Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Hiyo ya USA haipo poa, nzuri hiyo ya virungu kama ukikataa kuchanjaMarekani kila anayekubali kuchanjwa anapata dola 100 🙂 Sijui hii ikija hapa kwetu Bongo, na wanavyopenda hela wabunge wetu wanaweza kuchanja hata mara kumi mbunge mmoja!!!
Marekani kila anayekubali kuchanjwa anapata dola 100 🙂 Sijui hii ikija hapa kwetu Bongo, na wanavyopenda hela wabunge wetu wanaweza kuchanja hata mara kumi mbunge mmoja!!!
Kwa sababu ni wabunge wa Ccm ndio maana watachanjwa mara 10.Marekani kila anayekubali kuchanjwa anapata dola 100 🙂 Sijui hii ikija hapa kwetu Bongo, na wanavyopenda hela wabunge wetu wanaweza kuchanja hata mara kumi mbunge mmoja!!!
Acha blah blah keng£ mkubwa ww!Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Nimeishia kusoma hapo, sikutaka kuendelea tena ujinga ulioandika ndani ya andiko lako,alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwen
Huyo jamaa bangi ya malangu inamsumbua, Jinga sana jamaaCCM haiwezi kuwa na mwanachama wa aina yako. Hoja yako ingekwenda kwa Gwajima na Chadema lakini umekosea sana kuhusisha wasukuma wote bila kujua unaharibu . Lengo lako nini sasa? Msiingie kwenye mitandao ya kijamii bila kujua mnadrive ajenda ipi.
Unamiaka mingapi?Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Wala asiweke mguu wake chadema, hafai!Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Gwajima hajawahi kuwa mwanachama wa chademaAskofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Wewe unachimbiwa lini?Acha blah blah keng£ mkubwa ww!
Sisi hayatuhusu uaneni ccm, piganeni mpaka risasi tutawachimbia kama tulivyomchimbia dikteta pombe
Haya Ni mawazo yako au ndoto za mchanaAskofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Mmmm propaganda hizi bhana,, kweli kuwafumbua macho kuwa Chanjo sio nzuri mnamlaumu kweliAskofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Wapo wengi kama Gwajima uko CCM,kwa kifupi utawala wa CCM umefitinika,utafukuza wote wenye hela maana wako na CCM kimwili tu lakini kiroho na nafsi wako CHADEMA. Sasa mtafukuza wangapi?Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Haya ndo matanki ya fikra CCM?Askofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Gwajima ni mwanaccm kindakindaki na wala hajawahi kuwa mwanachama wa Chadema. Na sasa hivi amejichimbia mizizi mirefu ndani ya CCM. Gwajima ana 'watu' na hadi sasa Gwajima 3- CCM 0. Huyu hakamatiki tenaAskofu Gwajima miaka kadhaa iliyopita alikuwa ni mwanachadema mzuri sana na alichangia sana harakati zao kwa fedha nyingi. Aliingia CCM kwa kuvutwa na ukabila kwa kuwa alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania na CCM chama cha wasukuma kupitia mwendazake.
Sasa SSH kaingia, Askofu kapoteza network na hata utawala was wasukuma aliotaka kuunda umekwama, zile fursa za kuingia magogoni atakavyo na kupitisha dili zake zimekata, anaona yuko mbali na system,na ameamua kurudi chadema polepole na ana mawasiliano makubwa na viongozi was chadema.
Vikao vya kamati ya wabunge was CCM, maamuzi yake hupelekwa Chadema na huyu askofu,anatoa hela nyingi sana chadema wakubali kumrudisha, na alifadhili mkakati wa maabdamano ya katiba ambao serikali imeudhibiti.
Kimkakati na kikabila alitaka chadema ijiimarishe usukumani kwa kuanzishia harakati huko ili akija kuomba urais akute angalau njia nyeupe.
CCM iondoe watu was aina hii katika mifumo yake ya siasa,afukuzwe haraka huyu NDULI GWAJIMA
Mkuu,kama ni hivyo hata Nyerere angepewa nafasi ya kuibuka kwa hizo dakika angelia machozi aliacha maagizo viongozi wajali maisha ya watu na sio VITU,chama awamu ya tano na sita kimejitahidi kupoteza mwelekeo.Yaani kwa jinsi wanavyojikanyaga sasahivi,yule mzee angeweza kuibuka hata kwa dk2 aone yanayoendelea angelia sana.
Sent using Jamii Forums mobile app