#COVID19 Askofu Gwajima anavyoongea na waumini wake ni kama muhuni wa kijiweni anayepiga stori za kijinga

#COVID19 Askofu Gwajima anavyoongea na waumini wake ni kama muhuni wa kijiweni anayepiga stori za kijinga

Kila mtu na starehe zake Bwana 🤣🤣,,,sasa na mastress yote haya ya maisha Ata Jpili tusicheke na Gwajiboy.....Hili ni kosA la maprofesa na madaktari wanaogeukageuka kila kukicha.wameshindwa kusimamia taaluma zao sasa wanaonekana ni vichaa tu.mi-profesa ya kibongo haijawahi kutusaidia chochote zaidi ya kutumika tu na wanasiasa...
 
Hakuna kitu kibaya kama kuruhusu mchungaji aumtu yeyote yule afikirie badala yako. Atakushika akili na kukuongoza kama boga. Ndio maana wachungaji wa kisasa wanaumiza sana waumini kwasababu wamewashika akili na wanafikiri badala yao,hata akiwaambia wakanyage mafuta wanakubali,sio wao tena,
 
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.

Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!

Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?

Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.

Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
Sijui kwanini kila nikimwona Askofu Gwajima anahubiri au anazungumza mahala popote pale hudhani ni Mgonjwa wa Akili amezidiwa na anahitaji Tiba ya haraka ili asije akafanya tukio baya kwa wenye Akili timamu.
 
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.

Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!

Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?

Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.

Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
G Sam, kama ulikuwa hujui, naomba nikufahamishe jambo hili, kuwa,

Mimi na wewe ktk kujadili siasa za nchi yetu ya Tanzania tunakubaliana na kusomeka kwenye ukurasa mmoja (same page) katika mambo mengi...

Ila kwa hili UMETUTUKANA na KUTUDHARAU kwa kiwango cha juu sana washirika na waumini wote wa kanisa la Ufufuo na Uzima chini ya uongozi wa Mchungaji na Askofu Dr. Josephat Gwajima...

Umetuita "wajinga" kwa kudhani kuwa kiongozi wetu anatupigisha story za kijinga kijinga kanisani huku tukijiinua kwenye viti vyetu na kusema "hallelujah" kama mapoyoyo...

Nakuhakikishia kuwa, sisi siyo wajinga. Sisi siyo wapumbavu. Sisi tuna ufahamu na akili zetu timamu. Tunajua tutokako na tuendako. Tunaweka kila neno la kiongozi wetu au muhubiri wetu katika kipimo ambacho ni NENO LA MUNGU. Tunapima lolote lisemwalo kama linapatana na Neno la Mungu, basi tunaliamini na kulitenda sawia. Niyo maana tuko hivi tulivyo leo. Tunafanya kama waluvyofanya Waberoya...!!

Hebu nikuulize swali hili. Hivi ukinisoma na kunitazama mimi hapa nilipo, unaniona katika sura ya ujinga na upumbàvu siyo...?

Kama jibu lako ni NDIYO, basi pole sana becausr...you are totally wrong...!!

G Sam, kwa hili ni bora ungenyamaza na ukaenda zako kuchanjwa salama kwa hiari yako wewe na watoto wako na ndugu zako kwa sababu JAMBO USILOLIJUA KUTUHUSU SISI, BASI HILO NI NI SAWA NA USIKU WA GIZA KWAKO...!!

Ndiyo. Kwani ni wazi kuwa hujui lolote juu ya Biblia [Neno la Mungu]. Na ni wazi kuwa, unaamini sayansi zaidi [maarifa ya kibinadamu] kuliko Neno lake linaloizaa hiyo Sayansi. Sina shida na hili...

Lakini, unapata wapi ujasiri kututukana sisi tusioamini ktk akili, mawazo na maarifa ya kibinadamu yenye mwisho na mipaka ya ukomo..?

