Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SawaMuulize Lissu
๐๐๐Nchi ngumu sana hiiRuzuku pia hawapingi, wanapinga visivyo join the chain.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Nimemsikiliza, nikacheka sana! Nikaendelea kutafuta ugali wa watoto [emoji19]View attachment 2195321
Hongera na asante Baba Askofu Dkt Benson Bagonza kwa kuamua kusimama na Rais wako aliye mnyenyekevu,
CHADEMA wako hoi kwenye hii,Nimemsikiliza, nikacheka sana! Nikaendelea kutafuta ugali wa watoto [emoji19]
๐๐๐wataelewa tu soon,Sukuma Gang hawataki kukubali matokeo kuwa enzi yao ya utawala wa giza imepita
Yere yere!!!!!!View attachment 2195321
Hongera na asante Baba Askofu Dkt Benson Bagonza kwa kuamua kusimama na Rais wako aliye mnyenyekevu,
===
Askofu wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Benson Bagonza akizungumzia filamu ya The Royal Tour Jumatatu ya Aprili 18, 2022 na Rais Samia Suluhu Hassan nchini Marekani
Haturuhusu vyama vyenye mrengo wa utekaji na mauaji nchi hii.Tuko umoja party
Hatutakubali kamwe,Haturuhusu vyama vyenye mrengo wa utekaji na mauaji nchi hii.
Mkileta ubishi mtaishia korokoroni hatutaki ujinga awamu hii.Hatutakubali kamwe,
umefunga kazi, hilo litakuwa CCM. He has never identified himself with CDM, hayo ni mawazo yake. asante kwa kumjibu vema.Alisha declare kwamba yeye ni Chadema? au vinahusikaje?
๐๐๐mnamkanaumefunga kazi, hilo litakuwa CCM. He has never identified himself with CDM, hayo ni mawazo yake. asante kwa kumjibu vema.
Msaada tutani.
Labda kikasajiliwe Burundi. Na zile fulana zenu zipo kinyume cha sheria. Mtajua hamjui tu mwaka huu.Tuko umoja party
๐๐๐๐Timeanza kuelewanaNani alikwambia kila kitu CHADEMA wanapinga?
๐๐๐๐Umoja Party ni matapeli tu hiviLabda kikasajiliwe Burundi. Na zile fulana zenu zipo kinyume cha sheria. Mtajua hamjui tu mwaka huu.
We ni mpuuzi utaishia kushabikia wenzako wanapiga pesa๐๐๐๐Timeanza kuelewana
Unaoushahidi wa wanaopiga?We ni mpuuzi utaishia kushabikia wenzako wanapiga pesa
Utaishia kuwa na hiyo no mpya ya kadi ya CCM huku ukisubiri uteuzi wenzako wapo Marekani wanapiga pesa za bureUnaoushahidi wa wanaopiga?