Uwazir ni ajira, Kujiuzulu hapa kwetu ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Lakini pia Ukijiuzulu kwa kumpinga mtawala kutaambatana na consequences. Unaweza kupotea au kung'olewa kucha.Galileo aliuliwa kwa msimamo wake kuwa dunia ni duara, petro aliuwawa kikatili kwa kutetea yesu alikuwa mwana wa mungu huyu Dr aliyemeza glass ya juice ya pilipili mbuzi akitetea uwaziri hatumtaki.
Dr Mwale alifukuzwa kwa kusema ugonjwa wa zika upo, ndugulile alisema wazi kuwa malimao sio dawa ya virus na akafutwa kazi na akabeba briefcase yake akaenda nyumbani kwake,
Hivi kwa upuuzi ule wa kunywa matangawizi anajua watu wangapi wamekufa? Hivi hatukupata somo kwenye kikombe cha babu?
Dr mwale na Dr ndugulile mbona hawajangolewa kucha? 2025 tunafukuza kichaa na kutupa makopo yakeUwazir ni ajira, Kujiuzulu hapa kwetu ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Lakini pia Ukijiuzulu kwa kumpinga mtawala kutaambatana na consequences. Unaweza kupotea au kung'olewa kucha.
Gwajiboy ndiyo alianza kumshambulia comedian gwaji female. Huyu mama jajibu mapigo though so busara kubishana na mjinga. Wakati mwingine ni busara sana kukaa kimya. Unaacha MTU abwabwaje weeee mpaka anachoka mwenyewe.
Watu mnaongea ongea tu, imagine umezaa mtoto wako umemlea na kumkuza kisha mwanamke anaolewa kwenye familia yako anatoa amri kwamba naamrisha majeshi yote yamkamate mtoto wako, yampe kashi kashi...Pochi ndio shetani mkubwa
Inaonekana mzee anauza utu wake kwa ajili ya hela
Kuna watu hawana aibu wala Soni likija suala la hela
Watu mnaongea ongea tu, imagine umezaa mtoto wako umemlea na kumkuza kisha mwanamke anaolewa kwenye familia yako anatoa amri kwamba naamrisha majeshi yote yamkamate mtoto wako, yampe kashi kashi...
Nyie hamjui kuzaa labda.
Hapo hata mm ningekuwa mzazi ningewaka.
Na baba wa watu alisema wazi kuwa yule mama analeta mtafaruku sana kwenye familia yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri hana hatia, anatakiwa kulindwa kwa nguvu zote maana chanjo ni matokeo ya mapendekezo ya tume ya Rais ya wanasayansi wetu. Hata kama Gwajike alikuwa anaamini nyungu ni dawa lakini tume ya Rais ya wanasayansi imekuja kupindua meza. Waziri Gwajima ni Nani hata aigomee tume ya Rais ya wanasayansi?Gwajike atalijua jiji!! Asubiri kutumbuliwa!! Hakuna namna nyingine!! Amefedhenesha serikali!! Hakuna njia nyingine ya kurejesha heshima ya serikali!! Kwa kadri anavyobaki ndivyo kadri serikali inavyochafuliwa!
Dorothy ni mteule wa Rais, ni serikali, kumdhalilisha Rais na serikali yake kwa kanuni ileile ya kama A=B na B=C basi A=C pia. Hivyo kuna kila sababu ya kuamini kuwa Askofu hamlengi Dorothy bali Rais na serikali yake. Dorothy anatekeleza maagizo ya Rais yaliyotokana na wanasayansi kuhusu chanjo na covid-19.Askofu haonei wala hadhalilishi mtu.
Hapana. Sayansi ya ubora na usalama wa chanjo hizi vilijulikana wazi toka mwaka 2020 mwishoni. Kwa sababu tusizozijua ndipo Uongozi wa Tanzania ukapiga vita chanjo. Waziri Gwajima na wenzake walijua ubora na usalama wa chanjo wakati huo, lakini wakaendelea kuwadanganya watu kuwa ni mpango wa kuuwa Watanzania. Sasa wamegeuka nyuma kabisa na kuirudia sayansi. Ndiyo sababu ya watu wenye uelewa finyu, kama Mbunge Gwajima na watu wa kawaida mitaani, wanawakatalia, hawawaamini. Kama Waziri Gwajima, Naibu Waziri Mollel na yule profesa wa NIMR ndio wataendelea kuisemea chanjo haitakubalika kwa wengi. Hata wakiendelea na kazi zao, wasiisemee chanjo. Waje wengine wanaoelewa na kukubalika ndio waisemee.Ziko dawa, chanjo, na njia za matibabu ambazo zimeachwa kutumia wakati hapo mwanzo zilipitishwa na kuruhusiwa kutumiwa. Mfano, watu wameacha kutumia dawa kali kutibu minyoo, indocid, chloroquine na SP kutibu malaria, kuacha kutumia spirit kusafisha eneo la kuchoma sindano, kunyoa nywele za kinena wakati wa kwenda kwenye upasuaji, nk. Dawa, chanjo na njia za tiba zinabadilishwa na kuacha kutumiwa mara TU sayansi itakapogundua kuwa Ina madhara, haina faida au Kuna njia, dawa, chanjo mbadala nzuri zaidi ambayo inaleta matokeo bora kwenye jambo lile.
