Askofu Gamanywa: Nilimuombea hayati Magufuli nina uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba

Askofu Gamanywa: Nilimuombea hayati Magufuli nina uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba

Poleni sometimes binadamu akiwa Kiongozi anajitahidi kuongeza Chumvi ili akubalike zaidi na wale waliokata tamaa warudishe imani so issue za kudharau sayansi na kutoamini Wazungu na chanjo ni sehemu ya hizo janja but Sayansi ukiidharau unaondoka... yaani kamshawishi marehemu apotezee kabisa kujikinga hata alipokufa Maalim Seif akajimwambafai kabisa kuwa si chochote now Magu imebidi ajifiche kabisa asiongee maana Hasira za raia zinaweza muangukia akija sema tena hata Wafalme walifuka utadhani walikufa kwa Corona.. ana dharau sana Gwaji boy Muasherati yule na Kila Mtu kanisani ajajua ukweli haswa kuwa ni Mtenda dhambi sema watu wanafuata Imani... so ni mbaya sana kupotosha vitu vya msingi... Kama wazungu wana nia Mbaya na sisi tuachane na Kinga zitatumaliza basi hata lili hammer lake aliache maana siku linaweza pata ajali likaondosha roho za watu
Askofu Rashid aje afanye namna mimi muumini wake namtegemea.
 
Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.

Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.

Source Shallom tv
Kwajima Acha sifa una uhakika gani kwamba maombi yako kwa magufuli yamekubaliwa mungu anaangalia matendo ya mtu kwanza maombi ya watu wema yanafuata baadae wewe mwenyewe dhambi tupu au unajifanya hujui ulipoiba uchaguzi wewe na huyo marehamu wako mliofanya katika uchaguzi uliopita ni dhulma tupu mbali ya maelfu ya watu waliouwawa na waliopotezwa mungu ndie ajuae hatima ya magufuli na nyinyi aliyekubebeni katika dhulma zote zilizofanyika katika utawala wake.
 
Kwajima Acha sifa una uhakika gani kwamba maombi yako kwa magufuli yamekubaliwa mungu anaangalia matendo ya mtu kwanza maombi ya watu wema yanafuata baadae wewe mwenyewe dhambi tupu au unajifanya hujui ulipoiba uchaguzi wewe na huyo marehamu wako mliofanya katika uchaguzi uliopita ni dhulma tupu mbali ya maelfu ya watu waliouwawa na waliopotezwa mungu ndie ajuae hatima ya magufuli na nyinyi aliyekubebeni katika dhulma zote zilizofanyika katika utawala wake.
Gamanywa siyo Gwajima!
 
Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.

Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.

Source Shallom tv
"Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao". Ufunuo 14:13
 
Kwahiyo kama Magu amepokelewa mbinguni kwa Baba mbina twaomboleza kama watu wasio na Tumaini?

1 Wathesalonike 4:13-18 inatoa majibu.

13 Lakini ndugu, hatutaki mkose kujua kuhusu wale waliolala mauti, ili msihuzunike kama watu wengine wasiokuwa na tumaini.
14 Kwa kuwa tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka, na kwa hivyo, Mungu kwa njia ya Yesu atawafufua pamoja naye wale waliolala mautini ndani yake.
15 Kulingana na neno la Bwana mwenyewe, tunawaambia kwamba sisi ambao bado tuko hai, tuliobaki hadi kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia waliolala mauti.
16 Kwa maana Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, na sauti ya tarumbeta ya Mungu. Nao waliokufa wakiwa katika Kristo watafufuka kwanza.
17 Baada ya hilo sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili kumlaki Bwana hewani, hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
18 Kwa hiyo farijianeni kwa maneno haya.
 
John Pombe Magufuli Mwenyewe alishafanya mazungumzo na Mungu wake kwa imani yake. Mwacheni apumzike kwa amani kwa Mungu wake aliyemtumikia

Maneno yake ya mwisho yanajieleza

View attachment 1731036
Una uhakika hichi kitu ndicho alichokisema Magufuli?
Wewe ulikuwepo?
Kwanini hakukisema yeye mwenyewe hadharani kabla ya kufariki.


Sote tunajua Magufuli na afya yake vilikuwa ni vitu vya siri kubwa sana baina yake na wasaidizi wake wachache. Sasa hao viongozi wa dini (ambao wengi wao ni wanafiki wakubwa) wangehusishwaje?
Marehemu anasingiziwa mambo mengi sana. Muacheni sasa marehemu.
 
Una uhakika hichi kitu ndicho alichokisema Magufuli?
Wewe ulikuwepo?
Kwanini hakukisema yeye mwenyewe hadharani kabla ya kufariki.


Sote tunajua Magufuli na afya yake vilikuwa ni vitu vya siri kubwa sana baina yake na wasaidizi wake wachache. Sasa hao viongozi wa dini (ambao wengi wao ni wanafiki wakubwa) wangehusishwaje?
Marehemu anasingiziwa mambo mengi sana. Muacheni sasa marehemu.

Wewe una uhakika gani kwamba sicho?
Na wewe ni nani wa kuhukumu viongozi wa dini? Unajua taratibu za imani yake kwenye hilo jambo?

Hujioni wewe mwenyewe kwamba unamsingizia marehemu usivyovijua!?
 
Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.

Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.

Source Shallom tv

Askofu naomba ni ulize wale watumishi wa aina ya Petro Mtume wa Bwana Yesu, ambao mtu akifa waliompenda kama Dorucus walimkatia rufaa akafufuliwa na Petro wanapatikana wapi kizazi hiki?
 
Askofu naomba ni ulize wale watumishi wa aina ya Petro Mtume wa Bwana Yesu, ambao mtu akifa waliompenda kama Dorucus walimkatia rufaa akafufulia na Petro wanapatikana wspi kizazi hiki?
Kanisa la ufufuo na uzima!
 
Hata wewe hukupata nafasi?
ni wakati wa ku update hiyo signature

1616349792190.png
 
Mara paap!? JPM hajafa, hilo kwenye jeneza ni mdoli. Na yeye yupo anacheki runinga jinsi watu wanavo mlilia na kuvunja mageti ya uwanja wa ndege.

Na siku ya pasaka tunamwona st.peters akishiriki kukusanya sadaka.

Mara heee!!? Nayaona mabeberu na mafisadi yanavo vibrate.

Nawaona TlS wkiitisha kikao cha dharula kutafsiri katiba.

Nawaona wachungaji fulani wakijitokeza kujigamba kua maombi yao yamemfufua.

Wengine wakisema mwanakondoo mweusi.

Jamani ni ndoto tu!!
 
Back
Top Bottom