Askofu Gwajima atoa Tsh 100,000 kwa kila aliyekatwa mapanga na panya road

Askofu Gwajima atoa Tsh 100,000 kwa kila aliyekatwa mapanga na panya road

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, ametoa pole ya shilingi laki moja kwa kila mwananchi aliyekatwa mapanga na vijana wanaodaiwa kuwa ni Panya road katika mtaa wa Mtongani Kunduchi usiku wa kuamkia Mei 2, 2022. Jumla ya wananchi 19 walijeruhiwa kwa mapanga.


gwajima.jpg
 
Kwa nini asngewafuata nyumbani kwao akawapa kimya kimya ? Sababu ya kuweka mahema na makamera ni nini ?
 
Hizo laki laki angewafuata wale wa kituo cha Mbweni akaweka bounty kwa kila kichwa cha dogo mmoja.
 
Askofu asaidie pia kuoneshwa na Roho juu ya kina nani ndio panyaroad
 
Lengo kuu ni kupigwa Picha na kuwa Habari.. Wapewa Pesa wametumika tu kufanikisha lengo
Njaa ni kitu kibaya sana mkuu, yaani hapo ni kama anawa simanga hadharani.
 
Changieni pole pole uzi Huu!!!Tuwe tunajiuliza maswali mazito KWENYE kila Jambo!!jiulize motive behind na sio camera zinazommulika!!nafsi yangu inaniambia Safari imeanza!!mjoli wa Bwana akicheza na jamii yeti na akili zao akithamini wanyonge!!!
 
Changieni pole pole uzi Huu!!!Tuwe tunajiuliza maswali mazito KWENYE kila Jambo!!jiulize motive behind na sio camera zinazommulika!!nafsi yangu inaniambia Safari imeanza!!mjoli wa Bwana akicheza na jamii yeti na akili zao akithamini wanyonge!!!
Unamanisha Nini ndugu
 
Back
Top Bottom