Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwani Gwajima yuko wapi?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TuAskofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.
Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.
Source Shallom tv
Tusirudie makosa ya kuwapa uongozi wasukuma, wengi wana matatizoAskofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.
Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.
Source Shallom tv
Sijui kama kule kipindi kilichokuwa kinarusha TBC na Askofu akawa ndo mwongozaji mkubwa kama kitakuwepo tena .Hao ni matapeli tu,utawasikia wanasema tunafufua walio kufa.
[emoji38]Kwani Gwajima yuko wapi?!
Oh [emoji24][emoji24][emoji24]John Pombe Magufuli Mwenyewe alishafanya mazungumzo na Mungu wake kwa imani yake. Mwacheni apumzike kwa amani kwa Mungu wake aliyemtumikia
Maneno yake ya mwisho yanajieleza
View attachment 1731036
Rioba muda wake wa kurudi chuoni umewadiaSijui kama kule kipindi kilichokuwa kinarusha TBC na Askofu akawa ndo mwongozaji mkubwa kama kitakuwepo tena .
Kwani mambo mengi yatabadilika hata huyo Ndugu yangu Rioba sijui kama ataendelea kuwepo
So sad.John Pombe Magufuli Mwenyewe alishafanya mazungumzo na Mungu wake kwa imani yake. Mwacheni apumzike kwa amani kwa Mungu wake aliyemtumikia
Maneno yake ya mwisho yanajieleza
View attachment 1731036
Ebu endeleeni kufanya usafi hapo chatouJohn Pombe Magufuli Mwenyewe alishafanya mazungumzo na Mungu wake kwa imani yake. Mwacheni apumzike kwa amani kwa Mungu wake aliyemtumikia
Maneno yake ya mwisho yanajieleza
View attachment 1731036
Saint Anne mwenzetu katunukiwa kifo chemaOh [emoji24][emoji24][emoji24]
HakikaSaint Anne mwenzetu katunukiwa kifo chema
Kapata nafasi ya kuyapanga na Mungu. Kazi kwetu tuliobaki[emoji22][emoji22]
Tukimaliza hapa tunahamia kwako inshallah, sisi hatuna ubaya na mtuEbu endeleeni kufanya usafi hapo chatou
Alijaaliwa Kifo chema🙏So sad.
Kati ya wapumbavu ninaotaka waondolewe TBC ni huyu Rioba, kaigeuza TBC kuwa chombo cha kumsifu na kumuabudu jiwe 24/7Sijui kama kule kipindi kilichokuwa kinarusha TBC na Askofu akawa ndo mwongozaji mkubwa kama kitakuwepo tena .
Kwani mambo mengi yatabadilika hata huyo Ndugu yangu Rioba sijui kama ataendelea kuwepo
Acha kabisa[emoji24][emoji119]Alijaaliwa Kifo chema[emoji120]
Tunaoumia ni sisi tunaompenda[emoji174][emoji174]
Ina maana aliongea na Mungu kujua kama Magufuli amefika huko salama?Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.
Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.
Source Shallom tv
Msanii yule hamna dini humo ni upigaji tuIna maana aliongea na Mungu kujua kama Magufuli amefika huko salama?