Nani alikwambia kila kitu CHADEMA wanapinga?
Jack of all trades!View attachment 2195321
Hongera na asante Baba Askofu Dkt Benson Bagonza kwa kuamua kusimama na Rais wako aliye mnyenyekevu,
Wapi Lisu ameipinga?Muulize Lissu
Acha unaa,huoni Raha bila kuwatajaView attachment 2195321
Hongera na asante Baba Askofu Dkt Benson Bagonza kwa kuamua kusimama na Rais wako aliye mnyenyekevu,
ππππSamia ni levels zingine kabisaUngewauliza Sukuma Gang kwanza wao wanasemaje kwani ndiyo wana bifu na Samia
Hivi wewe hiyo mimba ya CHADEMA kama inakusumbua itoe !View attachment 2195321
Hongera na asante Baba Askofu Dkt Benson Bagonza kwa kuamua kusimama na Rais wako aliye mnyenyekevu,
Ana mimba changa ya CHADEMA...Nani alikwambia kila kitu CHADEMA wanapinga?
πππCHADEMA ni kama Shetani lazima adhibitiwe,Hivi wewe hiyo mimba ya CHADEMA kama inakusumbua itoe !
Lisu hajapinga yeye kauliza Mapato ya mauzo ya Filamu anachukua nani?Muulize Lissu
Wezi sana hawa jamaa, I know you also know mnaviongozi wezi kabisa kabisaChadema ikifa na ccm imekufa kila kitu lazima muishirikishe chadema nadhani mtakua mnakubali kimya kimya kuwa mziki wa chadema ni mnene. Big up sana.
Ruzuku pia hawapingi, wanapinga visivyo join the chain.Nani alikwambia kila kitu CHADEMA wanapinga?
ππππππ halafu imetunga nje ya kizazi ndio maana kila kitu CHADEMAAna mimba changa ya CHADEMA...
SijakuelewaRuzuku pia hawapingi, wanapinga visivyo join the chain.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
SureAna mimba changa ya CHADEMA...