Askofu Gwajima aushangaa ubalozi wa Marekani kuzungumzia suala la Mbowe aliyedondoka au kuvamiwa

Askofu Gwajima aushangaa ubalozi wa Marekani kuzungumzia suala la Mbowe aliyedondoka au kuvamiwa

Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Source TBC Aridhio!
Watanzania wana akili
Wanajua gwajima ni mpiga kampeni wa ccm mwaka 2020
 
Kuna Watumishi wa Mungu na kuna Watumishi wa shetani ambao wamegeuza imani za watu kama mitaji au chanzo chao cha mapato(wajasiriamali wa kidini).

Ni jukumu lako kumtambua kiongozi wako wa kidini anaangukia kundi gani.
Jamani tusisahau huyu 2015 no alikuwa mshenga wetu kutuletea ile safari ya matumaini 👨🏿‍🦳
 
Kuna Watumishi wa Mungu na kuna Watumishi wa shetani ambao wamegeuza imani za watu kama mitaji au chanzo chao cha mapato(wajasiriamali wa kidini).

Ni jukumu lako kumtambua kiongozi wako wa kidini anaangukia kundi gani.
Hili umelijua alipoanza kumuunga mkono JPM? Nyie wanafiki tu!
 
Jamani tusisahau huyu 2015 ndo alikuwa mshenga wetu kutuletea ile safari ya matumaini 👨🏿‍🦳
2015 is not 2020! He has turned into a devil. Hivi wanaosali kwa tapeli hilo huwa wana akili timamu? Unakuta hata mwanaume mzima linakwenda kusali huko! Mwanaume limekufa mboo eti linakwenda kwa gwajima amuombee! Mwanamke hazai eti tapeli gwajima amuombee!
 
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Source TBC Aridhio!
Hivi huyu askofu hakumuona hata huyu balozi akishiriki mambo ya ndani ya nchi??
balozi%20px.jpg
 
Laana ya kumtukana Cardinal Pengo inamtafuna huyu mfalme wa kwichi kwichi
 
Back
Top Bottom