mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
unachamba watu sana dada, shida sijui nin!!!Bibie Upoupo tu kutwa kuchaa JF , na unanuka shomo la samaki wa feri. Kaoshe kwanza halafu upunzike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unachamba watu sana dada, shida sijui nin!!!Bibie Upoupo tu kutwa kuchaa JF , na unanuka shomo la samaki wa feri. Kaoshe kwanza halafu upunzike.
Hajakunwa vizur huyoounachamba watu sana dada, shida sijui nin!!!
Unamdharau na kumuona mpuuzi tu asiye na maana.
Is that all you can say?
Inavunja moyo hata kuchangia kodi katika serikali hii
Eti Serikali haramu inayopora chaguzi leo inazungumzia mshikamano.
Uwe unaelewa .Unaweza ukawa unadhihakiwa kwa kutetewa na weye unacheka.Kwa mfano nikikuona hauna nguo halafu nikakununulia chupi na shanga utanielewa?Mwambie atulie!
Si ndio huyu nae alikuwa anademka tu siku Mwigulu anasoma bajeti?
Nani wakwenda mahakani akapotezweKuna baadhi ya sheria mahakama inaziRevoke mbona
Haya maneno hayakupaswa kwenda kwa Bagonza, huyu Askofu alianza siku nyingi kuwatetea wananchi, wapo Maaskofu waliopaswa kuambiwa haya usemayoHuyu ni askofu asieelewa nn anakifanya ila anatumia haki yqke kikatiba kutoa maoni yake lkn uenda yeye Ni msomi kuliko Mimi lkn muumba bado hajamfahamisha maana navyotambua mihimili ya nchi iko mitato yaan mahakama bunge na serikal Sasa huyu serkali ndo kila kitu na rahis wa awamu ya tano alituambia ukwel hakuficha kwamba yeye ndo mkuu wa dola wengine mumsikilize yeye lkn Kama haitoshi nimuongezee askofu kwamba Dola Ni ukabaji,uporaji,ujasusi na dhuluma dhidi ya raia wake Sasa ukihubir haki au ukiitaka haki serkalini Ni kupikia jiko la kuni kwenye mafuriko ebu ajikite kwenye kuwaelekeza watu wasiwashangalie viongoz wa serkali pale wanapokuja na uongo isipokuwa wakimbilie kanisani wamuache mwana siasa abwabwaje mwenyewe
"Tozo za miamala ya simu zimeunganisha mihimili bunge na serikali dhidi ya wananchi na walaji. Katiba inatenganisha mihimili hii miwili. Tozo zimeiunganisha. Ni kinyume cha katiba. Wabunge wamekubaliana na serikali kuwanyonya wananchi. Nani mtetezi wa wananchi?"
Askofu Bagonza
Wananchi Tanzania miaka yote hawana mtetezi, na hata wananchi wakiamua kukimbilia kwenye mhimili wa tatu (mahakama) nako watashindwa kwasababu hizo tozo tayari zipo kisheria, hapa wananchi ni sawa na tumefungwa pingu mikononi na miguuni.
Vishakupe vya Lumumba mkumbuke na kuoga basi, JF ipo tu haiendi kokoteHajakunwa vizur huyoo
Vipi kuhusu repoti ya waziri mkuu juu ya faulo za wizara ya fedha....watumishi kujilipa mamilioni bila taratibu rasmi!?Tunahimizwa tuchangie kodi lakini ubadhirifu ukifanyika hauwekwi hadharani na wala hakuna anaewajibija. Matokeo ya tume ya wizi wa BoT yamefanyiwa kazi gani?
Ni mengi na yakiwekwa hadharani utagundua wengi wa hawa tunaowapigia makofi walitakiwa kuwa Segerea.Vipi kuhusu repoti ya waziri mkuu juu ya faulo za wizara ya fedha....watumishi kujilipa mamilioni bila taratibu rasmi!?
Aisee, lakini wao ndio wanaiweka seriksli madarakani. Kuwatawala watanzania ni rahisi sana, ukiwaonea watalalamika badala ya kukuzuia.Wananchi Tanzania miaka yote hawana mtetezi, na hata wananchi wakiamua kukimbilia kwenye mhimili wa tatu (mahakama) nako watashindwa kwasababu hizo tozo tayari zipo kisheria, hapa wananchi ni sawa na tumefungwa pingu mikononi na miguuni.