Kwani wewe ktk kipato chako.
Umewezaje kutenga kwamba, pesa hii ni ada ya watoto, hii ni Kwa ajili ya CHAKULA, hii mavazi, hii ni rent, na hii ni SADAKA?
Gwajima ana mshahara, na marupurupu, matumizi ya kipato chake apanga mwenyewe!!
Pia usiye muumini waezaje hoji matumizi ikiwa wewe Si mmoja wa waumini?
Na kama ni muumini, kwann usihoji Kanisani, huoni kuwa kuhoji hayo jukwaa la siasa ni kuchanganya SADAKA na KODI ya kaisari?