Askofu Dkt. Shoo, Wana KKKT wa Konde wanasema fedha zao bilioni 2 za kujenga chuo kikuu ndizo zimekutoa Kilimanjaro kwenda kumfukuza askofu wao

Askofu Dkt. Shoo, Wana KKKT wa Konde wanasema fedha zao bilioni 2 za kujenga chuo kikuu ndizo zimekutoa Kilimanjaro kwenda kumfukuza askofu wao

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.

Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.

Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.

Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?

Hebu Shoo aweke suala hili sawa
 
Dr Shoo Malasusa amekuingiza chakike, umetoa maamuzi ya hovyo mwenzio Ameupigwa mwingi
 
Hauwezi kusikia ujinga huo RC, kwann waumini wanamzodoa askofu.
 
Yaani, sijui uchaga wa askofu umewafanya wahisi kala mpunga, lakini unaweza kukuta wanachukua Hela za taasisi wanawapa Chadema, Siasa ikizidi ni ugonjwa
 
Yaani, sijui uchaga wa askofu umewafanya wahisi kala mpunga, lakini unaweza kukuta wanachukua Hela za taasisi wanawapa Chadema, Siasa ikizidi ni ugonjwa
Ndio shida ya wale wezi machomakubwa na miguu myembamba kama spoku

USSR
 
Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.

Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.

Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.

Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?

Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Uongo

Acheni uzandiki

Acheni kuchafua Viongozi wa Kabisa mkajichumia dhambi za kuwaharibia maisha yenu
 
Na hivi alichukua kiti cha malasusa lazima pachimbike
 
Huna ulijualo ww haupo dayosisi ya konde mnajaribu kuficha madhaifu ya dr Mwaikali huyu askofu ashafeli kipindi ni mchungaji kkkt katumba akafeli alivyokuwa msaidizi wa askofu Mwakyolile.unadai ufisadi ndo uliomfanya mwaikali ahamishe kiti cha askofu??????
 
Mkuu wa kanisa usitoke kutoa ufafanuzi wowote kuhusu konde.waache wasiojua waendelee na mipasho yao.
Wanakonde sikilizeni maneno ya Askofu mteule aliyozungumza baada yakuchaguliwa,tafakarini Yale maneno.
Mtaelewa kitu kikubwa sana kisha noeni nanga ya huduma.
 
Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.

Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.

Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.

Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?

Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Nyie watu wa Mwaikali tulieni!
 
Kunazidi kukucha

Screenshot_20220329-154239.png
 
Back
Top Bottom