#COVID19 Askofu Gwajima anavyoongea na waumini wake ni kama muhuni wa kijiweni anayepiga stori za kijinga

#COVID19 Askofu Gwajima anavyoongea na waumini wake ni kama muhuni wa kijiweni anayepiga stori za kijinga

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.

Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!

Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?

Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.

Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
 
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.

Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!

Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?

Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.

Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
Hoja hujibiwa kwa hoja ulichofanya ni shambulio binafsi na chukii mkuu gwajima alitoa hoja zijibu basi tukuone wewe sio muhuni ni critical thinker usipomjibu basi ni Bora unnyamaze tu
 
Hoja hujibiwa kwa hoja ulichofanya ni shambulio binafsi na chukii mkuu gwajima alitoa hoja zijibu basi tukuone wewe sio muhuni ni critical thinker usipomjibu basi ni Bora unnyamaze tu
Kwani Gwajima ana uelewa gani juu ya taaluma ya tiba au chanjo. Hii ni sayansi ya hali ya juu ambayo inaeleweka kwa mabingwa waliobobea kwenye masuala ya utafiti kitabibu. Wakati mwingine tuwe serious kidogo kwa masuala yanayozidi uwezo wetu. Je clip ya Prof. Janabi, mkuu wa Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete bado haijasaidia kutuelemisha kidogo. Kama ni hivyo, endelea kuingizwa king na viongozi wa kidini kama hawa. Mbona Kakobe anahamasisha waumini wakachanje. Hiyo chapa ya 666 hajatumiwa kutoka huko majuu. Tafakari
 
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.

Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!

Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?

Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.

Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
Acha chuki binafsi Gwajima humuwezi ulichoandika ni aibu
 
Mkuu wamefungwa kifungo kikubwa mno na kupewa upofu mkubwa.....Mungu awarehemu na kuwakomboa......

Wachache wanajua hili.
 
Namshauri yatosha sasa jinsi alivyoonesha msismamo wake tumemuelewa.

Mlio karibu naye mshaurini asiongelee tena kuhusu chanjo yatosha mradi msismamo wake umejuliakana.

Kuzidi hapo itaanza ku-bore watu.

Aendelee kuhubiri injili kwa kadiri Roho atakavyomuongoza na kama iwapo atamwambia aendelee kuongelea jambo sawa lakini binafsi naona imetosha.

Mtumishi yatosha!
 
Acha chuki binafsi Gwajima humuwezi ulichoandika ni aibu
Yaani mkuu nashangaa sana maana huyo mtu anayemponda gwajima ukimuuliza je wewe unaweza kuwakusanya watu wote pale na kuwa fanya wakusikilize? Lkn haitoshi kama ni Jambo la hisi mbona si Kila mchungaji anakusanyiko Hilo? Wale watu hawapo kwa bahati mbaya yaani hata mtoa post naye katekwa na nguvu ya gwajima na ndio maana anaweweseka kwa ajiri yke[emoji3][emoji3]
 
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.

Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!

Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?

Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.

Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
Umempaka vuzuri sana
 
Mabavicha bhna!

Si nyie ndio mlikuwa mnawahi kukaa siti za mbela kanisani kwake ili kusikiliza ubuyu wa Bashite huku mkimuita Gwajima ni jeshi la mtu mmoja?

Au umesahau pia kwamba Gwajima alikuwa mshenga wetu wa kumleta Lowasa chadema?

Mabavicha mnasahau mapema sana.
 
Kwani Gwajima ana uelewa gani juu ya taaluma ya tiba au chanjo. Hii ni sayansi ya hali ya juu ambayo inaeleweka kwa mabingwa waliobobea kwenye masuala ya utafiti kitabibu. Wakati mwingine tuwe serious kidogo kwa masuala yanayozidi uwezo wetu. Je clip ya Prof. Janabi, mkuu wa Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete bado haijasaidia kutuelemisha kidogo. Kama ni hivyo, endelea kuingizwa king na viongozi wa kidini kama hawa. Mbona Kakobe anahamasisha waumini wakachanje. Hiyo chapa ya 666 hajatumiwa kutoka huko majuu. Tafakari
kwanza kuhusu hiyo chapa 666 bado kutumika hadi Kristo arudi kuchukua wale watakatifu ,halafu Sasa chapa ndo inaanza
 
Back
Top Bottom