Askofu Bagonza: Wanaodhani wana furaha hawana furaha. Wapinzani hawana furaha, wapinzani wa wapinzani hawana furaha

Askofu Bagonza mipasho mingi, inabidi akutanishwe na waimba taarabu ili wajipange waone namna ambavyo anaweza kuanzisha bendi ya taarab, nahau anazo nyingi misemo anayo mingi.
Acha kuwaiga hawa wakina kawe Alumin, YEHODAYA nk. Uelewa wako lazima u appreciate maneno yenye kila muonekano wa kisomi nawe jibu hoja hiyo kisomi!
Mkuu umepatwa na nini hadi kuweka kapuni "weledi" wako? Au ndio kanuni ya huko uliko?
 
Huyu mtumishi wa Mungu ana mafumbo yasiyoeleweka.
Somo la mawasiliano hakuliewa .Kwenye communication message inatakiwa kuwa clear .Someone.hili la communication hufundishwa mwaka wa kwanza digrii zote.Sasa Kama Ana PhD na haeleweki Ni kuwa chuo kilimpa digrii mtu mwenye kichwa kitupu cheupe kisicho na ubongo ndani
 
Acha kuwaiga hawa wakina kawe Alumin, YEHODAYA nk. Uelewa wako lazima u appreciate maneno yenye kila muonekano wa kisomi nawe jibu hoja hiyo kisomi!
Muonekano wa kisomi sio kuvaa joho la PhD na kofia la PhD ni takwimu kwenye hoja
 

Sasa sikiliza PhD ya nje ya kanisa.
PhD; Jengo la ghorofa unaweka lift?
Eng: Ni sheria kwa public building
PhD; Nyumbani kwako kuna lift?
Eng: Nyumba yangu siyo public building.
PhD: Kwani watu wa public hawaji kwako?

Hiyo ndiyo hadhi ya PhD ya nje ya kanisa unayosema?
 
Sio kila jengo.la ghorofa Lina lift waweza Jenga barabara ambayo viwete na baskeli zao waweza panda,kitanda Cha mgonjwa chenye magurudumu waweza tumia na magari ya wagonjwa yaweza tumia kupeleka mgonjwa ghorofa Lift sio universal law.
Hata nyumba binafsi waweza Jenga barabara ya kwenda ghorofani
 
Kwahiyo, hawakujitokeza? Kura hazikupigwa? Uchaguzi uliahirishwa? Nisaidie kujua.
 
Naona unajifanya kama vile hujaelewa!!
 
Sawa ukweli wa takwimu sahihi anazo Kardinali Polycard Pengo mkuu
 
Comment yako ni data tosha kua hauna Furaha. Itafute kwanza furaha ndo uje uandike
 
Anakuwa kama yule Dr Shoo, kila kukicha manung'uniko na vijembe vingi. Uzuri ni kwamba JPM ana msimamo huwezi myumbisha kijinga tu.
Jpm kaingiaje Kwenye huu ujumbe wa baba askofu.
Au nyie ndo mnaharibu nchi kwa kivuli cha jpm
 
Mara nyingi mlevi huongea kile anacho kiamini na hata pombe ikiisha bado huwa si rahisi kubadilika badilika... ila tahira huwa hata hajui na hana uhakika na anacho kiongea sawa na hili bandiko lako
 
Hayo yote uliyohoji yalifanyika lakini tunaposema jambo limedorora/halikufurahisha haina maana halikufanyika 100%. Hapa tunafanya comparison na chaguzi zingine.
Kwahiyo, hawakujitokeza? Kura hazikupigwa? Uchaguzi uliahirishwa? Nisaidie kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…