Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili wapewe kwa wakati mmoja pia wasamaria wengine wajitokezeKwa nini asngewafuata nyumbani kwao akawapa kimya kimya ? Sababu ya kuweka mahema na makamera ni nini ?
Hivi ni kitabu gani kilichowaagiza waumini watoe sadaka kwa kujificha na sio kujitangaza kwa sauti kubwa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao panya road wangekuwa na akili nzuri wangeshajua pakuanzia kila j2 kondoo wakizipeleka.
Itakuwa ndiyo aliwatuma panyaroad
Kwani hao waliopewa fedha wanasemaje? Kama wameridhika mengine ni kelele.Lengo kuu ni kupigwa Picha na kuwa Habari.. Wapewa Pesa wametumika tu kufanikisha lengo
Achunguzwe na awekwe ndani MARA MOJA....Itakuwa ndiyo aliwatuma panyaroad
Awape kimya kimya ili kesho muanze kulalamika kuwa wanasiasa wamewatupa?Kwa nini asngewafuata nyumbani kwao akawapa kimya kimya ? Sababu ya kuweka mahema na makamera ni nini ?
Mzee cheza vizuri hivyo hivyo wewe na polepole ni nguvu moja... mkitumia akili kidogo tu nchi tunawapa ,tatizo la maraisi waislamu kuabudu wazungu kama miungu tumechoka cheki samia anavyo abudu miungu ya kizungu kuhusu kovidiMbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, ametoa pole ya shilingi laki moja kwa kila mwananchi aliyekatwa mapanga na vijana wanaodaiwa kuwa ni Panya road katika mtaa wa Mtongani Kunduchi usiku wa kuamkia Mei 2, 2022. Jumla ya wananchi 19 walijeruhiwa kwa mapanga.
Huyu jamaa wamwangalie Sana inawezekana kawatuma hawa panya road ili ionekane anawajali wananchi kwa kuwahonga vijipesa hivyoMbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, ametoa pole ya shilingi laki moja kwa kila mwananchi aliyekatwa mapanga na vijana wanaodaiwa kuwa ni Panya road katika mtaa wa Mtongani Kunduchi usiku wa kuamkia Mei 2, 2022. Jumla ya wananchi 19 walijeruhiwa kwa mapanga.