Sioni kosa la Waziri yuleyule, WHO ileile, TFDA ileile, TBS ileile, kukubali kuachana au kuongeza njia, dawa, au chanjo kwenye zile za awali. Huwezi kusema kwakuwa kuna penicillin kwa kutibu kaswende tusikubali aina nyingine za antibiotics kama erythromycin, azithromycin, ciproflaxin, etc.
Waziri Gwajima anakosa gani kutangaza dawa mpya na nzuri ya kutibu gonorhea, pumu, kisukari na covid-19 badala ya zile za zamani ? Kama kuna mtu anaemshangaa Waziri kwa hili basi mtu huyo ni ama mwehu au ana ajenda nyingine pana zaidi kuliko covid-19.
Tunapomtizama Askofu Gwajima msimtazame peke yake, watazameni pamoja na timu ya awamu ya tano iliyonyang'anywa usukani. Askofu na Polepole inawezekana wanatumika kama loud speaker TU kwenye mission fulani.
Ziko dawa, chanjo, na njia za matibabu ambazo zimeachwa kutumia wakati hapo mwanzo zilipitishwa na kuruhusiwa kutumiwa. Mfano, watu wameacha kutumia dawa kali kutibu minyoo, indocid, chloroquine na SP kutibu malaria, kuacha kutumia spirit kusafisha eneo la kuchoma sindano, kunyoa nywele za kinena wakati wa kwenda kwenye upasuaji, nk. Dawa, chanjo na njia za tiba zinabadilishwa na kuacha kutumiwa mara TU sayansi itakapogundua kuwa Ina madhara, haina faida au Kuna njia, dawa, chanjo mbadala nzuri zaidi ambayo inaleta matokeo bora kwenye jambo lile.
Sioni kosa la Waziri yuleyule, WHO ileile, TFDA ileile, TBS ileile, kukubali kuachana au kuongeza njia, dawa, au chanjo kwenye zile za awali. Huwezi kusema kwakuwa kuna penicillin kwa kutibu kaswende tusikubali aina nyingine za antibiotics kama erythromycin, azithromycin, ciproflaxin, etc.
Waziri Gwajima anakosa gani kutangaza dawa mpya na nzuri ya kutibu gonorhea, pumu, kisukari na covid-19 badala ya zile za zamani ? Kama kuna mtu anaemshangaa Waziri kwa hili basi mtu huyo ni ama mwehu au ana ajenda nyingine pana zaidi kuliko covid-19.
Tunapomtizama Askofu Gwajima msimtazame peke yake, watazameni pamoja na timu ya awamu ya tano iliyonyang'anywa usukani. Askofu na Polepole inawezekana wanatumika kama loud speaker TU kwenye mission fulani.
Hujamwelewa Mch. Gwajima hata kidogo...Ziko dawa, chanjo, na njia za matibabu ambazo zimeachwa kutumia wakati hapo mwanzo zilipitishwa na kuruhusiwa kutumiwa. Mfano, watu wameacha kutumia dawa kali kutibu minyoo, indocid, chloroquine na SP kutibu malaria, kuacha kutumia spirit kusafisha eneo la kuchoma sindano, kunyoa nywele za kinena wakati wa kwenda kwenye upasuaji, nk. Dawa, chanjo na njia za tiba zinabadilishwa na kuacha kutumiwa mara TU sayansi itakapogundua kuwa Ina madhara, haina faida au Kuna njia, dawa, chanjo mbadala nzuri zaidi ambayo inaleta matokeo bora kwenye jambo lile.
Sioni kosa la Waziri yuleyule, WHO ileile, TFDA ileile, TBS ileile, kukubali kuachana au kuongeza njia, dawa, au chanjo kwenye zile za awali. Huwezi kusema kwakuwa kuna penicillin kwa kutibu kaswende tusikubali aina nyingine za antibiotics kama erythromycin, azithromycin, ciproflaxin, etc.
Waziri Gwajima anakosa gani kutangaza dawa mpya na nzuri ya kutibu gonorhea, pumu, kisukari na covid-19 badala ya zile za zamani ? Kama kuna mtu anaemshangaa Waziri kwa hili basi mtu huyo ni ama mwehu au ana ajenda nyingine pana zaidi kuliko covid-19.
Tunapomtizama Askofu Gwajima msimtazame peke yake, watazameni pamoja na timu ya awamu ya tano iliyonyang'anywa usukani. Askofu na Polepole inawezekana wanatumika kama loud speaker TU kwenye mission fulani.