Anyway. Mimi nakusamehe bure kabisa kwa sababu hata katika kizazi cha Yesu Kristo miaka zaidi ya 2000 iliyopita, wasio na ufahamu wa kiroho, wasio na imani kama wewe walikuwepo na walimwita Yesu Kristo mwongo, ana mapepo na hajui sayansi na anapotosha watu kwa ujinga wake...

Mwisho wa siku wakidhani kuwa wanaondoa kikwazo na kumaliza matatizo yao, walimshitaki na kumhukumu adhabu ya kifo msalabani si kwa yale aliyokuwa anatenda na kuyasema bali kwa kumtengenezea kesi ya makosa ya kubumba, ya uongo tu ili mradi kuridhisha nafsi na tamaa zao za kimwili...!

Mwisho ulikuwaje?

Kifo hakikuweza kumshinda. Alikishinda kifo na leo YU HAI na waliomhukumu waliaibika wenyewe na kukosa mahali pa kuficha nyuso zao kwa aibu ya uongo wao...

Asante..
 
Aisee...
leo mwaka 2021, bado kuna watu wanaamini mtu mmoja awashike akili na kuwafanya mazwazwa
Huyu kenge gwaji anahoja gani za kujibiwa?
huyu pumbavu mnaetaka ajibiwe hoja zake ni zipi ?, zaidi ya kubwabwaja utopolo usiojibika kwa hata mtu mwenye commonsense hahitaji kupoteza kipande cha ubongo wake kujibu matapishi ya huyu nyaga aliyewashika akili
Leteni hoja zake hapa tuzichambue kama zinastahili kujibiwa..........
 
G Sam, kama ulikuwa hujui, naomba nikufahamishe jambo hili, kuwa,

Mimi na wewe ktk kujadili siasa za nchi yetu ya Tanzania tunakubaliana na kusomeka kwenye ukurasa mmoja (same page) katika mambo mengi...

Ila kwa hili UMETUTUKANA na KUTUDHARAU kwa kiwango cha juu sana washirika na waumini wote wa kanisa la Ufufuo na Uzima chini ya uongozi wa Mchungaji na Askofu Dr. Josephat Gwajima...

Umetuita "wajinga" kwa kudhani kuwa kiongozi wetu anatupigisha story za kijinga kijinga kanisani huku tukijiinua kwenye viti vyetu na kusema "hallelujah" kama mapoyoyo...

Nakuhakikishia kuwa, sisi siyo wajinga. Sisi siyo wapumbavu. Sisi tuna ufahamu na akili zetu timamu. Tunajua tutokako na tuendako. Tunaweka kila neno la kiongozi wetu au muhubiri wetu katika kipimo ambacho ni NENO LA MUNGU. Tunapima lolote lisemwalo kama linapatana na Neno la Mungu, basi tunaliamini na kulitenda sawia. Niyo maana tuko hivi tulivyo leo. Tunafanya kama waluvyofanya Waberoya...!!

Hebu nikuulize swali hili. Hivi ukinisoma na kunitazama mimi hapa nilipo, unaniona katika sura ya ujinga na upumbàvu siyo...?

Kama jibu lako ni NDIYO, basi pole sana becausr...you are totally wrong...!!

G Sam, kwa hili ni bora ungenyamaza na ukaenda zako kuchanjwa salama kwa hiari yako wewe na watoto wako na ndugu zako kwa sababu JAMBO USILOLIJUA KUTUHUSU SISI, BASI HILO NI NI SAWA NA USIKU WA GIZA KWAKO...!!

Ndiyo. Kwani ni wazi kuwa hujui lolote juu ya Biblia [Neno la Mungu]. Na ni wazi kuwa, unaamini sayansi zaidi [maarifa ya kibinadamu] kuliko Neno lake linaloizaa hiyo Sayansi. Sina shida na hili...

Lakini, unapata wapi ujasiri kututukana sisi tusioamini ktk akili, mawazo na maarifa ya kibinadamu yenye mwisho na mipaka ya ukomo..?

