Pre GE2025 Askofu Dkt. Benson Bagonza aimiminia sifa na pongezi Serikali ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi ya Maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha mara moja kutumia Baba Askofu kwenye uchawa wako.
 
..kweli.

..lakini Ccm / Serikali kufanya sherehe, na kulazimisha shukrani, kwa ajili ya barabara ya mita 700, si uungwana.
si lazima kutoa shukran gentleman,

na wala hayupo alie lazimishwa kushukuru popote kwa lolote
 
Kupitia comments naziona wazi hasira Kali walizonazo washindwa maandamano ya jana.......wanatukana haooooo🤣🤣🤣🤣
 
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
 
MITA 700
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…