LGE2024 Askofu Dr Bagonza: Nendeni mkajiandikishe Kupiga Kura, atakayeiba kura Dhambi ni zake na Wasipoiba Kura Utapata Kiongozi unayempenda!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Brilliant, just brilliant!

Busara ya hali ya juu sana. Askofu Bagonza ana karama kubwa ya hekima.

Taifa kipindi hiki linaihitaji sana hii sauti adimu na adhimu.
 
Brilliant, just brilliant!

Busara ya hali ya juu sana. Askofu Bagonza ana karama kubwa ya hekima.

Taifa kipindi hiki linaihitaji sana hii sauti adimu na adhimu.
 
Atleast ameongea pointi.
 
Brilliant, just brilliant!

Busara ya hali ya juu sana. Askofu Bagonza ana karama kubwa ya hekima.

Taifa kipindi hiki linaihitaji sana hii sauti adimu na adhimu.
Hawa ndio Kagame kule kwake hawatakiπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wasipoiba Kura na Mgombea uliyemchagua akashinda basi utakuwa na Furaha ya Kuongozwa na Kiongozi halali
Tatizo, imani kwa uchaguzi hakuna.

Mwambieni sa100 aruhusu TUME HURU YA UCHAGUZI aone wananchi watakavyojaa na kukesha vituoni wakijiandisha
 
Nape alisema na dhambi unatubu tu 😁
 
Nishawaambia watoto na wasaidizi wa Nyumbani mtu akienda kwenye Kujiandikisha akakae huko huko afanye kazi, maana napambana sana kuwalisha na serikali haina msaada wa Maana sana!
 
Ila "maaskofu" wa nchi hii angalau wanajielewa, halafu kuna wale wachumia tumboπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…