Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Mama yenu yupo bize kuuza wowowo kwa wazungu huko hana time na hii nchi, mwacheni gwajima ajitangaze , hakuna shehe wala makanisa wala enjioo iliyo fanya fadhili kwa hao watu sasa mnaumia nini kuona gwajimaKwa nini asngewafuata nyumbani kwao akawapa kimya kimya ? Sababu ya kuweka mahema na makamera ni nini ?