Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ukifika mei mosi mshukuru sana Munguaskofu au mhuni mmoja tu kama wahuni wengine huyu atakuwa amekula hela za mabeberu alikuwa na uhakika lissu atashinda urais sasa akakosa amebaki kuacha uchungaji na kuwa mwana siasa sasa hivi naye atakimbilia ulaya kuolewa aseme amekuwa mkimbizi wa kisiasa
Na kweli karibu wote wameisha amebaki NdugaiAskofu alifunga kwa maombi kwamba yeyeto yule ataekavuruga uchaguzi Mungu awaaaibishe.Mungu katenda wametawanyika njia saba
Huyu askofu hana ushawishi kabisa yaani kila tukio analofanya anaonekana ni kituko.Baba Askofu amesema amefurahishwa sana na ziara ya kibinadamu iliyojaa utu inayofanywa na viongozi wa Bavicha ya kutembelea Magereza za Tanzania kwa lengo la kuwasalimia na kuwapa moyo Wafungwa na Mahabusu waliowekwa selo kwa miezi mingi kwa tuhuma za uongo za kisiasa zilizoshinikizwa kinyama na viongozi kwa lengo la kuwakomesha Waliounga mkono Chadema.
Baba Askofu ataungana na Bavicha kwenye mfululizo wa ziara hizo Mkoani Mara.
Baba ako mwenye ushawishi mbona hafanyi?Huyu askofu hana ushawishi kabisa yaani kila tukio analofanya anaonekana ni kituko.
The next....!Na kweli karibu wote wameisha amebaki Ndugai
Du Mkuu uwe na kiasi, nakuomba.Askofu au mhuni mmoja tu kama wahuni wengine huyu atakuwa amekula hela za mabeberu alikuwa na uhakika lissu atashinda urais sasa akakosa amebaki kuacha uchungaji na kuwa mwana siasa sasa hivi naye atakimbilia ulaya kuolewa aseme amekuwa mkimbizi wa kisiasa
Askofu wa kanisa gani na huo uaskofu alipewa na nani, atashona na kuvaa mavazi ya kiaskofu au hata kofia feki za kiaskofu wakati hata kanisa hana wala halijulikaniBaba Askofu amesema amefurahishwa sana na ziara ya kibinadamu iliyojaa utu inayofanywa na viongozi wa Bavicha ya kutembelea Magereza za Tanzania kwa lengo la kuwasalimia na kuwapa moyo Wafungwa na Mahabusu waliowekwa selo kwa miezi mingi kwa tuhuma za uongo za kisiasa zilizoshinikizwa kinyama na viongozi kwa lengo la kuwakomesha Waliounga mkono Chadema.
Baba Askofu ataungana na Bavicha kwenye mfululizo wa ziara hizo Mkoani Mara.
It can beThe next....!
uaskofu ni kama ualimu , hata kama hafundishi huwezi kumvua ualimu wakeAskofu wa kanisa gani na huo uaskofu alipewa na nani, atashona na kuvaa mavazi ya kiaskofu au hata kofia feki za kiaskofu wakati hata kanisa hana wala halijulikani
Aisee mkuu kwenye kuolewa umekwenda mbali sana. Kumbuka huyo nae anamachaguo yake kama viongozi wengine wa dini ambao wanashabikia ccm. Hata kama mtu huendani nae kiitikadi lakini usimshambulie hivyo. Nakuombea msamaha kwa uliowakwazaAskofu au mhuni mmoja tu kama wahuni wengine huyu atakuwa amekula hela za mabeberu alikuwa na uhakika lissu atashinda urais sasa akakosa amebaki kuacha uchungaji na kuwa mwana siasa sasa hivi naye atakimbilia ulaya kuolewa aseme amekuwa mkimbizi wa kisiasa
Hakika !Upendo wa namna hii hamna askofu yoyote wa CCM ambaye anao. Sio Malasusa, Kardinali Pengo, @gwaj8ma wala Kakobe ambao wanao
Serikali inafanya kosa kubwa sana kumlea huyu jamaa. hafai hata kuitwa askofu. anachanganya sana siasa na dini jambo ambalo ni baya sana. naongea hivi kwasababu kwa harakati hizo angekuwa shehe angeshafungwa, kwanini wasimfunge huyu naye?Baba Askofu amesema amefurahishwa sana na ziara ya kibinadamu iliyojaa utu inayofanywa na viongozi wa Bavicha ya kutembelea Magereza za Tanzania kwa lengo la kuwasalimia na kuwapa moyo Wafungwa na Mahabusu waliowekwa selo kwa miezi mingi kwa tuhuma za uongo za kisiasa zilizoshinikizwa kinyama na viongozi kwa lengo la kuwakomesha Waliounga mkono Chadema.
Baba Askofu ataungana na Bavicha kwenye mfululizo wa ziara hizo Mkoani Mara.
Shetani hajawahi kumshinda MunguSerikali inafanya kosa kubwa sana kumlea huyu jamaa. hafai hata kuitwa askofu. anachanganya sana siasa na dini jambo ambalo ni baya sana. naongea hivi kwasababu kwa harakati hizo angekuwa shehe angeshafungwa, kwanini wasimfunge huyu naye?
Jiite Liboya 2021 jina zuri sanaAskofu au mhuni mmoja tu kama wahuni wengine huyu atakuwa amekula hela za mabeberu alikuwa na uhakika lissu atashinda urais sasa akakosa amebaki kuacha uchungaji na kuwa mwana siasa sasa hivi naye atakimbilia ulaya kuolewa aseme amekuwa mkimbizi wa kisiasa