paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Hiyo ni Lugha tu mkuu, lakini utambue kuwa, Chama hakijawahi kuwa sababu ya mtu KuokokaUlitaka awe upande wa mashetani harafu awe mtumishi wa Mungu?? Huyo automatically ni devil advocate
Chama hakitengenezi watakatifu wewe! Chama ni mfumo na dini mpya ya shetani kuwafanya watu wachukiane na kuuwana, lakini mfumo wa Mungu ni Amani na haki