanzania wengi wanawaita hivyo bila woga wala aibu si BAK peke yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wengi ni wangapi mkuu. Mimi najua watanzania wanawaita policeAcha kujitoa ufahamu! Watanzania wengi wanawaita hivyo bila woga wala aibu si BAK peke yake.
Vyovyote vile lakini sio sawa kuwapiga maweHao watakuwa maccm, JIONGEZE ili ujue yanayojiri Nchini.
HUWEZI KUHUBIRI AMANI BILA KUHUBILI HAKI NA WAJIBU KWANI AMANI NI TUNDA LA HAKI, KWA KAWAIDA CCM WANATAKA AMANI BILA HAKI,maajabu tendeni haki kwanz ili mpate amaniya kweli,kwa akili yako watanzania kwa sasa wana amani?Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu
Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili
Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
Ulaaniwe wewe na kizazi chako chote mwenyezi Mungu pokea sala yangu Amen
Shenzi kabisa wewe alo kwambia kila mtu chadema nani!? Acheni mihemko tendeni haki mie sina chama chocho ispokua na simama upande wa Mungu tenda hakiChadema huwa mnalaani hadi watu?
Vipi mmeshamlaani yule msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji ?
HUWEZI KUHUBIRI AMANI BILA KUHUBILI HAKI NA WAJIBU KWANI AMANI NI TUNDA LA HAKI, KWA KAWAIDA CCM WANATAKA AMANI BILA HAKI,maajabu tendeni haki kwanz ili mpate amaniya kweli,kwa akili yako watanzania kwa sasa wana amani?
Anaegemea upande unaotetea haki. Haki ni mojawapo ya sifa kuu za MunguBut Askofu kama kweli Wewe ni mshauri Kwanini unapenda kuegemea Chadema tu?
Unamaanisha Chadema ndio hawakosei ?
Mbona hukemei ushoga ambaye mgombea wa chadema Aliwatetea ?
Shenzi kabisa wewe alo kwambia kila mtu chadema nani!? Acheni mihemko tendeni haki mie sina chama chocho ispokua na simama upande wa Mungu tenda haki
Tarehe 28 ukale kiapo cha kuacha pombeMimi sio msaliti wa Nchi, laana ni kwa msaliti wa Nchi
Unashabikia kunywa pombeHakuna maovu yeyote ila kuna mgombea fulani alitetea ushoga hayo ndio maovu na laana
Naomba maana ya usaliti kwanza labda mm ndio sijui afu tuendeleeMmeshamlaani msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji hapo ufipa ?
Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu
Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili
Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
Huna mamlaka ya kumnyamazisha Mtumishi wa Mungu. Kaa kimya kama maneno ya Askofu yamekuchoma!!Askofu Bogonza hudumia kondoo wako, mambo ya vyombo vya ulinzi kwako ni makubwa hujui kitu
Vyombo vya ulinzi ndio vinawapa waumini wako wasaa wa kutafuta sadaka wakuletee jumapili
Bila Amani, usingepata sadaka hapo kanisani kwako
Kondoo wake ni pamoja na walio kwenye hivyo unavyoita vyombo vya ulinzi na usalama.
Bia yetu shut up hujui kitu.
Huna mamlaka ya kumnyamazisha Mtumishi wa Mungu. Kaa kimya kama maneno ya Askofu yamekuchoma!!
Nimetulia kiongozi