Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
nadhani hata ingekua ya mita2 tu gentleman shukran ni ungwana 🐒..Ni barabara ya mita 700?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nadhani hata ingekua ya mita2 tu gentleman shukran ni ungwana 🐒..Ni barabara ya mita 700?
Ndugu zangu watanzania,
Haya ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Askofu Dkt Benson Bagonza
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
====
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza ameipongeza serikali kwa kuhakikisha inarudisha kodi za wananchi kwa kutekeleza miradi ya kisasa ya barabara.
Dk. Bagoza ametoa pongezi hizo leo katika uzinduzi wa barabara ya lami yenye mita 700 Kishao Lukajange ambapo amesema serikali imeendelea kuwa na uaminifu wa kukusanya fedha za wananchi na kuzirudisha katika jamii kwa kutekeleza miradi imara ikiwemo barabara nzuri.
Pia soma: Askofu Mkuu Kanisa la AICT atoa tamko Mpina kufukuzwa bungeni
Amesema barabara hiyo ambayo inaelekea katika makao makuu ya Dayosisi ya Karagwe imekuwa kiunganishi kikubwa kati ya wananchi na waumini na kuondoa vikwazo kwa wanachi ambao zamani walishindwa kuhudhuria ibada kwa kisingizio cha matope.
Habari Leo
nadhani hata ingekua ya mita2 tu gentleman shukran ni ungwana 🐒
si lazima kutoa shukran gentleman,..kweli.
..lakini Ccm / Serikali kufanya sherehe, na kulazimisha shukrani, kwa ajili ya barabara ya mita 700, si uungwana.

Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tuNdugu zangu watanzania,
Haya ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Askofu Dkt Benson Bagonza
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
====
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza ameipongeza serikali kwa kuhakikisha inarudisha kodi za wananchi kwa kutekeleza miradi ya kisasa ya barabara.
Dk. Bagoza ametoa pongezi hizo leo katika uzinduzi wa barabara ya lami yenye mita 700 Kishao Lukajange ambapo amesema serikali imeendelea kuwa na uaminifu wa kukusanya fedha za wananchi na kuzirudisha katika jamii kwa kutekeleza miradi imara ikiwemo barabara nzuri.
Pia soma: Askofu Mkuu Kanisa la AICT atoa tamko Mpina kufukuzwa bungeni
Amesema barabara hiyo ambayo inaelekea katika makao makuu ya Dayosisi ya Karagwe imekuwa kiunganishi kikubwa kati ya wananchi na waumini na kuondoa vikwazo kwa wanachi ambao zamani walishindwa kuhudhuria ibada kwa kisingizio cha matope.
Habari Leo
MITA 700Ndugu zangu watanzania,
Haya ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Askofu Dkt Benson Bagonza
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
====
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza ameipongeza serikali kwa kuhakikisha inarudisha kodi za wananchi kwa kutekeleza miradi ya kisasa ya barabara.
Dk. Bagoza ametoa pongezi hizo leo katika uzinduzi wa barabara ya lami yenye mita 700 Kishao Lukajange ambapo amesema serikali imeendelea kuwa na uaminifu wa kukusanya fedha za wananchi na kuzirudisha katika jamii kwa kutekeleza miradi imara ikiwemo barabara nzuri.
Pia soma: Askofu Mkuu Kanisa la AICT atoa tamko Mpina kufukuzwa bungeni
Amesema barabara hiyo ambayo inaelekea katika makao makuu ya Dayosisi ya Karagwe imekuwa kiunganishi kikubwa kati ya wananchi na waumini na kuondoa vikwazo kwa wanachi ambao zamani walishindwa kuhudhuria ibada kwa kisingizio cha matope.
Habari Leo
Jinga sana hiliNi li-PS la UWT hakuna namna
Wewe pamoja na akili zako nyote mnakatwaMimi na wewe nani ambaye hana akili?
Nimecheka kweli kweli kwa kububujikwa kwa machozi kwa Luca bila kuelewa maneno ya mwanafilosofia Bagonza.Usivyo na akili kumwelewa Bangoza itakuchukua miaka 50 ijayo