LGE2024 Askofu Dr Bagonza: Nendeni mkajiandikishe Kupiga Kura, atakayeiba kura Dhambi ni zake na Wasipoiba Kura Utapata Kiongozi unayempenda!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hapo kwenye dhambi ni zake ameteleza, alitakiwa kusema atakayeiba kura, familia yake iwe matatani.
 
Hili swala kujiandikisha kupiga kura vijana tulichukulie serious, vijana wengi hatuja jiandikisha, na hatujali.

Vijana Tz wanatakiwa waamke, vijana ni wengi lakini hawapigi kura sasa upinzani utashinda vipi? Maana ma ccm humasisha vijana wao wajiandikishe ili wapige kura , mwisho wa siku yana shibda.

Tz vijana sijui kwa nini wavivu wavivu, hawajali as if maisha yao ni bora sana, vijana hawa ndo wana sababisha upinzani kuanguka, kwa hali hii ccm yata shinda sana na tutalsumu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…