Askofu Gwajima akiri kupokea barua ya wito wa Kamati ya Maadili

Askofu Gwajima akiri kupokea barua ya wito wa Kamati ya Maadili

Atakaporudi hato ongea tena kanisani kuhusu chanjo ya korona. Rejeeni yaliyomkuta Pascal Mayalla
Mbona niliongea...
P
 

Gwajima admits to have received Speaker's letter​



SUNDAY AUGUST 22 2021​

Gwajima pic

MPs Josephat Gwajima (Kawe)


ELIZA Edwidarr

By Elizabeth Edward
More by this Author

Dar es Salaam. Member of Parliament for Kawe constituency, Bishop Josephat Gwajima has admitted receiving a letter requiring him to appear before the Parliamentary Committee on Justice, Ethics and Powers

Gwajima made the remarks on Sunday August 22, during a church service the ‘Ufufuo na Uzima’ Church in Ubungo, Dar es Salaam

"I have received a letter from the Speaker to appear before the committee tomorrow, I will go, I’m saying here because the person who sent me the letter has also posted it on social media asking me why I say things on social media platforms and he also will tell me why he did the same thing,” said Gwajima.

Bishop Gwajima said he will go to the committee and stand by the truth as his faith require him to do so.

"I will go to the committee to tell the truth. I will tell the truth because the faith of CCM is the truth [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] and I will add other things that I have never said. We must manage the country and our the next generation," said Bishop Gwajima.

On Saturday August 21, this year, the Speaker of the National Assembly, Job Ndugai instructed MPs Josephat Gwajima (Kawe) and Jerry Silaa (Ukonga), to appear before the Parliamentary Committee on Justice, Ethics and Powers to answer various allegations including lying and degrading Parliament's dignity.
Namshauri Mch. Gwajima aende kwenye kikao hicho cha kamati kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa kuwa katika vikao kama hivyo hatuchelewi kuambiwa mtu alijisikia vibaya wakati akihojiwa kisha akapelekwa ofisi ya jirani ili apumzike kidogo, hali ikazi kuwa mbaya na hatimaye umauti ukamfikia akiwa njiani akipelekwa hospitali. Hapo ndipo zianaanza kumiminika salamu tele za rambirambi na sifa nyingi kwenda kwake kuwa alikuwa ni mtu jasiri na mwenye msimamo.

Hapo hutasikia tena mambo sijui ya mkono wake wa baunsa akiwa chobingo na pisi kali wala mambo ya kufufua misukule. Marehemu Horace Kolimba, Mh. Philip Mangula ambaye alinusurika, Marehemu Eng. Mfugale hizi ni rejea chache ambazo Mch. Gwajima anapaswa azifanyie kazi na kuzichukulia kama angalizo kwake.
 
Namshauri Mch. Gwajima aende kwenye kikao hicho cha kamati kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa kuwa katika vikao kama hivyo hatuchelewi kuambiwa mtu alijisikia vibaya wakati akihojiwa kisha akapelekwa ofisi ya jirani ili apumzike kidogo, hali ikazi kuwa mbaya na hatimaye umauti ukamfikia akiwa njiani akipelekwa hospitali. Hapo ndipo zianaanza kumiminika salamu tele za rambirambi na sifa nyingi kwenda kwake kuwa alikuwa ni mtu jasiri na mwenye msimamo.

Hapo hutasikia tena mambo sijui ya mkono wake wa baunsa akiwa chobingo na pisi kali wala mambo ya kufufua misukule. Marehemu Horace Kolimba, Mh. Philip Mangula ambaye alinusurika, Marehemu Eng. Mfugale hizi ni rejea chache ambazo Mch. Gwajima anapaswa azifanyie kazi na kuzichukulia kama angalizo kwake.

Askofu hakutumia hekima ya Bwana Yesu alipopewa taarifa za kuugua kwa Lazaro. Na bahati mbaya hakufanya premptive measure yeyote ya kimwili ya yatokanayo na kikao hicho, zaidi ya kusema wako wenye wasiwasi Gwajima atakufa, a general statement.
 
Namshauri Mch. Gwajima aende kwenye kikao hicho cha kamati kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa kuwa katika vikao kama hivyo hatuchelewi kuambiwa mtu alijisikia vibaya wakati akihojiwa kisha akapelekwa ofisi ya jirani ili apumzike kidogo, hali ikazi kuwa mbaya na hatimaye umauti ukamfikia akiwa njiani akipelekwa hospitali. Hapo ndipo zianaanza kumiminika salamu tele za rambirambi na sifa nyingi kwenda kwake kuwa alikuwa ni mtu jasiri na mwenye msimamo.

Hapo hutasikia tena mambo sijui ya mkono wake wa baunsa akiwa chobingo na pisi kali wala mambo ya kufufua misukule. Marehemu Horace Kolimba, Mh. Philip Mangula ambaye alinusurika, Marehemu Eng. Mfugale hizi ni rejea chache ambazo Mch. Gwajima anapaswa azifanyie kazi na kuzichukulia kama angalizo kwake.


Hivi si inarusiwa kwenda na mwanasheria wake au mtu yeyote anayemwamini?

Ila kwa Mungu alivyomkuu kukiwapo hila au ubaya Mungu matendo yake yatisha kama nini!

Siri za Mungu zinao wamchao!
 