Anyway. Mimi nakusamehe bure kabisa kwa sababu hata katika kizazi cha Yesu Kristo miaka zaidi ya 2000 iliyopita, wasio na ufahamu wa kiroho, wasio na imani kama wewe walikuwepo na walimwita Yesu Kristo mwongo, ana mapepo na hajui sayansi na anapotosha watu kwa ujinga wake...

Mwisho wa siku wakidhani kuwa wanaondoa kikwazo na kumaliza matatizo yao, walimshitaki na kumhukumu adhabu ya kifo msalabani si kwa yale aliyokuwa anatenda na kuyasema bali kwa kumtengenezea kesi ya makosa ya kubumba, ya uongo tu ili mradi kuridhisha nafsi na tamaa zao za kimwili...!

Mwisho ulikuwaje?

Kifo hakikuweza kumshinda. Alikishinda kifo na leo YU HAI na waliomhukumu waliaibika wenyewe na kukosa mahali pa kuficha nyuso zao kwa aibu ya uongo wao...

Asante..
Gwajima anazingua.
 
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.

Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!

Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?

Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.

Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
 
Wale ni kondoo waliopotea kama mchungaji alijirecord vdeo ya ngono anamgegeda mtumishi wake na had leo video ipo site yetu pendwa ya xxxvideo lakin waumin bad wanamuamin atawafikisha mbingun Nan mwenye matatizo hapo
 
Tatizo kubwa Tanzania ni kuwaamini sana Viongozi wa dini.

Tatizo linaanzia hapo.
 
Nashangaa sana kuona wale wanaoitwa waumini wa Gwajima wakijiinua inua kutoka vitini huku wanaitika Haleluya pale mchungaji wao bwana Gwajima anapowapigisha stori za kijinga na kuwapotezea muda wao.

Gwajima anaongea mambo ya uongo, yasiyo na ushahidi na mbaya zaidi anayapeleka madhabahuni na anahubiria watu. Siwezi kumtofautisha mtu huyu na muhuni wa kijiweni!

Kuongea mambo ya uongo eti umetumiwa video za watu waliochoreka namba 666 kwenye mabega yao baada ya kuchanjwa huko Marekani na unayo huku ukiwa huionyeshi naachaje kikufananisha na muhuni tuu wa kijiweni? Huyu eti ni mbunge! Mbunge?

Kusema watu wanaochanjwa ni free Mason sijui nini, hivi umewahi kuuliza kilichowaua viongozi ambao unawaita mashujaa eti waliishinda Corona? Au unakaa tu kuwadanganya watu wako upuuzi.

Hivi hao wazungu kwani wameanza kuchanja waafrika na wao wakajitenga na chanjo? Si wameanza wao kujichanja ili waondokane na vifo holela? Sisi waafrika si tumeletewa baadaye kabisa? Emb acha uhuni na usiwapotoshe watu wako kwa ujinga wako bwana Gwajima!
Una mzungumzia gwajima yupi?Yule wafuasi na viongozi wa Chadema mlokua mnakesha na kusali kwake huku mkiburudika na mahubiri yake au yupi?
 
Aisee yaani mtu na akili zako timamu unaenda kumsikiliza mhuni mmoja,mjanja mjanja wa town gwajiboy et katumwa na Mungu haahahaha
Waafrika ujinga hautatutoka kamwe Kwa style hii!
 
kwanza kuhusu hiyo chapa 666 bado kutumika hadi Kristo arudi kuchukua wale watakatifu ,halafu Sasa chapa ndo inaanza

Kuna mtu mmoja alitokea Uganda siku za nyuma akiitwa KIBWETERE naye alikua mchunguji kama Gwajima na akaaminisha wafuasi wake kwenye Ujinga kama gwjima anavyo aminisha wafuasi wake mwisho wa siku aliwachoma moto kanisani na akatokomea asijulikane alipo.sasa huyu hwajima ni wakuangalia sana
 
Back
Top Bottom