G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.
Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!
Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?
Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.
Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!
Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?
Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.
Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!