Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,601
- 375
Kwani Lusinde, Msukuma na Kitwanga wapo upande gani? Naona kama lao moja na askofu.Kwahyo huyu Gwajima yupo upande gani kati ya kuvamiwa au kuanguka kwa Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Lusinde, Msukuma na Kitwanga wapo upande gani? Naona kama lao moja na askofu.Kwahyo huyu Gwajima yupo upande gani kati ya kuvamiwa au kuanguka kwa Mbowe.
Watanzania wana akiliAkizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.
Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.
Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
Source TBC Aridhio!
Jamani tusisahau huyu 2015 no alikuwa mshenga wetu kutuletea ile safari ya matumaini 👨🏿🦳Kuna Watumishi wa Mungu na kuna Watumishi wa shetani ambao wamegeuza imani za watu kama mitaji au chanzo chao cha mapato(wajasiriamali wa kidini).
Ni jukumu lako kumtambua kiongozi wako wa kidini anaangukia kundi gani.
Hili umelijua alipoanza kumuunga mkono JPM? Nyie wanafiki tu!Kuna Watumishi wa Mungu na kuna Watumishi wa shetani ambao wamegeuza imani za watu kama mitaji au chanzo chao cha mapato(wajasiriamali wa kidini).
Ni jukumu lako kumtambua kiongozi wako wa kidini anaangukia kundi gani.
Amekuwa mchawi siku hizi ila zamani hakuwa mchawi! Ama kweli pishana na Chadema/Mbowe ubatizwe majina mapyaUkabila unamsumbua huyo mchawi anayejiita askofu
Jamani tusisahau huyu 2015 no alikuwa mshenga wetu kutuletea ile safari ya matumaini 👨🏿🦳Tapeli wa kutumia bibilia yuko kazini
Jamani tusisahau huyu 2015 ndo alikuwa mshenga wetu kutuletea ile safari ya matumaini 👨🏿🦳Who is Gwajima, self proclaimed bishop, matapeli wa njaa za dini....
2015 is not 2020! He has turned into a devil. Hivi wanaosali kwa tapeli hilo huwa wana akili timamu? Unakuta hata mwanaume mzima linakwenda kusali huko! Mwanaume limekufa mboo eti linakwenda kwa gwajima amuombee! Mwanamke hazai eti tapeli gwajima amuombee!Jamani tusisahau huyu 2015 ndo alikuwa mshenga wetu kutuletea ile safari ya matumaini 👨🏿🦳
Tuwe wakweli wa nafsi zetu. Gwajima hajawahi kuwa mtumishi wa Mungu.Amekuwa mchawi siku hizi ila zamani hakuwa mchawi! Ama kweli pishana na Chadema/Mbowe ubatizwe majina mapya
Hivi huyu askofu hakumuona hata huyu balozi akishiriki mambo ya ndani ya nchi??Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.
Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.
Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
Source TBC Aridhio!
Nikiyakumbuka yale mauno yake, kamwe siwezi kumruhusu housegirl wangu awe muumini wakeMkuu huyu si Mtumishi wa Mungu ni mhuni na tapeli tu.
Hivi alishamalizana na msanii mwenzie Bashite?Sidhani kama ni sahihi kumtambulisha Gwajima kama Askofu. Kumwita Gwajima Askofu ni kuwadhalilisha maaskofu wa kweli.
Huyu ni tapeli anayetumia maneno ya dini kuutumikia ushirikina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuma tu mbona wao wanavuruga nchi?Kuna kitu natamani ningekituma humu lakini najua kitawavuruga Wahusika...ngoja nikae kimya
Yuko upande wa magaidi waliomshambulia MboweKwahyo huyu Gwajima yupo upande gani kati ya kuvamiwa au kuanguka kwa Mbowe.
Huko alishatoka kitambo yeye mpiga zumari tu kama hawa bk7 wa JFgwajima ajikite kwenye mambo ya kuhubiri injili
Anacheza filamu za ngono. Nadhani anataka kufa kishujaa kama George FloydHuko alishatoka kitambo yeye mpiga zumari tu kama hawa bk7 wa JF