Tuna Bagonza, Mwamakula....hawa ni mitume mbele ya HerodeUjumbe wake ni chakula cha ubongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna Bagonza, Mwamakula....hawa ni mitume mbele ya HerodeUjumbe wake ni chakula cha ubongo.
And God Bless himAmen Man Of God
Bishop Bagonza
AmeenTundu Lissu una upako wote wa utetezi wa wanyonge.
Tumekuona ukiwatetea Bulyanhulu, ambapo serikali ya CCM iliwazika wakiwa hai wachimbaji wadogo wa dhahabu.
Pia tulikuona Nyamongo.
Mungu akupe haja ya moyo wako.
Good thinkingKuna wanasiasa lakini hawaijui siasa. Wanaitwa wanasiasa kwa sababu wako kwenye nafasi za Kisiasa. Kuna watu si wanasiasa lakini wanaijua siasa. Hawako kwenye nafasi za Kisiasa lakini ni watu muhimu katika kuboresha maisha ya Kisiasa kwa sababu wanaijua siasa...
Wasio jitoa ufahamuViongozi wachache wa dini waliobaki na akili zao.
Hahahaaaa.Hongera kwa hoja nzitoKuna wanasiasa lakini hawaijui siasa. Wanaitwa wanasiasa kwa sababu wako kwenye nafasi za Kisiasa. Kuna watu si wanasiasa lakini wanaijua siasa. Hawako kwenye nafasi za Kisiasa lakini ni watu muhimu katika kuboresha maisha ya Kisiasa kwa sababu wanaijua siasa...
Roho Mtakatifu anasema na watanzania kupitia kinywa cha mtumishi wake.Hii falsafa ni ya kiwango cha kimataifa
Ana viwango sanaAskofu wa taifa, yuko kwenye utaratibu. Waraka mwingine wa mtume Bangoza kwa watanzania. Huyu mchizi ni kama Paulo kwenye Bible
Kuna viongozi wa dini wssiokuwa na Imani na dini hiyo Kama Bagonza, aliyemuachia kanisa shetani kipindi Cha Corona!Kuna wanasiasa lakini hawaijui siasa. Wanaitwa wanasiasa kwa sababu wako kwenye nafasi za Kisiasa. Kuna watu si wanasiasa lakini wanaijua siasa. Hawako kwenye nafasi za Kisiasa lakini ni watu muhimu katika kuboresha maisha ya Kisiasa kwa sababu wanaijua siasa...