He, tunahitaji msemaji anaekubalika ili utumie dawa ya mseto kutibu malaria yako? Waziri Gwajima sioni kosa lake hapa kwakuwa anatekeleza mamlaka za uteuzi. Engekuwa mimi ndio Rais nisingembadilishaHapana. Sayansi ya ubora na usalama wa chanjo hizi vilijulikana wazi toka mwaka 2020 mwishoni. Kwa sababu tusizozijua ndipo Uongozi wa Tanzania ukapiga vita chanjo. Waziri Gwajima na wenzake walijua ubora na usalama wa chanjo wakati huo, lakini wakaendelea kuwadanganya watu kuwa ni mpango wa kuuwa Watanzania. Sasa wamegeuka nyuma kabisa na kuirudia sayansi. Ndiyo sababu ya watu wenye uelewa finyu, kama Mbunge Gwajima na watu wa kawaida mitaani, wanawakatalia, hawawaamini. Kama Waziri Gwajima, Naibu Waziri Mollel na yule profesa wa NIMR ndio wataendelea kuisemea chanjo haitakubalika kwa wengi. Hata wakiendelea na kazi zao, wasiisemee chanjo. Waje wengine wanaoelewa na kukubalika ndio waisemee.
Pale ni kanisani sio hadharani, wanaingia kundi fulani TU. Anaesengenywa mara zote ni mtu ambae hayukoAnaesengenywa hasemwi hadharani au hujui maana ya kusengenya?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Laana ya kupokonya ubunge KaweHata akifukuzwa chama atabaki na ubunge na hapa ndipo lile andiko katika Mithali 26:27 linalosema Achimbaye shimo atatumbukia mwenyewe; Naye abingirishaye jiwe litamrudia.
CCM na Ndungai walichimba shimo wakidhani wanaikomoa CHADEMA kwa kuwakumbatia wabunge waliofukuzwa kutoka chama cha CHADEMA sasa inawarudia. Gwajima hafukuziki ubunge wanaweza kumfukuza chama ila si ubunge.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mnashindwa kutofautisha Kati ya mkamwana na Waziri wa nchi. Hata akili ndogo kama hiyo hamna? Mwanao akiwa Rais huwezi kwenda kumuona utakavyo kwakuwa wewe ni baba. Askofu Gwajima hajui kama Dorothy ni zaidi ya Mke? Hajui kwamba Dorothy ni serikali? Hajui kama Dorothy anavyombo vya dola vinavyomtii kwa mujibu wa katiba?Watu mnaongea ongea tu, imagine umezaa mtoto wako umemlea na kumkuza kisha mwanamke anaolewa kwenye familia yako anatoa amri kwamba naamrisha majeshi yote yamkamate mtoto wako, yampe kashi kashi...
Nyie hamjui kuzaa labda.
Hapo hata mm ningekuwa mzazi ningewaka.
Na baba wa watu alisema wazi kuwa yule mama analeta mtafaruku sana kwenye familia yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni maagizo ya Amirijeshi mkuu. Anaposema wamehongwa kukubali chanjo anamaanisha Rais wa nchi ndiye amehongwa na sio Waziri wa nchi. Rais ni Amirijeshi, anamiliki majeshi yote, hivyo anaweza kuyaamuru majeshi yote yashiriki kukabiliana na nguvu za Gwajima boy. Askofu peke yake hana uwezo wa kuitindia serikali kiasi hiki, lazima Kuna watu nyuma yake. Kunguru Hana kibyongo.Yeye alipoagiza akamatwe na kuhojiwa na Majeshi yote yaani Takukuru,Polisi,usalama wa taifa,jeshi la wananchi.Hakuwa anamuonea raia?
Ubunge hauwezi kusimamishwaHii vita ni ya kifamilia! Na bahati nzuri Rais nae anaifurahia. Hivyo ukiamua kumtetea Gwaji girl, kuna wadau wengine hapa watakuja kumtetea Gwaji boy.
Dawa pekee ya hii vita, ni kuwatenganisha tu. Aidha kumuondoa Gwaji girl kwenye hiyo Wizara (na hapa Gwaji boy atakua ameshinda pambano kwa tko), au kumsimamisha ubunge Gwaji boy (na hivyo Gwaji girl kuonekana ndiye mshindi)
Nje ya hapo, ni vijembe tu baina yao! mwanzo mwisho.
Ajabu ipi Kikwete aliwahi kutuhumiwa kuhongwa suti.Ni maagizo ya Amirijeshi mkuu. Anaposema wamehongwa kukubali chanjo anamaanisha Rais wa nchi ndiye amehongwa na sio Waziri wa nchi. Rais ni Amirijeshi, anamiliki majeshi yote, hivyo anaweza kuyaamuru majeshi yote yashiriki kukabiliana na nguvu za Gwajima boy. Askofu peke yake hana uwezo wa kuitindia serikali kiasi hiki, lazima Kuna watu nyuma yake. Kunguru Hana kibyongo.