Bora wangeweka wazi tumuombee uenda maombi yetu yangemponyaWatu wengine walishaacha kufikiri kabisa. Ugonjwa wa Rais ni siri? Kumwambia mtu naumwa kuna tatizo gani? Au unaumwa nini cha ajabu mpaka unaficha? Kama una magonjwa ya ajabu ajabu maybe. Otherwise binadamu yeyote anaumwa tu kama kawaida.