Dickson Edwin Mgaya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 513
- 1,422
Huyu naye ni muimba mapambio kama waimbaji wengine!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigeni marufuku wanaodanganywa ili wakose wa kuwadanganya.Hawa majamaa wangepigwa marufuku tu maana wanadanganya sana
Wewe mwenyewe unadanganywa, lkn kichwani mwako unaamini uongo kuliko ukweliPigeni marufuku wanaodanganywa ili wakose wa kuwadanganya.
Kanisa la ufufuo na uzima!
Hapo ndiko kunakomwaribia nakumbuka Rioba alikuwa ni mchambuzi mzuri sana lakini mwisho amekuja kuishia mahali ambapo sio pa ndoto yake kwani miaka mitano sio sehemu ya ndoto yake.Kati ya wapumbavu ninaotaka waondolewe TBC ni huyu Rioba, kaigeuza TBC kuwa chombo cha kumsifu na kumuabudu jiwe 24/7
Nakumbuka Gamanywa alikuwa anafundisha somo la Roho Mtakatifu sijui akujekuingia ktk mtego wa wanasiasa ambao sio mzuri kwake.Hivi huyu askofu anaelewa maandiko? Mtu anaenda mbinguni kwa kuombewa kweli? Yeye ni nani hadi amuondolee mtu dhambi zake na kuingia mbinguni. Ni huyu Gamanywa ninaye mfahamu kweli, ameanguka wapi huyu mtumishi?
Ndo maana yule Shehe hakutakaga kuingia ktk huo akaona kwani alijua maneno yake yanaweza kumpunguzia heshima ndo maana hawezi kuzungumziwa vibayaHuyu Gamanywa alikuwa mara kwa mara anaalikwa TBC kipindi kile cha kampeni za uchaguzi, ni mbaya sana mtumishi kuwachagulia waumini wako mgombea. Bora uweke wazi sifa za mgombea mzuri, yeyote atakayeangukia hizo sifa atafaa, lakini sio kama alivyokuwa anafanya Gamanywa
Duh Huyu Gwajima anastahili kifungo cha daima, anajijua Yeye na Uaskofu wake uko matatani mbele ya Muumba, kwa madhambi aliyoyatenda na anayoyatenda akilitumia jina la Bwana. Anajijua akimuombea mtu yoyote basi huyo Marehemu anakwenda matesoni, sasa huyu Gwajima ana Maana gani??????Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.
Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.
Source Shallom tv
Gamanywa siyo Gwajima!Duh Huyu Gwajima anastahili kifungo cha daima, anajijua Yeye na Uaskofu wake uko matatani mbele ya Muumba, kwa madhambi aliyoyatenda na anayoyatenda akilitumia jina la Bwana. Anajijua akimuombea mtu yoyote basi huyo Marehemu anakwenda matesoni, sasa huyu Gwajima ana Maana gani??????