Gwajima admits to have received Speaker's letter​



SUNDAY AUGUST 22 2021​

Gwajima pic

MPs Josephat Gwajima (Kawe)


ELIZA Edwidarr

By Elizabeth Edward
More by this Author

Dar es Salaam. Member of Parliament for Kawe constituency, Bishop Josephat Gwajima has admitted receiving a letter requiring him to appear before the Parliamentary Committee on Justice, Ethics and Powers

Gwajima made the remarks on Sunday August 22, during a church service the ‘Ufufuo na Uzima’ Church in Ubungo, Dar es Salaam

"I have received a letter from the Speaker to appear before the committee tomorrow, I will go, I’m saying here because the person who sent me the letter has also posted it on social media asking me why I say things on social media platforms and he also will tell me why he did the same thing,” said Gwajima.

Bishop Gwajima said he will go to the committee and stand by the truth as his faith require him to do so.

"I will go to the committee to tell the truth. I will tell the truth because the faith of CCM is the truth 🤣 🤣 🤣 and I will add other things that I have never said. We must manage the country and our the next generation," said Bishop Gwajima.

On Saturday August 21, this year, the Speaker of the National Assembly, Job Ndugai instructed MPs Josephat Gwajima (Kawe) and Jerry Silaa (Ukonga), to appear before the Parliamentary Committee on Justice, Ethics and Powers to answer various allegations including lying and degrading Parliament's dignity.
Staajabu ya Musa Ukayaone ya Filauni

Nchi imepoteza mwelekeo
Ni sawa na gari bovu linajaribu kupanda Kitonga
Tuwe watazamaji
Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime Wakipatana chukua kapu ukavune

Vigumu na dhambi kumwamini mwanadamu
Siasa ni mchezo mchafu
Migogoro umbea udaku masengenyo kila upande
Vyama vimechukua nafasi ya wasaniii Ni Usanii mwanzo mwisho...
Hii kamati itajenga au kuibomoa ngome fulani fulani

Tuombe sana Mungu atuongoze tulipo na tunapotaka kufika ni Neema itende muujiza..

Kuna umuhimu wa kuvunja Bunge na serikali kwa ujumla...

Msogwa jazz band wameegesha
 
🤣🤣🤣🤣🤣 msoga jazz band kajikausha kama hayupo kumbe ni usanii wake. Alikimbia haraka haraka baada ya wa KUDEMKA kuapishwa tu ili akafufue mradi wake wa Bandari ya Bagamoyo. Hili picha la Gwajiboy na Ndugai linaweza kunoga sana kila mtu akitaka kuwa sterling. Picha na LINOGE je mkata viuno Dorothy Gwajima atajibu mapigo ya Shem wake? 😜😜

Staajabu ya Musa Ukayaone ya Filauni


Nchi imepoteza mwelekeo
Ni sawa na gari bovu linajaribu kupanda Kitonga
Tuwe watazamaji
Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime Wakipatana chukua kapu ukavune

Vigumu na dhambi kumwamini mwanadamu
Siasa ni mchezo mchafu
Migogoro umbea udaku masengenyo kila upande
Vyama vimechukua nafasi ya wasaniii Ni Usanii mwanzo mwisho...
Hii kamati itajenga au kuibomoa ngome fulani fulani

Tuombe sana Mungu atuongoze tulipo na tunapotaka kufika ni Neema itende muujiza..

Kuna umuhimu wa kuvunja Bunge na serikali kwa ujumla...

Msogwa jazz band wameegesha
 
Hao MATAGA kwa MATAGA hawawezi kufanyana chochote just wasting of time and resources..!
 
Namshauri Mch. Gwajima aende kwenye kikao hicho cha kamati kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa kuwa katika vikao kama hivyo hatuchelewi kuambiwa mtu alijisikia vibaya wakati akihojiwa kisha akapelekwa ofisi ya jirani ili apumzike kidogo, hali ikazi kuwa mbaya na hatimaye umauti ukamfikia akiwa njiani akipelekwa hospitali. Hapo ndipo zianaanza kumiminika salamu tele za rambirambi na sifa nyingi kwenda kwake kuwa alikuwa ni mtu jasiri na mwenye msimamo.

Hapo hutasikia tena mambo sijui ya mkono wake wa baunsa akiwa chobingo na pisi kali wala mambo ya kufufua misukule. Marehemu Horace Kolimba, Mh. Philip Mangula ambaye alinusurika, Marehemu Eng. Mfugale hizi ni rejea chache ambazo Mch. Gwajima anapaswa azifanyie kazi na kuzichukulia kama angalizo kwake.


We wish kwamba ikawe amani na salama la sivyo ikitokea kinyume uhasama uloanza kwa yule Mama Waziri zidi ya ndugu wa mume utaongezeka maradufu.

Itaonekana kana kwamba yeye anamchango!

Mzee kuyasema maneno yale mzito kuwa anataka kumharibia familia yahitaji tafakali.

Hasama isijeikaenda hadi kwa watoto.
 
Hivi si inarusiwa kwenda na mwanasheria wake au mtu yeyote anayemwamini?

Ila kwa Mungu alivyomkuu kukiwapo hila au ubaya Mungu matendo yake yatisha kama nini!

Siri za Mungu zinao wamchao!
Hili swali mwenye kujibu ni Assad au Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom