Askofu Gwajima aushangaa ubalozi wa Marekani kuzungumzia suala la Mbowe aliyedondoka au kuvamiwa

Askofu Gwajima aushangaa ubalozi wa Marekani kuzungumzia suala la Mbowe aliyedondoka au kuvamiwa

Safi sana, nimekuwa nikitafakari huu ubalozi wa Marekani nchini mwetu Nabaki kushangaa, inafikia kipindi wanaanza kuzungumzia mambo personal ya nchi yetu

Mbona sioni ubalozi wa China, Italy, Sweden, Norway nk ukijihusisha na mambo yetu?

Mtumishi wa mungu ndugu Gwajima kaona mbali, Mungu ambariki sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Jambo la nchi ni Personal?, Ni sawa na yule mmarekani mweusi alivyo uawa ni jambo Personal? , Lumumba kweli mmechanganyikiwa.
Ubalozi umelaani tukio la kinyama. CCM na Magenge yenu mmekuwa na mihemko kila kona hapo ndio mnadhihirisha kuwa msiojulikana mnajulikana.
 
Safi sana, nimekuwa nikitafakari huu ubalozi wa Marekani nchini mwetu Nabaki kushangaa, inafikia kipindi wanaanza kuzungumzia mambo personal ya nchi yetu

Mbona sioni ubalozi wa China, Italy, Sweden, Norway nk ukijihusisha na mambo yetu?

Mtumishi wa mungu ndugu Gwajima kaona mbali, Mungu ambariki sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app

Ubalozi wa EU unawakilisha nchi zote za Ulaya Sweden,Italy ......
 
Leo gwajima kawa muhuni? Mshenga mliyekuwa mnamsifu kwa kumleta lowasa chadema na kumdharirisha Dr Slaa? Kuwa mpinzani Tanzania inabidi
matumizi ya akili uachane nayo!
Matendo yake ndiyo yanamuweka kwenye sifa ya uhuni.Mbasha anamlilia sana huyu mhuni.
 
Weka ushahidi usikurupuke. Mie Gwajima sijawahi hata kwa sekunde moja kumuona mtumishi wa Mungu zaidi ya kuwa TAPELI tu. Nasubiri ushahidi wa hicho ulichoandika kwamba nilimuita MTUMISHI WA MUNGU. Mwenyezi Mungu si wa kuchezea chezea na hawa matapeli wanaozuka kama UYOGA.

Nasubiri.
Je aliposhiriki kumleta Lowasa chadema hukumsifu pia?
 
Je aliposhiriki kumleta Lowasa chadema hukumsifu pia?
Hata Lucifer awali alikuwa malaika mwema tena wa rank kubwa tu lakini alipoasi akawa shetani na adhabu ilikuwa palepale. Hata wewe kama ni mtu mwema leo kesho ukiiba utaitwa mwizi tu na utafungwa
 
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Source TBC Aridhio!
Huyu malaya mbwa anamtumikia shetani
Yuko bize kupeleka mamilioni kuzimu. Gwajima ni shetani tu.
 
Huyu mnamtetea
FB_IMG_1591880696907.jpeg
 
  • Mshangao
Reactions: mmh
Huyo Gwajima na zile tuhuma zake zenye ushahidi mpaka wa video nani bado anamuamini mpaka leo?

Atakuwa na matatizo, ameuvaa ulimwengu zaidi ya kuwa kiongozi wa kiroho, bora nae atafute jimbo huko kwao akagombee, atabebwa na mwenzie.
Mimi na mwamini unajingine?
 
Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi yake ambako askari wamemuua raia mwenye asili ya Afrika kinyama kabisa.

Askofu Gwajima amewataka Watanzania kuwa macho na mabeberu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Source TBC Aridhio!
Huyu ni wakala wa shetani. Kama ni askofu basi ni askofu wa shetani!!
 
Kuna kitu natamani ningekituma humu lakini najua kitawavuruga Wahusika...ngoja nikae kimya
Hakuna kuchekeana sasa, mkuu nakufahamu wewe ni muungwana sana. Kama unaona uungwana wako utapotezwa nitumie PM nitaruka na hicho kitu bwana! Kama mbwai na iwe mbwai.
Sasa hivi hata ban hatuzijali lakini watu wa hovyo tutawaanika tuu
 
Back
Top Bottom