Askofu Dkt. Shoo, Wana KKKT wa Konde wanasema fedha zao bilioni 2 za kujenga chuo kikuu ndizo zimekutoa Kilimanjaro kwenda kumfukuza askofu wao

Askofu Dkt. Shoo, Wana KKKT wa Konde wanasema fedha zao bilioni 2 za kujenga chuo kikuu ndizo zimekutoa Kilimanjaro kwenda kumfukuza askofu wao

Mwailali alijitengenezea kundi lake kama jiwe SASA LINAMTETEA NA KUMSIFU. Siku sii nyingi anaanzisha kanisa kama kakobe gwajboy na mwingira.
 
Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.

Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.

Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.

Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?

Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Mkuu Mwaikali hakukupa nyaraka ili tuthibitishe tuhuma zako?
 
Yaani, sijui uchaga wa askofu umewafanya wahisi kala mpunga, lakini unaweza kukuta wanachukua Hela za taasisi wanawapa Chadema, Siasa ikizidi ni ugonjwa
Kwa mvurugiko huo kabla haujachelewa, wahitaji kupata ushauri wa daktari wa afya ya akili, HARAKA.
 
Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.

Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.

Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.

Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?

Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Andiko lako lilikuwa zuri Ila limekuwa la kinyoko ulivyokazania "mchaga"!Very stupid ubaguzi!
 
Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.

Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.

Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.

Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?

Hebu Shoo aweke suala hili sawa
Nikajua Konde boy!
 
Ni vyema sasa Askofu Shoo akatoka na kufafanua hili.

Ukifuatilia YouTube, Wana Konde wanaidai kwamba mzizi wa mgogoro ni fedha hizo, na wanadai askofu "mchaga" anatumika kuficha waliozifuja.

Kuna nini katika fedha hizo? Maana ni vizuri akajisafisha kwamba hakuzila Hela hizo, na kama alizila eti ndio maana Yuko katika harakati za kuwafukuza wanaozifuatilia.

Eti pia mnashinikiza hotel ya kanisa Matema beach iuzwe, Wana Konde wanakataa, mmepata mteja?

Hebu Shoo aweke suala hili sawa

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂,

Huu ni mtihani mzuri sana kwa sisi tunaopenda kukemea na kutoa miongozo
 
Duh, Mwaikali wamemng'oa ? Kwa hio kiti kimerudi Tukuyu? Afadhari Kama mgogoro umeisha.
 
Viongozi wote wa dini wanaonesha kinyume na matendo ya viongozi wa serikali..


Nadhani muwe makini na huu mchezo..
 
Huu mgogoro pande zote zinazo husika katika kuupatia utatuzi zina mapungufu yake ambayo hazitaki kuyakubali na kuyarekebisha. Bahati mbaya zimeamua kuchukua njia ya kujitetea kama ya wale Watoto wa Mzee Yakobo/Israeli waliomfanyia hiyana ndugu yao Yusufu na kumuuza Misri. Wakati ndoto za Yusufu zilizo mponza zilipotimia unabii wake zilidhihirisha na kuweka wazi ile dhuluma ndugu zake waliofanyia na kuonesha jinsi gani wale ndugu zake 10 walivyokuwa na ulaghai ulio mhujumu ndugu yao. Ndivyo ilivyo kwa baadhi ya hawa watumishi wa Kiroho huwa wanafanya mambo na kuongea kama vile hamna waumini na watumishi wenzao wanaojua mapungufu yao yanayo iharibu kazi ya Mungu.
Mwanzo 42:6-22- Niwa kweli sisi×3
 
hela mwana haramu,zilimfanya Yuda Eskariote kumkana Yesu
 
Back
Top Bottom