Askofu Gwajima akiri kupokea barua ya wito wa Kamati ya Maadili

Askofu Gwajima akiri kupokea barua ya wito wa Kamati ya Maadili

Kama hayo maswali yanayohusu upotoshaji wa chanjo ya kovidi-19 atayahoji ndugai, basi hizo posho zitapotea bure.......ningeelewa kama watafiti wa Johnson & Johnson ndo waje na ufafanuzi kuntu ili waweze kumshawishi bwana gwajingo aweze mwenyewe kuwasaidia kushawishi watu kuchanja.........vinginevyo itakuwa ni mwendelezo wa mipasho na vitisho kwa mzee wa kazi gwajingo.
 
Gwajima apewe kesi ya uhaini, ana lengo hovu yeye na timu yake, afutwe kwenye chama na avuliwe ubunge taperi huyo
 
Ili kila kitu kiwe sawa na maisha yaendelee kwa kasi, namshauri Mh. Rais kama itaona inafaa amteue Bishop Gwajima awe ndiye Waziri wa Afya.
 
1629650956703.jpeg
 
Ndugai atawatishia wabunge maskini, ambao bila ubunge hawana pa kujishikiza.
Kuna msemo unasema "NO ONE IS CLEAN IN THE EYE OF THE GOVERNMENT".

Subiri utaona namna Gwajima atakuja kubadilisha mwelekeo wake kuhusu Serikali na chanjo.

Mark this comment.

Kuna kiongozi wa dhehebu alikuwa POWERFUL kama Kakobe by then!
Huwezi pambana na STATE na ukabaki salama.
 
Swali zuri, hii TZ yetu ya ajabu sana, wahuni kama Gwajima ndiyo wanaaminiwa
Unakipimo kipi cha kuthibitisha kuwa huyu si wa Mungu na huyu ni wa Mungu?

Kama wewe ni mwizi, jambazi, fisadi na mzinzi, hata wewe Yesu anakihitaji, atakusamehe kabisa!

Na tangu lini wewe umekuwa mtoa hukumu kwa watu? unachukua nafasi ya MUNGU wewe nani?
 
Yes, we the stupid many... whose facts can NEVER be technically responded by YOU THE FEW CCM SMART MINDED people.
Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii" https://t.co/xJQA3bdQVE
 
May God grant wisdom to our Leaders to make sound decisions

 
Back
Top Bottom