Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Mwailali alijitengenezea kundi lake kama jiwe SASA LINAMTETEA NA KUMSIFU. Siku sii nyingi anaanzisha kanisa kama kakobe gwajboy na mwingira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mwaikali hakukupa nyaraka ili tuthibitishe tuhuma zako?Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.
Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.
Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.
Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?
Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Kwa mvurugiko huo kabla haujachelewa, wahitaji kupata ushauri wa daktari wa afya ya akili, HARAKA.Yaani, sijui uchaga wa askofu umewafanya wahisi kala mpunga, lakini unaweza kukuta wanachukua Hela za taasisi wanawapa Chadema, Siasa ikizidi ni ugonjwa
Acha undezi basi...thibitisha huo wiziKila alipo mchaga Kuna wizi tu
USSR
Andiko lako lilikuwa zuri Ila limekuwa la kinyoko ulivyokazania "mchaga"!Very stupid ubaguzi!Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.
Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.
Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.
Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?
Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Inawezekana aliibiwa makalio.Acha undezi basi...thibitisha huo wizi
Nikajua Konde boy!Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.
Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.
Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.
Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?
Hebu Shoo aweke suala hili sawa
"Hatoki mtu hapa" kwa hisam ya Steve Nyerere!
Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.
Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.
Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.
Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?
Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Yaani hadi kwenye nyumba za Ibada! Kwa kweli "hapa kazi" tunayo!Kila mahali tanzania ni upigaji, what a society
Ngoja atujibu mwenyewe anayesingiziwa. Maana Mtaani ndizo zinzovuma.Uongo
Acheni uzandiki
Acheni kuchafua Viongozi wa Kabisa mkajichumia dhambi za kuwaharibia maisha yenu
Nashirikiana kubadilishana vitambaa na mama yako mzazi hapa.Wezi?Walikuibia makalio?Kesi ziko wapi?Uko period? Asilimia kubwa wanaamini wachaga ni wezi
Hapana mkuu.Hiyo siyo yangu.Kuna mtu atakuwa aliacha.Niulize ni nani?Jana ulisahau sidiria yako chumbani kwangu