Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Anakuwa kama yule Dr Shoo, kila kukicha manung'uniko na vijembe vingi. Uzuri ni kwamba JPM ana msimamo huwezi myumbisha kijinga tu.Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?
PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations
Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Hizo ni philosophical argument mzee inahitaji akili kubwaNilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?
PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations
Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Ni kweli, lakini tukiona/kusimuliwa yanayoendelea huzuni inakuja yenyewe[emoji124][emoji124]Sisi ambao hatukujishughulisha na chochote tuna furaha
Japo hana ushahidi wowote toka kwa watanzania walio nje na eneo lake.Amejisemea ukweli aiseee
Amekosa furaha, anapaniki alafu anamshutumu Askofu aliyeseka ukweli wa moyoni.Acha hasira unaonekana umepaniki
Mkuu kwa sura hii hii,bila kujali ulichokiongea ni kweli ama laa. Naomba unipe tathmini ya PhD ya 'mkulu' huku ukihusianisha na matamko,hatua na miongozo anayoitoa kila siku kwenye uwajibikaji wake,na mwisho uhitimishe kama PhD yake inajidhihiri ndani yake ama?PhD za viongozi wa makanisa huwa nyingi haziheshimiki ba sababu inayosababisha na watu wenye PhD za makanisani Kama akina Bagonza.Ukikutana na mtu mwenye PhD wa fani zisizo za makanisani anaongea kwa takwimu na evidence verifiable.Hizi PhD za viongozi wa makanisa nyingi Ni za urembo tu za kutundika ukutani .Wanaozitoa wanavipa vichwa vitupu.Wanavalisha kofia ya PhD kwenye kichwa kitupu kisicho na kitu kwenye ubongo
Kweli kuna maaskofu mfano wa Pengo na Nyaisonga bila kuisifia Serikali ni kama wanashinda njaa, ila huyu kusema ukweli tu anaonekana kana kwamba ana PhD feki, kweli Watanzania wengi ni wafuata mkumbo tu. ukweli ni kwamba karibu wooote hatuna FURAHA ya kweli.Jiwe gizani.
Sisi PhD yake haituhusu tunaangalia kile anachokisema je kina ukweli?
Yule sio Pengo wala Nyaisonga.
Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?
PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations
Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Sipingani nawa mkuu ila ukweli ni kwamba Phd ya jiwe inaonekana kiasi kwenye utendaji, ila linapokuja suala la matamko yake yaani ni borea angekaa tu numbani wakatu mwingine kuificha aibu yake binafsi au anayo wasababishia wengine kwa kutokua na simile kwa baadhi ya mambo. Hua anaropoka sana hadi inaharibu ile level aliyonayo.Mkuu kwa sura hii hii,bila kujali ulichokiongea ni kweli ama laa. Naomba unipe tathmini ya PhD ya 'mkulu' huku ukihusianisha na matamko,hatua na miongozo anayoitoa kila siku kwenye uwajibikaji wake,na mwisho uhitimishe kama PhD yake inajidhihiri ndani yake ama?
Sijaona popote alipoandika Nchi nzima!! Au mwenzetu unabandiko lako!?Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?
PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations
Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
HANA kwan wewe hulioni hilo kupitia kauli zake???????Kwa hiyo hata Jiwe hana furaha kweli?
Na wewe unaonesha huna furahaAskofu boganza amekuwa mtu wa kupigania Tumbo lake
Anaongea mihemuko ya kisiasa akasahau kuhudumia wakristo wanaomlipa mshahara
Kidooogo napingana nawe mkuu.Ukiona kiongozi wa kiroho ana mawazo yanamna hii hapo tambua hakuna kitu,maana mwenye wajibu wakuiamuru furaha ikae n yeye
Lete sababu kiongoziK
Kidooogo napingana nawe mkuu.
Kweeeeli hana huyo ila tumefundishwa kusamehe mkuu, msamehe tu.Naww unaonesha huna furaha
Bila shaka yehodaya huna furaha[emoji1787]PhD isiyoongea kwa hoja zenye takwimu Kama ya Bagonza waweza iita PhD.? Kwa hoja hizi nyeupe zisizo.na takwimu waweza thubutu kumwita Bagonza kuwa Ni DR?