LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Wapi? Wamekula miradi ya wajane? Kweli hakuna dini iliyosafi kwa style hiI za kula hela za wajaneShoo mnamwonea, wakati akiwa Askofu mkuu huku ulikuwa na maaskofu, mmoja wao ni Askofu Malasusa,
Kama kanisa kuoza ni kote, na ieleweke tu kuwa huyo Shoo aliwekewa mgomo baridi, kundi kubwa likimtaka Malasusa.
Huku kwetu hata miradi ya wajane imeliwa, je nayo alaumiwe Shoo?
Ngoja sasa si tutaona.