Askofu Gwajima aushangaa ubalozi wa Marekani kuzungumzia suala la Mbowe aliyedondoka au kuvamiwa

Unapoambiwa kwa hisani ya watu wamarekani wewe waelewa nn , MBNA usisikie kwa hisani ya waitaliano au izo nchi ulizotaja. Jiongeze mkuu baba akisema hakuna wakumpinga

 
Kwahyo huyu Gwajima yupo upande gani kati ya kuvamiwa au kuanguka kwa Mbowe.
 
R
Kuna Watumishi wa Mungu na kuna Watumishi wa shetani ambao wamegeuza imani za watu kama mitaji au chanzo chao cha mapato(wajasiriamali wa kidini).

Ni jukumu lako kumtambua kiongozi wako wa kidini anaangukia kundi gani.
Alishafundishwa adabu na Bashite guys mchumuia tumbo
 
Ya kwao yamewashinda wanatolea matamko ya mlevi aliyeamguka akitoka kilabuni ( ubanda )
 
Weka ushahidi usikurupuke. Mie Gwajima sijawahi hata kwa sekunde moja kumuona mtumishi wa Mungu zaidi ya kuwa TAPELI tu. Nasubiri ushahidi wa hicho ulichoandika kwamba nilimuita MTUMISHI WA MUNGU. Mwenyezi Mungu si wa kuchezea chezea na hawa matapeli wanaozuka kama UYOGA.

Nasubiri.

Nakumbuka kipindi anamshambulia makonda ulikuwa ukimuita mtumishi wa Mungu! Nilichobaini, wewe ndiye mwenye matatizo bali Gwajima ni yuleyule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…