Uchaguzi 2020 Askofu Gamanywa: Nimefanya utafiti wa soko la almasi na Tanzanite huko Ulaya, tumeibiwa sana Rais Magufuli ni Mwokozi

Uchaguzi 2020 Askofu Gamanywa: Nimefanya utafiti wa soko la almasi na Tanzanite huko Ulaya, tumeibiwa sana Rais Magufuli ni Mwokozi

Askofu Gamanywa amesema Tanzania imeletewa Rais Magufuli na Mungu ili aikomboe kutoka mikononi mwa mabeberu.

Gamanywa amesema baada ya kufanya utafiti huko Ulaya amegundua mabeberu wametuibia sana na Rais Magufuli ameletwa na Mungu kuja kutuokoa watanzania.

Gamanywa alikuwa katika majadiliano yaliyorushwa mubashara na Shalom tv yakimuhusisha pia mwanasiasa machachari aliyekuwa Chadema na sasa yuko CCM Dr David Kafulila aka tumbili.

Source Shalom tv

Maendeleo hayana vyama!
Aliyetuibia ni nani? Na alishirikiana na nani? Na mumemchukulia hatua gani?
 
Back
Top Bottom