SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Kabla ya Magufuli Chadema iliwahi kushika dola si ndio !? Na kama Magufuli aliirudisha nchi hii kwenye mfumo wa Chama kimoja mnangoja nn kuirudisha kwenye mfumo wa vyama vingi !? Hii nchi hamtakaa muendelee kamweeNchi hii tayari ipo kwenye mfumo wa chama kimoja tangu mwaka 2020 na ilirudishwa na dikteta Magufuli.
ungemuuliza askofu sasa anae ng'ang"ana chama kimoja kama anafahamu kuna hilo unalo hojiUnaufahamu wowote kuhusu DEMOKRASIA WEWE? Unaongeleaje serikali ya shirikisho? Nategemea wewe ndio u substantiate hili jambo hapa
Sahihi kabisa irudi mara ngapi?Nchi hii tayari ipo kwenye mfumo wa chama kimoja tangu mwaka 2020 na ilirudishwa na dikteta Magufuli.
sidhani kama muhashamu askofu analifahamu hiloKuna Alliances za Vyama kuendesha Serikali kwenye Multy Party Democracy.
Good newsNdege ya Adui Urusi, imeangushwa na majeshi ya Ukraine huko Mkoani Kursk Urusi
View attachment 3069798
mbona muhashamu baba askofu hajaeleza hivyo?Tatizo hujamuelewa, chama kimoja means katiba haikuandaliwa ku accept vyama vingi. Sheria za kawaida yes but katiba haikubadilishwa is why its seems chama kimoja kina hodhi kila kitu. Which is not right aunder nchi ambayo inajidai ina mfumo wa vyama vingi
We kikongwe umelaaniwa haswaWalutheri ndiyo wasahau kabisa kuongoza nchi hii ya kipagani inayoongozwa na Muislam kwa sasa.
Haha tumia akili, usisome kama gazetimbona muhashamu baba askofu hajaeleza hivyo?
Askofu anasema serikali inaifanya Chadema tu ndio inasikika kila siku.View attachment 3069670
"Ninaona na ninaamini mchakato ule wa maridhiano umetekwa, siwezi kusema Rais ndiye ameuteka kwa sababu yeye ndiye aliyeuanzisha ila ninahisi kuna nguvu nyingine tusiyoiona ambayo imeteka mchakato ule wa maridhiano na kutaka kulirudisha taifa letu katika sintofamu"- Dkt. Bagonza.
Dkt. Benson Bagonza ambaye ni Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Karagwe akizungumza na kituo cha habari cha Busokelo TV hivi karibuni hasa baada ya viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wanachama wa chama hicho, wanaharakati na wanahabari kukamatwa na Jeshi la Polisi maeneo mbalimbali ya Tanzania.
Askofu Bagonza ni Level nyingine wewe baking kwenye Uchawa wa mitandaoni.sidhani kama muhashamu askofu analifahamu hilo
Level ipi huyoAskofu Bagonza ni Level nyingine wewe baking kwenye Uchawa wa mitandaoni.
actually,Askofu Bagonza ni Level nyingine wewe baking kwenye Uchawa wa mitandaoni.
Hakuna Chawa ambaye ni Level nyingine kushinda Lumumba kutupiwa makombo?!actually,
na mimi ni level nyingine pia, ambae sibabaiki na mwingine kwa chochote, namwaga ukweli wa mambo daima, bila mbambamba yoyote
Sasa kama yeye ndiye aliyetusababishia kadhia hii tumuache kisa hayupo duniani mkuu?Magufuli hayupo!!! Mnaye Rais mshaurini na atende ipasavyo!!
Anaharibu mwingine wewe unakimbilia kumlaumu asiyeona, asiyesikia na asiyeweza kujitetea.
ukatae, ukubali, ubishe, usibishe, uhemke, usihemke tunasonga mbele bila mbambamba yoyote humi nchini tuHakuna Chawa ambaye ni Level nyingine kushinda Lumumba kutupiwa makombo?!
Yote Maisha, bora mkono uende kinywani au sio?!πukatae, ukubali, ubishe, usibishe, uhemke, usihemke tunasonga mbele bila mbambamba yoyote humi nchini tu
yaan uwe unatafuna kucha,right?Yote Maisha bora mkono uende kinywani au sio?!π
Tangu lini mtu asiye na uelewa, akawa mwalimu??ndio nawaelimisha sasa wewe na askofu muelewe π
ni kwa faida ya alie tayari kuongeza uelewa na ufahamu wake katika masuala mbalimbali kijamii, kisiasa na kiuchumi hakika atafaidika, na washupaza shingo hawalazimishwi kufanya hivyoTangu lini mtu asiye na uelewa, akawa mwalimu??
Huyu Askofu ana akili sanaView attachment 3069670
"Ninaona na ninaamini mchakato ule wa maridhiano umetekwa, siwezi kusema Rais ndiye ameuteka kwa sababu yeye ndiye aliyeuanzisha ila ninahisi kuna nguvu nyingine tusiyoiona ambayo imeteka mchakato ule wa maridhiano na kutaka kulirudisha taifa letu katika sintofamu"- Dkt. Bagonza.
Dkt. Benson Bagonza ambaye ni Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Karagwe akizungumza na kituo cha habari cha Busokelo TV hivi karibuni hasa baada ya viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wanachama wa chama hicho, wanaharakati na wanahabari kukamatwa na Jeshi la Polisi maeneo mbalimbali ya Tanzania.