Askofu Bagonza: Wanaodhani wana furaha hawana furaha. Wapinzani hawana furaha, wapinzani wa wapinzani hawana furaha

Askofu Bagonza: Wanaodhani wana furaha hawana furaha. Wapinzani hawana furaha, wapinzani wa wapinzani hawana furaha

Askofu Bagonza mipasho mingi, inabidi akutanishwe na waimba taarabu ili wajipange waone namna ambavyo anaweza kuanzisha bendi ya taarab, nahau anazo nyingi misemo anayo mingi.
Masiha atafundisha kwa mithali ili wasikie lakini wasielewe, watazame lakini wasione, bali wale tu waliojaliwa hekima ya Mungu.

Lugha anayoitumia Askofu Bagonza kufikisha ujumbe wake kwa watu, inaeleweka kwa wale tu waliojaliwa hekima ya Mungu. Kwa wasio na akili, wenye roho ya shetani, japo neno lake litawachoma lakini halitawasaidia chochote maana wao wana nadhiri na Kuzimu.
 
Masiha atafundisha kwa mithali ili wasikie lakini wasielewe, watazame lakini wasione, bali wale tu waliojaliwa hekima ya Mungu.

Lugha anayoitumia Askofu Bagonza kufikisha ujumbe wake kwa watu, inaeleweka kwa wale tu waliojaliwa hekima ya Mungu. Kwa wasio na akili, wenye roho ya shetani, japo neno lake litawachoma lakini halitawasaidia chochote maana wao wana nadhiri na Kuzimu.
Ni mipasho tu mkuu Bams mwenye akili nyingi.

Anaongea na kinyongo na yale yale majigambo ya kwetu Kagera.
 
Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?

PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations

Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable

Unaonyesha kabisa ni kwa jinsi gani “HUNA FURAHA “
 
Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?

PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations

Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Wewe ni miongoni mwa watu wasio na furaha. Calm down, umepanic mzee!!!
 
Yes angalau kwenye uwaziri anakuwa na watu juu yake kumcheck anapokosea ila kwa hapo alipo duh ni tatizo aisee.
Kweli hilo ni tatizo la MILENIA maana kwa bahati mbaya sana tuliyonayo watanzania hakuna hata mmoja anayeweza kumshauri hasa anapokua keshaaamua jambo lake, hata liwe la kipuuzi.
 
Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?

PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations

Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Ana PhD kama ya kabudi?
 
Kwa mujibu wa kitabu chake alichoandika kihusucho Sustainable Development in Tanzania, inaonyesha Askofu amesoma vyuo Vikuu vifuatavyo: UDSM, Makumira, Copenhagen, Tubingen na Chicago. Kitabu chake kimejikita kwenye uchumi na maendeleo.
 
Back
Top Bottom